princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Twende mbele turudi nyuma jamaniMwanangu hata ningekuwa ndiye kocha wa Simba ningeshauri hivyo! Timu haina Camarra, Che Fondo na Kapombe nani angezuia mtiti wa Pacomé, Aziz Ki, Ikangalombo, Mzize na Dube?
Hata we kuweza😆😆😆😆 wamefanya uamuzi mgumu