Katika ulimwengu wa kishirikina, nguo yako ni wewe

Amna mkuu, ukistukia mchongo, unajipanga upya muhimu ni kuusoma mchezo, ukitaka kujua unaishije waangalie sana waliokuzunguka utajua tu. Unaweza kujua upo sawa kumbe ni kinyume chake, meditation inasaidia sana
Meditation inafanywa vipi?
 
una demu??? umepanga kuwa mtoto na mtoto ukiwa na umri gani?
 
Sasa wachawi wanashindwa vipi kuingia bank na kuchota mihela? Kama wanaweza kufanya yote hayo?
 
Nina mada yake kuhusiana na hili nitatafuta link yake
Chochote kinachoitwa chako kisha kikagusana nawe tayari hicho kitu kinakuwa ni wewe kwenye umiliki kiroho..
Wazungu walikuja huku Afrika na kukuta hiyo sayansi kuanzia kuroga kwa kutumia vitu kama nguo mpaka mambo ya laana ... Hawa wakajiongeza na kwenda kufanya utafiti, walichokuja kutoka nacho ndio hiki ambacho leo kinasaidia kumfahamu mhusika halisi kwenye tukio lolote kupitia vinasaba vya DNA
Hawa hawakucheka na kubeza bali walijiongeza .. Unywele wako mmoja unatosha kukutia hatiani kwenye tukio la ujambazi mauaji, asili yako nknk
Kinachofanyika kishirikina ni kutumia vinasaba vilivyoko kwenye vazi lako kuvifunga, kuvizika , kuvitupa chooni, kuvichoma moto ama kuviachia kwenye mkondo wa maji
Hizo njia zote ni mbaya sana kwakuwa hazina rivasi ila huyo jamaa yako yeye nguo iliwekwa chumbani ndio maana yakajulikana haya japo kwa kuchelewa

 
Mimi niliwahi kufanyiwa huo uchawi...kipindi hicho nilikuwa kidato cha tano kule karagwe secondary...yaani shule nzima mimi tu ndio nilikuwa naonekana kituko...ilifikia mpaka mkuu wa shule alinibatiza jina la 'truant boy'....na bado nilikuwa najitahidi kuswali sala tano...ila nilifanikiwa kumaliza kwa mbinde...hata shule niliyohamia watu wote waliokuwa wanasoma combination kama yangu wote walifaulu ila mimi tu ndie nilifeli...UCHAWI UPO
 
Nina boxer moja , shati 6 na kadet 4...najua vizuri nguo zangu sasa sijui huyu demu atanirogea wapi?....Nina kaa uswazi walipo wachawi hizo mishe za kunyoana nywele naziskia sasa Mimi tokea nimehamia huu mtaa ni Bonge la paraa alafu siringi wala nini....

Shabashhhh!
 
Pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…