Katika Hali isiyo ya kawaida FFU waanza shamra shamra huku mjini posta wanazunguka zunguka kabla ya tarehe 23 yenyewe

Katika Hali isiyo ya kawaida FFU waanza shamra shamra huku mjini posta wanazunguka zunguka kabla ya tarehe 23 yenyewe

Aman iwe nanyi wana wa MUNGU

Katika Hali isiyo ya kawaida kabisa huku mjini posta FFU wanatembea kama kumbi kumbi na magari yao

Kilichonishangaza zaidi ni silaha walizobeba, silaha hizi nazionaga kabeba myahudi kwa ajili ya kuwaulia magaid wa hamasi nimeshangaa sana

FFU wakiwa wanalinda bank wanabeba SMG na AKA 47 kwenye kuzuia maandamano wanabeba silaha ambazo hazijawahi kuonekana technology ya myahudi

Lakini sis haturudi nyuma tarehe 23 kama kawaida tuko barabaran

Samia must go

LONDON BOY
Mbwa na mishahara Yao ya laki nne, hapo wengi ni vilaza wa form four, div 4
 
Polisi wakikimbia maandamano CCM itaelekea wapi? Ninajiuliza tu
Je kama maandamano yakiwa makubwa kama ya Sri Lanka au Bangladesh watu wakandamana mpaka wakaingia ndani ya ikulu, je itakuwa ndio mwisho wa utawala wa ccm? Au ndio yatakuwa maandamano yaliyosababisha mapinduzi kama Sri Lanka au Bangladesh?
 
Kama waandamanaji wanadhani watapambana tu na polisi wanaota wanaume JWTZ wataingia mtaani wakivalia nguo za polisi

Sababu chadema hiyo kauli yao ya Samia must go ni uhaini na uhaini hukabiliwa kwa excessive force sio normal force

Wasidhani itatumika nguvu ndogo kuwadhibiti itatumika kubwa mno sababu kuna uhaini

Hayo maandamano sio ya mtu kushiriki sababu atakuwa sehemu ya uhaini mtu aweza ozea jela au kupewa kilema cha maisha au kupoteza uhai
Hayo mambo ya Samia must go ya kukaa nayo mbali
Toa upumbavu wako hapa , wewe ukiamua kuwa mjinga na muoga ni wewe ,usitushirikishe kwenye ujinga na uoga wako huo
 
Aman iwe nanyi wana wa MUNGU

Katika Hali isiyo ya kawaida kabisa huku mjini posta FFU wanatembea kama kumbi kumbi na magari yao

Kilichonishangaza zaidi ni silaha walizobeba, silaha hizi nazionaga kabeba myahudi kwa ajili ya kuwaulia magaid wa hamasi nimeshangaa sana

FFU wakiwa wanalinda bank wanabeba SMG na AKA 47 kwenye kuzuia maandamano wanabeba silaha ambazo hazijawahi kuonekana technology ya myahudi

Lakini sis haturudi nyuma tarehe 23 kama kawaida tuko barabaran

Samia must go

LONDON BOY
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala kidhalimu.
 
Mbwa na mishahara Yao ya laki nne, hapo wengi ni vilaza wa form four, div 4
Kabisa mkuu , mambo ya aibu kabisa .
Na kuna wapuuzi humu bado wanashabikia hii hali .
As if hii nchi ya kifalme ambapo watu wa mlengo flani tu ndio wanaruhusiwa kuongoza ,yaani kuna majitu yamejipa UMungu mtu nchi hii wa kutawala kimabavu na kuamua ni nani aishi na nani asiishi .
Na raia wenye mtindio wa ubongo humu jamii forum wanasherekea hii hali .
Katiba tu hiyo ya mkoloni tuliyo nayo inaruhusu maandamano ya amani , Chadema hawajawahi fanya maandamano ya vurugu na hawajasema wanafanya maandamano ya vurugu ,wanafanya maandamano ya kupinga vitendo vya kidhalimu na vya kigaidi vya serikali ya ccm vinavyofanywa na vyombo vya ulinzi na usalama chini ya Samia hasa utekaji na mauaji ya raia wenye itikadi za upinzani .
Hii nchi si ya ccm ni mali ya raia wote , Chadema si wakimbizi nchi hii ,ni raia na wana haki ya kuandamana kudai haki zao kwa amani kama raia yoyote alivyo na haki ya kudai haki yake kwa kuandamana kwa amani na utulivu bila kuhatarisha usalama wa mali na maisha ya watu wengine .

Watanzania waache mentality za kitumwa na kuamini kwamba regime au serikali Ndio final say wakati muongozo wa nchi ni katiba ,mbwa kabisa hizi na serikali inawajibika kwa wananchi na Chadema ni wananchi pia na wameamua kuiwajibisha serikali kwa mauaji na utekaji na ukandamizaji unaoendelea hapa nchini ,


ENOUGH OF IDIOCY AND LAMENESS , WE NEED ACCOUNTABILITY FOR THE ONGOING DEATHS AND ABDUCTIONS OF REGIME'S CRITICS AND OPPOSITION PARTY MEMBERS (CHADEMA)


SAMIA MUST GO !
 
Aman iwe nanyi wana wa MUNGU

Katika Hali isiyo ya kawaida kabisa huku mjini posta FFU wanatembea kama kumbi kumbi na magari yao

Kilichonishangaza zaidi ni silaha walizobeba, silaha hizi nazionaga kabeba myahudi kwa ajili ya kuwaulia magaid wa hamasi nimeshangaa sana

FFU wakiwa wanalinda bank wanabeba SMG na AKA 47 kwenye kuzuia maandamano wanabeba silaha ambazo hazijawahi kuonekana technology ya myahudi

Lakini sis haturudi nyuma tarehe 23 kama kawaida tuko barabaran

Samia must go

LONDON BOY
Kwani chadema si magaidi katika nchi? Chadema ni zaidi ya magaidi ma wahaini. Walkpaswa wanyongwe
 
Huyo chura atakuwa anasaga na kukoboa kweli sio kwa akili matope hizi
 
Kabisa mkuu , mambo ya aibu kabisa .
Na kuna wapuuzi humu bado wanashabikia hii hali .
As if hii nchi ya kifalme ambapo watu wa mlengo flani tu ndio wanaruhusiwa kuongoza ,yaani kuna majitu yamejipa UMungu mtu nchi hii wa kutawala kimabavu na kuamua ni nani aishi na nani asiishi .
Na raia wenye mtindio wa ubongo humu jamii forum wanasherekea hii hali .
Katiba tu hiyo ya mkoloni tuliyo nayo inaruhusu maandamano ya amani , Chadema hawajawahi fanya maandamano ya vurugu na hawajasema wanafanya maandamano ya vurugu ,wanafanya maandamano ya kupinga vitendo vya kidhalimu na vya kigaidi vya serikali ya ccm vinavyofanywa na vyombo vya ulinzi na usalama chini ya Samia hasa utekaji na mauaji ya raia wenye itikadi za upinzani .
Hii nchi si ya ccm ni mali ya raia wote , Chadema si wakimbizi nchi hii ,ni raia na wana haki ya kuandamana kudai haki zao kwa amani kama raia yoyote alivyo na haki ya kudai haki yake kwa kuandamana kwa amani na utulivu bila kuhatarisha usalama wa mali na maisha ya watu wengine .

Watanzania waache mentality za kitumwa na kuamini kwamba regime au serikali Ndio final say wakati muongozo wa nchi ni katiba ,mbwa kabisa hizi na serikali inawajibika kwa wananchi na Chadema ni wananchi pia na wameamua kuiwajibisha serikali kwa mauaji na utekaji na ukandamizaji unaoendelea hapa nchini ,


ENOUGH OF IDIOCY AND LAMENESS , WE NEED ACCOUNTABILITY FOR THE ONGOING DEATHS AND ABDUCTIONS OF REGIME'S CRITICS AND OPPOSITION PARTY MEMBERS (CHADEMA)


SAMIA MUST GO !
Mnafanya maandamano ya amani wakati maneno ya mwisho kabisa ni kumtaka Samia aondoke!.

Huo ni upuuzi wa kiwango cha lami, hakuna anayeweza hata kuwasikiliza kuhusiana na madai yenu.
 
Aman iwe nanyi wana wa MUNGU

Katika Hali isiyo ya kawaida kabisa huku mjini posta FFU wanatembea kama kumbi kumbi na magari yao

Kilichonishangaza zaidi ni silaha walizobeba, silaha hizi nazionaga kabeba myahudi kwa ajili ya kuwaulia magaid wa hamasi nimeshangaa sana

FFU wakiwa wanalinda bank wanabeba SMG na AKA 47 kwenye kuzuia maandamano wanabeba silaha ambazo hazijawahi kuonekana technology ya myahudi

Lakini sis haturudi nyuma tarehe 23 kama kawaida tuko barabaran

Samia must go

LONDON BOY
Waaaambie ni Wapumbavu mnooooo mnoooo, kinachopiganiwa ni pamoja na maslahi Yao wenyewe....
 
Hiyo ni Ishara kuwa waandamanaji watalindwa vyema Ili waandamane Kwa nafasi.
 
Back
Top Bottom