Katikati ya harakati za 50/50 kinyume chake wanawake wengi siku hizi hawana furaha

Katikati ya harakati za 50/50 kinyume chake wanawake wengi siku hizi hawana furaha

Huyo hana tofauti na roboti, hana haiba yoyote ya kike.

Nyumba kama hiyo ujuwe inaongozwa na mwanamke na haifai kwa mtoto wako kumruhusu kwenda kuposa nyumba kama hiyo.
Mwanangu hiyo Haiba ya kike unayosema wewe ni ipi? Labda udadavue humu nielewe!! Kwa sababu kama ni ndoa nimeshakwambia hapo juu. Pili mimi SIYO Robot kama unavyodai.
 
Wewe huna sifa ya kuwa mke wa mtu labda uwe msagaji na wewe uowe.

Huna tofauti yoyote na robot ile romantic ya kike huna hata chembe.
Halafu mbona post yangu Namba 401 hamjibu wala kutoa ushauri? Mnajifanya hamuioni?
 
Mimi naomba kuuliza. Mwanaume yeyote ambaye ana BINTI. Wangapi wenye mabinti WATATAKA BINTI ZAO waje KUWA MAMA WA NYUMBANI? Ambaye ANATEGEMEA mpaka pesa ya kununua Sanitary Pads APEWE na Mume wake? Nyoosheni vidole hapa nikianza na Zemanda Kisai
Swala la Mke Kumtegemea Mume Ndio Asili na ndio Utamaduni na Ndio Maana Mwanaume Kumuoa Mwanamke na sio Mwanamke kumuoa Mwanaume Kama Wewe ulivyosema kuwa Umeolewa Sasa Swala La Binti kwenda Kumtegemea Mumewe ni Jambo la kushangaza Au ni Jambo Baya??

Hoja yako ipo wapi??
 
Dunia kweli haimsubiri mtu,ila impact yake inakuwa kinyume na asili ya kiumbaji ni mbaya sana. Ndio maana US na Europe ambao walikuwa wa kwanza kupush hizo ajenda..

Joseph, mimi na wewe huwa tunargue kwa urefu, nimekosoma nimekuelewa, unfortunately sijakubaliana na kila ulichosema...

Leo sina eneji, see you next time champ!
 
mkuu umefanya research kati ya ndoa 5 zinazofungwa ndani ya miaka mitano zinadumu ngapi?

Hao single mother nikweli wanaolewa sana tu lkn hawadumu pia. nenda kwa sngle mothe mwenye watoto 3 uliza kama wote ni wababa mmoja jibu ni hapana au ni nadra sana.


ukweli ni kwamba 50-50 imeathiri sana
Weka link nikasome research yako au hata walioko kwenye industry husika waliosema hicho unachokisema
 
Mbona huwa hamfungui hizo nyuzi, kama ninyi tunawashambulia kwa mambo ya uzushi basi na ninyi fanyeni the same kwetu ila ni mnajua kuwa hamna hoja za kuwashika wanaume maana wao hawashindani kama ninyi mnavyogeuza hii mijadala mashindano.

Si unaona wewe unakuja kushambulia ile ya tit for tat, jicho kwa jicho, upanga kwa upanga, badala ya kuelewa mada na kuchangianya kujenga.

Why are you turning a "reality check" conversation into "gender hate arguments".
Hatufungui nyuzi sababu we are not cry babies, we know better, we are way smarter and matured kuliko keyboard warriors wa jf huo muda wa kulialia jf unatumika kulea watoto.

Wenye ego zao zimekua hurt, inferiority complex and more likely broke as* nig*s sana ndo kutwa kulia lia humu

If all you have as a man is cash and viuno, then you are plain useless coz hela hata mwanamke anapata na viuno hata kwa one night stands unapata...

Anyway am out, some topics are not worthy kupata BAN INGINE
 
Kichwa cha kaya ni Baba, lakini mwenye nyumba ni mama.
Na ili nyumba isimame, mke anapswa amtii mume nakisha mume ampende mke.
Hii kitu ya kuitwa 50/50 ililetwa lakini ukweli ni kwamba imeongeza maumivu ya wanawake kwa kujiona eti wanaweza matikeo yake wamejisahau kwamba mume ndio kichwa cha familia.
50/50 ni mpango mahsusi wa kishetani kuvunja mahusiano takatifu ya NDOA aliyoamriwa binadamu na Mungu na matunda yake sasa ndio hayo tunayoyaona sasa kama alivyoanosha mleta mada kuwa hakuna upendo, amani kati ya mwanamke na mwanaume zaidi yaliyojaa mioyoni mwao ni tamaa, ukaidi, kiburi, hasira na majivuno in which are the fruits of evil.
 
50/50 ni mpango mahsusi wa kishetani kuvunja mahusiano takatifu ya NDOA aliyoamriwa binadamu na Mungu na matunda yake sasa ndio hayo tunayoyaona sasa kama alivyoanosha mleta mada kuwa hakuna upendo, amani kati ya mwanamke na mwanaume zaidi yaliyojaa mioyoni mwao ni tamaa, ukaidi, kiburi, hasira na majivuno in which are the fruits of evil.
Mpende mke wako kama ulivyoamriwa na huyo Mungu kama utaona hayo mauzauza uliyoandika!!!
 
🤣🤣🤣 Super Woman ashapaniki stress zimemtia uchizi, huku anatukana kila mchangiaji hadi mleta mada , afu anajisifu, She is a good wife, and beautiful woman kisa hatumuoni,
Kuoa demu kama huyo ni bora uishi na ng'ombe manzi hana hata haiba ya kuongea hana traits za mwanamke anatukana kila mchangiaji unaweza ukamuulia ndani kwa ngumi😂😂
 
Back
Top Bottom