mpita-njia
JF-Expert Member
- Dec 3, 2010
- 1,734
- 1,616
Kina Bashiru walishindwa kuelewa Tabia za Watanzania, Wabongo wanapenda ushabiki, Huruma kwa maana ya Sympathy, Mkose wote, Hawapendi mwenye nacho, Hawajui kujielezea, Hawabishani na Mwenye nguvu n.kHii ya kutoonyesha Bunge mubashara kwa kiasi fulani itaigharimu CCM.
Ungekuwa na akili kama zake ungeuliza atafanya nini cha maana tukimpa Urais na jlbu ungepata wakati wa kampeini toka kwake mwenyewe lakini hutasikia atanunua madege, atajenga Uwanja wa ndege wa Kimataifa Singida wala bandari Ziwa Kindai ila utasikia atauza madege, Uwanja wa Chato atawarudishia wafugaji wachungie nk. Atafanya mengi!Amefanya nini Cha maaana?
Sasa uwanja kule bush una faida gani?hio midege mikweche mliingizwa fyongo n PK inaleta hasara kwa Taifa tuUngekuwa na akili kama zake ungeuliza atafanya nini cha maana tukimpa Urais na jlbu ungepata wakati wa kampeini toka kwake mwenyewe lakini hutasikia atanunua madege, atajenga Uwanja wa ndege wa Kimataifa Singida wala bandari Ziwa Kindai ila utasikia atauza madege, Uwanja wa Chato atawarudishia wafugaji wachungie nk. Atafanya mengi!
Usidhani Mungu Muumba Mbingu na Nchi anawaza Kama mwanadamu awazavyoSi na wao wajasiriasiasa (wapinzani uchwara) waibe Kama ni kitu rahisi, hakuna binadamu nje ya CCM anaeweza kumshinda magufuli hajazaliwa bado
Lisu 16Bullets
Hiki kimbunga hakizuilikiKina Bashiru walishindwa kuelewa Tabia za Watanzania, Wabongo wanapenda ushabiki, Huruma kwa maana ya Sympathy, Mkose wote, Hawapendi mwenye nacho, Hawajui kujielezea, Hawabishani na Mwenye nguvu n.k
Haya yote yanaangukia na kumpa advantage Lissu mbele ya Raia.
Bashiru and Co wanapashwa kujiuliza, wamzuie sasa au baadaye?
MUNGU hawezi kujishughulisha na traitors, vibaraka wa mabeberu,watetezi wa mapenzi ya jinsia mojaUsidhani Mungu Muumba Mbingu na Nchi anawaza Kama mwanadamu awazavyo
Aisee...Ni ukweli uliowazi Sasa kwamba mgombea Urais kupitia Chadema Tundu Lissu ni kama amewameza wagombea wenzake na hawasikiki tena.
Tangu ateuliwe na chama chake CHADEMA na kisha kuchukua fomu za kuteuliwa kutoka tume ya uchaguzi NEC Lissu amekuwa gumzo kila kona huku akijadiliwa zaidi kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii.
Lissu amekuwa akifanya ziara mikoa mbalimbali ya kusaka wadhamini huku akilakiwa na Maelfu kwa maelfu kokote anakopita.
Mojawapo ya sababu kubwa ya kupata uungwaji mkono huo kutoka kwa wananchi hasa waliohojiwa kila anakopita ni kauli Mbiu yake ya 'Uhuru na Kazi' akimaanisha pamoja na kutakiwa kufanya kazi lakini katika serikali yake wananchi watakuwa huru hasa katika kufanya siasa, kupata habari mbalimbali bila ubaguzi, vyombo vya Habari kuwa huru bila kufungiwa hovyo, waandishi wa habari kutokunyanyaswa na watu kuwa huru kukosoa serikali yao bila kuogopa kukamatwa na kufungwa.
Pia Lissu amekuwa akijinasibu katika serikali yake ni mwiko kuingilia Bunge na mahakama bali kuiacha mihimili hiyo kuwa huru katika maamuzi yake. Pia wananchi kuwa huru kuangalia LIVE Bunge lao.
Mgombea huyo wa Chadema anasema kutaka watu wafanye kazi tu huku ukiwanyima Uhuru wao ni dhambi kubwa ambayo kamwe serikali yake haitafanya.
Utachoongea ni sawa kabisa. Kuna wanasiasa wengi wa upinzani wanafanya siasa katika maeneo yao wala hitasikia bughudha yoyote.
Shida inakuja pale mwanasiasa kuamini kuwa kupitia platform ya siasa unaweza kuongea au kufanya lolote na usichukuliwe
Hakuna aliye juu ya sheria. Leo hii ukitaka kufanya maandamano lazima utoe taarifa na utahojiwa naandamano kwa lengo gani. Wanasiasa wa upinzani wanaamini kufuata sheria kwao ni kama utumwa. Wanataka uhuru usio na mipaka ambao matokeo yake ni vurugu.
Siasa za tundulisu zimejaa kauli za chuki na visasi. Katika mazingira hayo inatakiwa kwanza mumuambie yeye kwanza kabla hamjaziambia mamlaka.
Huo ni wimbo wa wafamaji.MUNGU hawezi kujishughulisha na traitors, vibaraka wa mabeberu,watetezi wa mapenzi ya jinsia moja
Uhuru na kaziNi ukweli uliowazi Sasa kwamba mgombea Urais kupitia Chadema Tundu Lissu ni kama amewameza wagombea wenzake na hawasikiki tena.
Tangu ateuliwe na chama chake CHADEMA na kisha kuchukua fomu za kuteuliwa kutoka tume ya uchaguzi NEC Lissu amekuwa gumzo kila kona huku akijadiliwa zaidi kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii.
Lissu amekuwa akifanya ziara mikoa mbalimbali ya kusaka wadhamini huku akilakiwa na Maelfu kwa maelfu kokote anakopita.
Mojawapo ya sababu kubwa ya kupata uungwaji mkono huo kutoka kwa wananchi hasa waliohojiwa kila anakopita ni kauli Mbiu yake ya 'Uhuru na Kazi' akimaanisha pamoja na kutakiwa kufanya kazi lakini katika serikali yake wananchi watakuwa huru hasa katika kufanya siasa, kupata habari mbalimbali bila ubaguzi, vyombo vya Habari kuwa huru bila kufungiwa hovyo, waandishi wa habari kutokunyanyaswa na watu kuwa huru kukosoa serikali yao bila kuogopa kukamatwa na kufungwa.
Pia Lissu amekuwa akijinasibu katika serikali yake ni mwiko kuingilia Bunge na mahakama bali kuiacha mihimili hiyo kuwa huru katika maamuzi yake. Pia wananchi kuwa huru kuangalia LIVE Bunge lao.
Mgombea huyo wa Chadema anasema kutaka watu wafanye kazi tu huku ukiwanyima Uhuru wao ni dhambi kubwa ambayo kamwe serikali yake haitafanya.
Wafamaji ni Cha Domo ambao wanahangaika, CCM baba Lao ushindi 89% sio hivyo vijisaccos vya msimu wa uchaguziHuo ni wimbo wa wafamaji.
Wafamaji ni Cha Domo ambao wanahangaika, CCM baba Lao ushindi 89% sio hivyo vijisaccos vya msimu wa uchaguzi
wanachama hai wa CCM mpaka jana Ni 18.2 milion hapo bado kura za wapenzi tu ambao sio wanachama, kwani ukiambiwa CCM Ni chama kikubwa na kina mizizi mpaka vijijini ulikuwa unafikiri NiniHiyo percentage itakuwa ni ya uharamia. Mkilazimisha iwe hivyo kupitia huko, sawa, lakini sio sanduku la kura.
Kama mna wanachama wengi kwanini mnaogopa tume huru ya uchaguzi?wanachama hai wa CCM mpaka jana Ni 18.2 milion hapo bado kura za wapenzi tu ambao sio wanachama, kwani ukiambiwa CCM Ni chama kikubwa na kina mizizi mpaka vijijini ulikuwa unafikiri Nini
Haa haa haa...
Yaani "LISSU 16 BULLETS", but alive...
Watanzania wanahitaji Uhuru wa utamaduni wetu kustawi ambapo CCM wameonyesha kutokuwa na uvumilivu wa kutoa Uhuru huo. Na ni kama wapo ktk vita dhidi ya tamaduni ya baadhi ya tamaduni.Tatizo Watanzania wengi hawajaguswa sana na ishu ya Uhuru.
Ongeleeni kuhusu Uchumi.
Kwahiyo nyie mtaji wenu upo nanjilinji kwa watu wasiojielewa? Msitumie ujinga wa baadhi ya watanzania huko nanjilinji vijijini kujinufaisha kisiasa.Uhuru upi?
Hivi mwananchi wa nanjilinji kule ukiongelea juu ya uhuru si anakushangaa?
Hilo la uhuru atawapata viongozi wenzie wa pale ufipa