Certified Hater
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 1,760
- 3,733
Hilo ni josho sasa sio jeshi mkuuWanajeshi wenye utadhani wana kwashiakoo. Wanategemea kuchangia raia kwa makundi. Unadhani mwanajeshi mmoja anaweza kuleta ngebe mbele ya raia? Tena raia mmoja tu...
Ww jamaa kama sio bodaboda/bajaji basi wazee wa mabaka walishawahi kukuachia alama maana sio kwa matusi haya.Hata polisi hasa wale field force unit squads huwa wanajiona ni miungu watu , kila siku wanapasuliwa na chupa huko kwenye mabar kisa ugomvi wa kipumbavu ,kugombea Malaya na raia
Lols. Mkuu umenichekesha sana aiseeh. Unataka waje mmoja mmoja, mfumo wa kijeshi ni umoja na ushirikiano katika kazi.Kama wao ni wanaume kwanini wanakuja WENGI? Si aje mmoja mmoja bila silaha?
Barabarani, mitaani watu hawajuaniNa pengine hata huyo bajaji ukute alikuwa hajui kama Marehemu ni mwanajeshi, ila Cha kujifunza huku barabaran sio sehemu Nzuri kuvimbiana Bora uwe mpole tu hasa ukiwa kapuku
Mfa maji weweKama wao ni wanaume kwanini wanakuja WENGI? Si aje mmoja mmoja bila silaha?
Sasa wakimua,si itakuwa soo kwa jeshi,wampeleke wamkabidhi kwenye vyombo vya sheria,sheria ifate mkondo wakeAtapata kifo cha mateso mnoo...
Ndio maana tunasoma historia maana historia inatabia ya kujirudia kama ni trend reader utakua umenielewaHiyo video ya zamani sana
Vyanzo vingi vya ugomvi huwa ni vya kipuz kabisaKwani, Mkuu unakuwa unaelewa nini inapotokea ukaambiwa majeshi ni vyombo vya kutumia nguvu? Au labda ukiambiwa kuwa serikali ni chombo cha mabavu?
Maana naona ulivyoielezea nguvu, naona kama vile umechukulia kubeba mawe labda, au kunyanyua vitu vizito vizito hivi. Kama umeichukua nguvu kwa picha hiyo, hauko sahihi.
Mkuu, mara nyingi wanajeshi huwa wanachokozwa na raia wanaojisahau. Namna ya mwanajeshi kumheshimu raia ni kumlinda usiku na mchana kwa umri wake wote.
Ova
Huko alipo Atampenda mama ila atajuta kuzaliwaNinachokijua tu ni kwamba huenda kuanzia leo hata Kuukweka ( Kunya ) akashindwa kwa Siku 7 au 14 zijazo na asiwe na Uwezo mzuri wa Kuona huku Mwili ukiwa Umeumuka ( Umevimba ) sana.
Wewe Umezabwa tu Vibao unakimbilia Bisibisi na kwa Kuongozwa na Bangi zako na Gongo zinakutuma Umchome Mtu ( tena Mjeda na kumsababisha Umauti kama inavyosemekana ) kwanini yasikukute tu?
Mwenyezi Mungu hakuwa Mjinga kutuwekea Mawe ( Vitofa ) kwani hata Nguli ( Legend ) wa Sanaa ya Mapigano ( Martial Arts ) Marehemu Bruce Lee alishasema kuwa ukiona unayegombana nae humuwezi Kimapigano Chagua Vitu Vinne vifuatavyo...1. Kuachana nae huku ukijipanga Kummaliza taratibu Kimafia, 2. Kutoka Baru ( Kukimbia ), 3. Kumng'ata na 4. Kuokota Mawe na Kumpiga nayo kwa Kumrushia ( Palestine Style )
Kama namuona vile huyu Dogo aliko.
Ditopile ni nani mkuu??Barabarani,mitaani watu hawajuani
Bora ujishushe,kubalu yaishe maisha yaendelee
Hata yule dereva aliyemjibu shyt ditopile hakujuwa ditopile ni nani?
Ova
Anaweza kujiua kabla hamjamfikisha huko segedance, mara nyingi mimi naandika humu usicheze na mtu aliyekata tamaa especially kama una vingi vya kupoteza.Sasa huyo akifungwa maisha jela si atafirwa mpaka kutoke moshi huko nyuma.?
Vijana angalieni na watu wakupigana nao usiwehuke tu hizo bangi zako mwisho segerea
Pia kumpiga Mtu au kumlamba makofi na yenyewe ni dalili za kukata tamaa we need to control our Ego .Anaweza kujiua kabla hamjamfikisha huko segedance, mara nyingi mimi naandika humu usicheze na mtu aliyekata tamaa especially kama una vingi vya kupoteza.
Mtu aliyekata tamaa huwa hana cha kupoteza.
Definitely, na amepata anachostahili. Hata kama wenzake wakifanya fujo kuanzia kawe mpaka bagamoyo bado hawawezi kurudisha uhai wa mwenzao, Point blank!Pia kumpiga Mtu au kumlamba makofi na yenyewe ni dalili za kukata tamaa my we need to control our Ego me
Unapotumia matumizi yoyote ya Nguvu iwe kumpiga mtu kibao au kumtukana lazima litakukuta Jambo so huyo mjeda Anaonekana she was already heart fainted.
Tanzania kuna jeshi hapa au vikundi vya mazwazwa tu wanaovuna maokoto ya serikali bure na kukandamiza haki za raia tu ili kunufaisha kundi la watu flani ?,Ww jamaa kama sio bodaboda/bajaji basi wazee wa mabaka walishawahi kukuachia alama maana sio kwa matusi haya.