Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
- Thread starter
-
- #41
Binafsi naona kama haileti sense lakini kwa Kenya sishangaiJe hakuna taratibu za kuripoti mtu aliyepotea!? Au ni hisia za kujua mwanamke akitoka yupo salama Kwa mwanamume!? Hii haijakaa SAWA, ni dada zetu ni mama zetu, je kuwa simple, kujirahisi Ndio iwe adhabu ni kifo!? Polisi inatakiwa watoe report za hao wote waliopotea pamoja na mhanga wa kwanza mke wake mtuhumiwa
Maisha ni vita, ila sio kila vita ya kupigana zingine hazina manufaa yoyotemaisha si vita eti
Nadhan hivoLicha ya bongo kuwa na serikal ya hovyo ila haya mambo kwetu ni ngumu sana ,police wetu wangekudaka tu zamaan
nimeangalia hiyo channel inaonekana kama mchezo wa kuigizaNdio
Ni rahisi sana Mkuu, nikuulize swali. Unafahamu mtaani kwenu leo auwezi huu kumehamia wakazi wapya wangapi? Na wangapi wamehama huo mtaa.Kesi za wanawake arubai kutoweka ??
Haonekani kazini
haonekani nyumbani
simu yake haipatikani
nk
mbona siyo rahisi labda uniambia police wakipelekewa mtu kapotea hawafanyii kazi
Mwanajf hebu nenda ka google kuhusu serial killerSakata linaanza na Mwili mmoja wa mwanafunzi aliyekua anasoma Jomo kenyata university of Agriculture and technology (JKUAT) unagunduliwa kwene ambapo eneo la dampo mjini Nairobi.Baada ya kutolewa unagundulika ni wa kijana anaitwaā¦densel Omondi⦠raia wanadhan kua aliuawa na vyombo vya usalama kutokana na maandamano ya kupinga Financial bill
Lakini baadae miili mingine 8 inakuja kugunduliwa na yote ni ya wanawake. Pia nayo raia wanaihusianisha na maandamano na wananchi wanafura hasira wakitupia serikali polisi kua ndio inahusika lakini safari hii serikali inataka kujinasua kudhibitisha haihusiki na miili hii, hivo wanatakiwa wafanye haraka kabla hasira za Gen Z hazijapamba moto
Upelelezi wanaingia kazini lakini wanachokipata si kile walichokitegemea.
Wanakuja kugundua wanawake wote hawa walikua wanauliwa na kijana anaitwa COLLINS JUMAIS! KHALUSHA. Alipohojiws alikiri alianza kuwaua baada ya kumuua mke wake kwanza.
Yote haya alitekeleza ndani ya miaka miwili na kukamilisha watu 42.
Swali ni je
Huyu muuaji aliweza vipi kuua watu wote hawa bila kujulikana??
Muuaji anaakili gan ya ziada kuwashinda usalama?
ā¦ā¦ā¦.
Kama anaweza isingekua haya maandamano basi muuaji angeweza kufikisha idadi kubwa zaidi??
Ni wauaji wangap wa aina hii wanaoua na bado hawashikwi?
NishagoogleMwanajf hebu nenda ka google kuhusu serial killer
Hapa inafikirishaNa shimo waliotupwa watu wote hao, lipo mita chache Kutoka kituo Cha polisi!!
yupo kwene financial bill saizi haelewiBLACK MOVEMENT ijibie nchi yako pendwa.
Serikali ya Ruto inapanua magoliš¤Hapa inafikirisha
Ndio kazi ya usalama mkuu!!Ni rahisi sana Mkuu, nikuulize swali. Unafahamu mtaani kwenu leo auwezi huu kumehamia wakazi wapya wangapi? Na wangapi wamehama huo mtaa.
Mfano kuna watu wanatoka Kibaha na morogoro wanakuja kujiuza Dar wanakaa siku kadhaa alafu wanarudi makwao. Sasa mfano serial killer akawa anawaua hao unafikiri itakuwa ni rahisi kugundulika?
Kwa mjini ni rahisi sana tofauti na vijijini ambapo hata mtoto akienda shule boarding kijiji kizima kinajua kuna mtu kasafiri.
Mtaani kwenu tu sahivi unaweza kuta kuna vijana wa chuo wamekuja likizo wakakaa hata mwezi mzima wala hata mtu usijue.
Ushapata majibu ya mshangao wako? Kuna ma serial killer wameua watu mpaka 100 ndio wamekuja kukamatwa.Nishagoogle
Lakin wapo hasa watu wakubwa wao hutoa tu orderUzungu mwingi kwa raia kila mtu na maisha yake kwa bongo mtu baki tena kwenye slums ukifikisha watu watanov bila kubainika wewe kidume
mkuu katika orodha ya maserial killer sijaona huyo aliyeua watu 100Ushapata majibu ya mshangao wako? Kuna ma serial killer wameua watu mpaka 100 ndio wamekuja kukamatwa.
fungeniSerikali ya Ruto inapanua magoliš¤
Luis Garavito kamgoogle huyumkuu katika orodha ya maserial killer sijaona huyo aliyeua watu 100