Kawe leo hii kuanzia Saa 1 hadi Saa 3 Usiku kulitokea nini hadi MP wa JWTZ Kufurika, Kukamata Watu, Kutembeza Kichapo na Kuzua taharuki?

Kawe leo hii kuanzia Saa 1 hadi Saa 3 Usiku kulitokea nini hadi MP wa JWTZ Kufurika, Kukamata Watu, Kutembeza Kichapo na Kuzua taharuki?

Inasemekana ( kwa aliyenipa Taarifa Kamili kuwa ) Dereva Bajaji jana Usiku katika Baa Moja maarufu iliyo kwa ndani ( Mafichoni kidogo ) mkabala na Petro Station ya PUMA Kawe alipishana Kauli na Mwanajeshi ( tena Mkubwa wa Cheo cha Kanali ) kuhusu Kuzibiana njia ya kupita.

Ambapo Afande Kanali alikuwa Kapaki Gari lake lililokuwa limezuia njia kwa mbele na Dogo ( Dereva Bajaji ) kuhoji kwanini Afande aliziba njia hali iliyomkwaza Afande ( wa Cheo cha Kanali Muro kama sijalikosea Jina lake ) ambapo Afande Kanali akatoka ndani ya Gari lake na Kumzaba Makofi Dereva Bajaji huyo.

Kisha nae ( Dereva Bajaji ) kwa Hasira akaamua kwenda kuchukua Bisibisi Bajajini Kwake na kuja Kumchoma nayo Afande Kanali upande wa Moyo hali iliyomfanya akimbizwe Lugalo Hospital kwa Matibabu na Umauti kumkuta huko huko Wodini.

Pole kwa wafiwa. Marehemu alikosa hekima lakini. Ukishakua kwenye vyombo vya usalama haimaanishi uwe mtu wa shari pasipo na misingi yoyote. Ukivaa kombati haimaanishi una mwili wa chuma tayari. Bado mwili wako ni wa damu na nyama.
 
Baadhi ya raia ni wajinga sana wanatumia mihadarati mda wote alafu eti na yeye ni dereva bodaboda, mda wote mtu kaweka ugoro mdomoni akipumzika kavuta bangi akipumzika energy drink akipumzika anakula mirungi akipumzika Sungura hapingwi, pumbavu kwanini usipigwe makofi?
Kwa kifupi fujo hazitakiwi regardless mtu anakula ugoro mirungi remy martin jamaa katandikwa kisu mbele ya familia yake wangeongea kistaarabu yote hayo yangetokea wapi
 
Ni kazi yao. Kila mtu ana kazi yake ambayo inamfanya halali kwaajili ya wengine. What’s your point?
Sasa ndio msiwalatee dharau za kijinga na kuwachokoza, umekula bangi zako umeshiba nenda kwenu kalale usizi bangi zikikata ingia road usanye abiria sio unakula mibange yako huko alafu unaenda kutafuta ugomvi na watu ili uwachome bisibisi
 
Majeshi ni vyombo vinavyotumia nguvu katika utekelezaji wa dhima ya uwepo wake. Hivyo, ni vema kila raia akawa anatambua na kuliheshimu hilo.

Vilevile majeshi huwa na utaratibu wake wa kulinda taswira na hadhi za majeshi hayo. Hivyo, aina yoyote ya kuyakosea adabu hadharani, ni lazima ile kwako.

Pekee kinachohitaji majeshi haya toka kwa raia ni kuheshimika tu. Ukithubutu kumvunjia heshima Mwanajeshi yeyote yule, Wadepo wenzake hawatakuacha.

Wadepo hubaki kama familia hata kama watapangwa kwenye kambi tofauti. Watajikusanya tu wakujie kwa ajili ya heshima ya jeshi.

Ova
Kama wamepata mafunzo maalum kwanini wasubiri kukusanyana wengi?

Halafu, dunia inajitahidi kuwa na majeshi ya kisasa. Sisi bado tunataka majeshi yaliyotumika huko Sabibor

Heshima hizi za kutafutwa baa za vichochoroni hazina maana yoyote. Tujifunze kuheshimiana kila mtu kwa nafasi yake.
 
Simulizi hizi ndio walizojaa nazo vijana wengi na wanatembea na hii mentality ambayo sio sahihi na sio kweli,

Binafsi ukiwa muonevu siku ukiingia cha kike kama hao jamaa zako wawili huwa nafurahi sana. Na walipigwa kweli kweli…na wananzengo walifurahi maana walichoshwa na tabia zao! Kuna lingine mkuu?
 
Shida sio hekima shida ni chuki, I'm telling you I know what I'm telling you raia punguzeni chuki na Jeshi lenu,

Sasa majuzi kwenye msako wa gwanda zao MPs wameingia Karume kibabe wanajibebea bidhaa hata ambazo hazihusiki wala hazifanani na sare JWTZ! Unataka watu wasiwachukie? Nchi yenyewe masikini bado mtumie mamlaka yenu vibaya kila kukicha kuonea watu!
 
Mkuu yaani nimecheka mpaka basi!!!

Watu walifurahi maana walikua washawachoka tabia zao za ubabe wa kijinga kisa wanajeshi.
Mkono ulitembea ndani ya Bar, wajeda wakaona moto mkali wakaamua zikapigwe nje…kosa kubwa sana….zilitoka chokuzuki na mawashigeri pale watu chali[emoji28]
 
Kama wamepata mafunzo maalum kwanini wasubiri kukusanyana wengi?

Halafu, dunia inajitahidi kuwa na majeshi ya kisasa. Sisi bado tunataka majeshi yaliyotumika huko Sabibor

Heshima hizi za kutafutwa baa za vichochoroni hazina maana yoyote. Tujifunze kuheshimiana kila mtu kwa nafasi yake.

Kwa wanachokifanya sasa ndio wanadhihirisha UJINGA wao kwa sababu wanapiga watu indiscriminately! Wanawake kwa wanaume…kuna watu wameumizwa vibaya pasipokua na kosa lolote, kosa lao ni kupita Kawe!
 
Kwa wanachokifanya sasa ndio wanadhihirisha UJINGA wao kwa sababu wanapiga watu indiscriminately! Wanawake kwa wanaume…kuna watu wameumizwa vibaya pasipokua na kosa lolote, kosa lao ni kupita Kawe!
Aibu sana,je raia wote wakijitoa wajibu nao

Ova
 
Hii inaitwa .... raia wakichoshwa na maisha yao uwa awaogopi kitu chochote mbele yao. Tujifunze nidhamu utu na busara. Kuuwa mtu sio jambo la kufurahia bari ni udhuni. Unatoa uwahi wa mtu ki masihala hivi,
 
Ametaka kumchukulia poooa
Ameambiwa mshua sogeza gari nipite
Akaanza ooh sikupishi, kwanza unanijuuaaa
Akamtandika Dogo mibao ya usoni
Ndipo Dogo akamwambia we mzee Hapa umeyakanyaaga
Ngoja nilete bisibisi nije nikafungue moyo kama injinii
Kanali Ameyatimbaa aaaaah ameyatimbaa ooooh ameyatimbaa
Tokoto tokotototo tokoto tokoto tokotototo......
 
Majeshi ni vyombo vinavyotumia nguvu katika utekelezaji wa dhima ya uwepo wake. Hivyo, ni vema kila raia akawa anatambua na kuliheshimu hilo.

Vilevile majeshi huwa na utaratibu wake wa kulinda taswira na hadhi za majeshi hayo. Hivyo, aina yoyote ya kuyakosea adabu hadharani, ni lazima ile kwako.

Pekee kinachohitaji majeshi haya toka kwa raia ni kuheshimika tu. Ukithubutu kumvunjia heshima Mwanajeshi yeyote yule, Wadepo wenzake hawatakuacha.

Wadepo hubaki kama familia hata kama watapangwa kwenye kambi tofauti. Watajikusanya tu wakujie kwa ajili ya heshima ya jeshi.

Ova
Wapumbavu tu
 
Hadi muda huu tunavyo zungumza dereva bajaji hajafa. Tulimpata saa 8 za usiku akiwa anatoroka mapaka saa 9 tulifanikiwa kumminya kende na Kwa bahati mbaya kende Moja tumeipasua[emoji1787][emoji1787]

Hakuna sehemu kwenye mwili wake ambayo hatujaigusa tulikuwa tunamfinya akipoteza fahamu tunamzindua Kwa madripu akiamka kipigo na kifinyo kinaendelea.

Mpaka muda huu tumefanikiwa kuichakaza vibaya ngozi yake kiasi ukimuangalia huwezi kutamani kula nyama na huwezi kuamini kuwa huyu ni mtu[emoji24][emoji24][emoji24]

Kwa kifupi huyu mtu alileta taflani kubwa iliyopelekea Jana usiku wanausalama wakarushiana risasi wenyewe Kwa wenyewe.

Ndugu zangu tujifunze kudhibiti hasira Kwa kilicho tokea jeshi Lina omboleza hivyo na lenyewe haliwezi kukubali hii ni kama kulizalilisha Jeshi.

Na kama mjuavyo history ya jeshi letu halijawahi kushindwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787] kitu pekee ilicho wahi kushindwa ni Yale maasi ya kumpindua Nyerere TU.

In advance Rest in Peace dereva bajaji. Maana najua hata tukimuachia aende zake Kwa alicho kipata awezi kufikisha masaa 72 akiwa hai[emoji24][emoji24][emoji24]​
Wapumbavu tu hata wakimuua huyo dogo mpumbavu mwenzao atafufuka? Imeisha hyo na waKae chonjo shida ya afya ya akili ni halisi watu wanaua tu.
 
Sheria za Jeshi haziruhusu mwanajeshi kufanya vurugu kwa raia unreasonably, unaelewa sijui? Pima kilichotokea bila kuegemea upande kila mmoja ana makosa kwa namna yake kwa hio usiseme mwanajeshi ndio mwenye makosa, unakua unakosea sababu Barabara hawajatengezewa bodaboda tu hata km ikiwa blocked na mwanajeshi unajua kwanini ameblock kwanini usiulize kwa utaratibu ukajibiwa kwa utaratibu unatumia maamuzi ya kumuua kwanini mna-support ujinga nyinyi?
We jamaa unaonekana mshamba, mjinga halaf huna self discipline,. Endeleeni na ubabe Wa kifala kila mtu amuheshimu mwenzie nchi sio yenu tu. Raia wakichoka tutayasikia mengi na ushamba wenu. Kataa kubali hasara ni kwa huyo aliyekufa huyo boda anaishi km kafa hana cha kupoteza haya afande akajimwambafai kaburini
 
Back
Top Bottom