Kemi Badenock Mdada wa Kiingereza ambaye Wazazi wake walitokea Nigeria aweka Historia kuwa Mwafrika wa Kwanza Kuongoza Chama cha Conservatives UK

Quruani imetungwa karne ya saba mambo ya 3000yrs ago imeyakopi na kuongezea Confusion.
Ibrahim hakuwa myahudi wala mkristo, liko wazi kabisaaa wayahudi walitokana na mjuu wake Yakobo na wakristo walikuja miaka mingi baada ya Yesu kufariki
 
Kumbe Mungu ni wa watu weusi tu sa Yesu ni mzungu au lile ni sanamu tu 😄 Ndio mana weusi hawaendelee kumbe wana Mungu wao tofouti na Warabu na Wazungu 😄

Punguzeni ujinga Allah ndio God ndio Mungu ni lugha tu tofouti.
Kwanini masuala ya dini yamepoteza utu wako na kuhalibu akili yako ndugu yangu mtanzania mwenzagu
 
Hivi kwa nini Waafrika huwa wanafurahia inapotokea mtu mwenye asili ya Afrika kapata nafasi ya uongozi wa juu kwenye nchi zilizoendelea?
Ni hatua kubwa kwa waafrika KUTOKA kuwa watumwa wa wazungu Hadi Viongozi wa wazungu

Kwa Mwafrika mwenye moyo ambao sio wa kichawi lazima afurahie
 
Una
Una kitu hebu rudia tena
Kwamba unasema? Rudia tena hawajasikia
 
Tukiitana Khadija,Yahya, Hussein na Fatma ni sawa?
 
Huko Uarabuni Mtu mweusi hawezi kupewa nafasi kama hiyo wanatuita Al Abidi.
Sheikh Saad Abdallah Al Sabah alikuwa mweusi na mama yake mtumwa
Alikuwa mfalme (Amir) wa Kuwait na Airforce ya huko wakubwa wote yaani top ni weusi wao ndio wameshika post nyeti kabisa
I was there wala sio ya kuhadithiwa mkuu
Kwa hili nalijua sana
Nimekaa miaka ya 80 nchi hizo
Kweli wanakuita Abid ila duniani kote ubaguzi upo
Na hapa nilipo sasa kupanda inabidi upambane haswa na ubaguzi umo ila serikali inakaza na unaweza kufungua kesi kwa hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…