Uchaguzi 2020 Kauli ya Sheikh Ponda yakanushwa na wahadhiri wa Dini ya Kiislam

Uchaguzi 2020 Kauli ya Sheikh Ponda yakanushwa na wahadhiri wa Dini ya Kiislam

Hao wote waliojitoa na kujikusanya kama numbu ,kama mlikuwa hamuwajui ni mashushu tena,mashushu wakandamizaji kabisa ukiwakuta wanatoa darsa misikitini na kwenye majukwaa utasema hawa mashehe kiboko, ila ALLAH hamfichi mnafiki na kujitokeza kwao huko ni kuadhirika na mtu au Muislamu mwenye akili timamu kama alikuwa akiwafuata fuata basi aelewe kuwa hao si watu wema,ni wasaidizi na ukisikia mashehe wanakamatwa na hawatolewi basi ni roho mbaya za hao wazungumzaji hapo.

Ila Muislamu wa kweli kwa hapa palipofikiwa ,naamini kabisa muda huu wa majeruhi hakuna mtu anawasikiliza hao mavuvuzela,wamevuvuzuleshwa na CCM, wanafaa hata kuzomewa mkiwaona njiani. Ni aibu kuwa na watu dizaini hio na haiwezekani na ndio wameadhirika Tanzania nzima imewaona.
 
Hao ni hatari kuliko hata wavaa vilemba wa bakwata,hao ni mashushu waliohatari sana,tena unaweza ukamkuta anakamatwa anafungwa halafu anatolea,yote hayo ni kuwaziba macho waislamu ,kumbe amejivalisha koti kubwa la Uislamu na ametumia Uislamu kujenga ukuta mkubwa kumzunguluka.

Sasa ukiwa na ukuta mkubwa uliopo nje huoni ndani,na ndivyo walivyojivika mshehe ubwabwa hao ,wamejivika ukuta wa uislamu ila ALLAH amewatoa hadharani mwenye akili atafahamu.
 
Haya mambo yabkuingiza dini kwenye siasa bila exit plan, ndo yameifanya dini ya kiislamu kuhusishwa na ugaidi kwa muda mrefu sana hapa duniani. Kuna wapuuzi wachache wameibadilisha sana taswira ya uislam, Cha ajabu wengine ni viongozi kabisa...
ANAHITAJIKA kiongozi wa Taifa si wa Waislamu pekee, Kikwete ndie aliewaleta mashekhe wa Uamsho bara jpm alaumiwa Bure, sijui wakatoliki wasiposhinda huu uchaguzi itakuwaje
 
Kuna Msemo "Mkuki kwa Nguruwe Kwa Binadamu Mkuki". CCM ndio walianza kuwarubuni Maaskofu na Mashelki Basi Watulie Wanyolewe Hakuna Jipya. Again Mkuki Kwa Nguruwe Kwa Binadamu lazima iwe tu Mkuki.
 
CCM mnaondoka hakuna shee wala padre atakaewaokoa,na wimbi hili la Tundu Lisu,hili wimbi kubwa mno kwa mburundi bashiru na mnyaruanda Polepole.

WaTanzania wameshtuka jamaa kutoka nchi jirani wamepenya ndani ya CCM na sasa ndio wanaiebdesha Tanzania,kuna kipindi nilisikia hata wanaomlinda Mheshimiwa Raisi Magufuli ni wajeshi kutoka nchi jirani.
 
Hao sio wahadhiri ni wanufaika wa udhalimu, muislamu upinga dhuluma na batili.
 
Haya mambo yabkuingiza dini kwenye siasa bila exit plan, ndo yameifanya dini ya kiislamu kuhusishwa na ugaidi kwa muda mrefu sana hapa duniani. Kuna wapuuzi wachache wameibadilisha sana taswira ya uislam, Cha ajabu wengine ni viongozi kabisa.

Halafu baadae mtaanza kusema kwamba ni propaganda za watu wa magharibi kuuchafua uislam. Haya bwana kwahiyo waislam msiposhinda kwenye huu uchaguzi itakuwaje Sasa🤔!

Huwezi ukafunga ndoa na ccm ukabaki msafi cheki viongozi wa dini walivyochafuka hawana tofauti na polisi kwa kuacha haki na kusimama upande wa watesaji
 
Wanachuoni ni warithi wa mitume Shekhe Ponda kasema hakuna kuhoji sisi kama waislam kura kwa Lissu
 
Kuna Msemo "Mkuki kwa Nguruwe Kwa Binadamu Mkuki". CCM ndio walianza kuwarubuni Maaskofu na Mashelki Basi Watulie Wanyolewe Hakuna Jipya. Again Mkuki Kwa Nguruwe Kwa Binadamu lazima iwe tu Mkuki...
CCM mwaka huu kila mti wanaojaribu kudandia unateleza. Magufuli ameiua CCM.
 
Hao ni wahadhiri wa bakwata na si wa waislamu hivyo hawana uhalali wa kutupangia kuichagua ccm
 
Hao ni viongozi wa bakwata na si wasemaji wa waislamu Hakuna kikao wamekaa na waislamu ili kutoa tamko hilo. Waislamu watachagua mtu anaetenda haki na si dhalimu
 
Masheikh na Mapadri wa CCM wakitoa matamko, basi wametumwa na waumini wao pamoja na dunia nzima. Ni lazima waungwe mkono.

Ila Masheikh na Mapadri wanaoongea ukweli kuhusu hali ya sasa, hawajatumwa na waumini. Ni lazima wakemewe na wasakamwe.

Nchi hii double-Standard katika kila kitu, ilimradi kusifia yasio sifika.
 
Ili uweze kuaminika ktk jamii yakupasa kutenda na kusimamia haki na kuilinda.

Shekhe wa mkoa wa DSM amejitwisha zigo la kuipigia kampeni CCM na amejipa nafasi ya mufti kuwasemea waislam wote nchini Tanzania. Lkn kwa kuwa Shekhe huyu anakipigia debe chama dola hatukuwaona hawa wanaojiita wahadhiri wa dini ya kiislam wakikemea tabia ya sekhe wa mkoa wa DSM.

Lkn kwa Shekhe Ponda ambaye ameanza kampeni juzi tu, tayari wametoka walikotoka mashekhe hawa ambao hata kujulikana hawajulikani na kuanza kutoa matamko ya kulaani kauli ya Shekhe Ponda. Wanadai Shekhe Ponda siyo msemaji wa waislam nchini.

Walikuwa wapi kumkemea Shekhe wa mkoa wa DSM?
Labda anawagaia manufaa ya udhalimu ili kuwafumba midomo.
Atukuwahi sikia wakikemea pale wanapoiunga mkono CCM.
 
Nyie wahadhiri mpo saba tu, sisi waislamu wa nchi hii tunajua cha kufanya tarehe 28th.

Sisi sio watoto wadogo..na sisi dini tunaijua saana tu na pengine kuwazidi hata nyie.
 
Back
Top Bottom