Kazini kwangu ninaowasimamia hawanisikilizi, naomba ushauri



Wana nguvu ya ziada wanayo tumia? Je una nguvu ya Mungu wa kweli ya kupambana nao?
 
Itisha kikao na panga tarehe ya hicho kikao,pia mada ya hicho kikao yaani kueleza majukumu Yako na wao majukumu Yao na mwisho,Hatua za kufanya pindi mtu atakayekiuka mlichokubaliana kwenye kikao.Kifanywe kwa maandishi na waliohudhuria wasaini Unokounoko!
 
Haya majamaa sijui kama wanaenda hata vikao
 
Wapige bomu kama lile alilopigwa Fatma Karume na vijana wa Magufuli
 
Ko mimi nianze kuwafundisha na kuwapa matumaini? Mbona sio nilichopangiwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…