Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Mkuu kwenye siasa usiseme kwisha habari yao never never!, it could be trap over trap!Kwisha habari yao...
Sasa hivi hawana tofauti na Prof wa Uchumi, au Rangi ya zambarau kamw sio Mzee Momose...
Una weza kutoa mifano kibao kushadihisha hili
Kifo cha mende, Chaliii. kwa sauti Prof wa Uchumi
Kwani ccm ndo Wana haki ya kula asali tu, acha na wengine waonjeshwe!! Watu wa Magufuli mlizoea ulafi sasa chakula kimewaponyoka poleni.Magufuli alikuwa hataki shobo nao ndo maana walikuwa wanamuogopa ...wanajua uwezo wa kuchukua madaraka hawana ndo maana wanataka kula sambamba na watawala
Hapana kale kamkono kataoza na kukatika kenyewe maana mwili mzima umeshatokomea, sema kamfupa kangeweza leta matatizo ndani ya Jumbani yake.Kale kamkono sio kamemuua joka kweli!! [emoji848][emoji848][emoji848]
Mkuu hebu fafanua vizuri, "Ni pesa Yako tu" Inamaana wanajiuza?Chadema ni pesa yako tu wala hawana shida kabisa.
2015 hukusikia kiliuzwa kwa mgombea wa nafasi flani.Mkuu hebu fafanua vizuri, "Ni pesa Yako tu" Inamaana wanajiuza?
Magufuli ndo alikuwa htaki ndo maana wakakimbia nchiKwani ccm ndo Wana haki ya kula asali tu,,,acha na wengine waonjeshwe!! Watu wa magufuli mlizoea ulafi sasa chakula kimewaponyoka poleni
Sasa tuwaiteje? Ni wadangaji wa kisiasa kama wadangaji wengine? au tutumie jina Gani litakalo endana nao.?2015 hukusikia kiliuzwa kwa mgombea wa nafasi flani.
Walimsafisha na biashara ikaisha.
Picha ya pili inayoonyesha mbwa kamezwa bt ameweza kutoboa tumbo la nyoka iangaliwe Kwa upana na CCM.
Mkuu wewe ni mtu mzima nadhani utakuwa umeshaelewa.Sasa tuwaiteje? Ni wadangaji wa kisiasa kama wadangaji wengine? au tutumie jina Gani litakalo endana nao.?
Picha ya pili inasema CDM wamekubali wamezwe Ili waje watoboe tumbo la nyoka WAFE wote Kwa pamoja.Chillah unajua tafsiri ya picha ya pili? Au umeangalia ya kwanza tuu
It will die after 2026. Tunza hii Kwa reference.Maanake kama mbwa ametoboa tumbo la chato kwahiyo madhara yake chato atakufa kwa kumeza mbwa? Hili ni gumu CCm haiwezi kufa kwa ajili ya kuridhiana na chadema
Huo mkono ni utambulisho tu kwamba aliyejaa humo tumboni ni Mbwa a.k.a CHADEMAWengi 'wanashabikia' tu hiyo ya kwanza! Hiyo ya pili waalaaa hawajishughurishi na 'athari' ya huo mkono uliojitokeza nje!