Kenya: Ilikuaje hadi mtu mmoja anaua watu 42 bila polisi kujua?? Je muuaji ni mwerevu kuliko vyombo vya usalama?

Kenya: Ilikuaje hadi mtu mmoja anaua watu 42 bila polisi kujua?? Je muuaji ni mwerevu kuliko vyombo vya usalama?

Je hakuna taratibu za kuripoti mtu aliyepotea!? Au ni hisia za kujua mwanamke akitoka yupo salama Kwa mwanamume!? Hii haijakaa SAWA, ni dada zetu ni mama zetu, je kuwa simple, kujirahisi Ndio iwe adhabu ni kifo!? Polisi inatakiwa watoe report za hao wote waliopotea pamoja na mhanga wa kwanza mke wake mtuhumiwa
Binafsi naona kama haileti sense lakini kwa Kenya sishangai

Kama watu 400 walikufa ndio serikali kuja kugutuka
 
Kesi za wanawake arubai kutoweka ??
Haonekani kazini
haonekani nyumbani
simu yake haipatikani
nk
mbona siyo rahisi labda uniambia police wakipelekewa mtu kapotea hawafanyii kazi
Ni rahisi sana Mkuu, nikuulize swali. Unafahamu mtaani kwenu leo auwezi huu kumehamia wakazi wapya wangapi? Na wangapi wamehama huo mtaa.

Mfano kuna watu wanatoka Kibaha na morogoro wanakuja kujiuza Dar wanakaa siku kadhaa alafu wanarudi makwao. Sasa mfano serial killer akawa anawaua hao unafikiri itakuwa ni rahisi kugundulika?

Kwa mjini ni rahisi sana tofauti na vijijini ambapo hata mtoto akienda shule boarding kijiji kizima kinajua kuna mtu kasafiri.

Mtaani kwenu tu sahivi unaweza kuta kuna vijana wa chuo wamekuja likizo wakakaa hata mwezi mzima wala hata mtu usijue.
 
Sakata linaanza na Mwili mmoja wa mwanafunzi aliyekua anasoma Jomo kenyata university of Agriculture and technology (JKUAT) unagunduliwa kwene ambapo eneo la dampo mjini Nairobi.Baada ya kutolewa unagundulika ni wa kijana anaitwa…densel Omondi… raia wanadhan kua aliuawa na vyombo vya usalama kutokana na maandamano ya kupinga Financial bill

Lakini baadae miili mingine 8 inakuja kugunduliwa na yote ni ya wanawake. Pia nayo raia wanaihusianisha na maandamano na wananchi wanafura hasira wakitupia serikali polisi kua ndio inahusika lakini safari hii serikali inataka kujinasua kudhibitisha haihusiki na miili hii, hivo wanatakiwa wafanye haraka kabla hasira za Gen Z hazijapamba moto

Upelelezi wanaingia kazini lakini wanachokipata si kile walichokitegemea.
Wanakuja kugundua wanawake wote hawa walikua wanauliwa na kijana anaitwa COLLINS JUMAIS! KHALUSHA. Alipohojiws alikiri alianza kuwaua baada ya kumuua mke wake kwanza.
Yote haya alitekeleza ndani ya miaka miwili na kukamilisha watu 42.
Swali ni je
Huyu muuaji aliweza vipi kuua watu wote hawa bila kujulikana??
Muuaji anaakili gan ya ziada kuwashinda usalama?
……….
Kama anaweza isingekua haya maandamano basi muuaji angeweza kufikisha idadi kubwa zaidi??
Ni wauaji wangap wa aina hii wanaoua na bado hawashikwi?
Mwanajf hebu nenda ka google kuhusu serial killer
 
Ni rahisi sana Mkuu, nikuulize swali. Unafahamu mtaani kwenu leo auwezi huu kumehamia wakazi wapya wangapi? Na wangapi wamehama huo mtaa.

Mfano kuna watu wanatoka Kibaha na morogoro wanakuja kujiuza Dar wanakaa siku kadhaa alafu wanarudi makwao. Sasa mfano serial killer akawa anawaua hao unafikiri itakuwa ni rahisi kugundulika?

Kwa mjini ni rahisi sana tofauti na vijijini ambapo hata mtoto akienda shule boarding kijiji kizima kinajua kuna mtu kasafiri.

Mtaani kwenu tu sahivi unaweza kuta kuna vijana wa chuo wamekuja likizo wakakaa hata mwezi mzima wala hata mtu usijue.
Ndio kazi ya usalama mkuu!!
Kuwa tofauti na watu wakawaida
Kuwa na mbinu tofauti
Kumbuka hawa wamekaa darasan kusomea yote hayo unayoongea

Kwaiyo usilimganishe mm na chombo cha upelelezi
 
Uzungu mwingi kwa raia kila mtu na maisha yake kwa bongo mtu baki tena kwenye slums ukifikisha watu watanov bila kubainika wewe kidume
 
Ushapata majibu ya mshangao wako? Kuna ma serial killer wameua watu mpaka 100 ndio wamekuja kukamatwa.
mkuu katika orodha ya maserial killer sijaona huyo aliyeua watu 100
 

Attachments

  • 12C7EE63-F2EE-447D-8FD7-F209A4205075.jpeg
    12C7EE63-F2EE-447D-8FD7-F209A4205075.jpeg
    652.6 KB · Views: 1
  • A44B2A8A-B555-4BDF-91CD-9799EA267F43.jpeg
    A44B2A8A-B555-4BDF-91CD-9799EA267F43.jpeg
    315.5 KB · Views: 1
Back
Top Bottom