Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
- Thread starter
- #81
rudia mkuu, fanya nieleweLabda hujaelewa nilichoongelea Mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
rudia mkuu, fanya nieleweLabda hujaelewa nilichoongelea Mkuu.
Vyombo vya habari vinadai alilazimishwa kukiri.Watupumzishe Jamani. Kwa hiyo muuaji alikuwa anangojea watu waandamane ndiyo aanze kuua?.
Polisi wametafuta mtu wa kumtupia mzigo, wao ndiyo wanahusika.
Hapa namm nimepata wasiwasi haiwezi kua hivi.Ujinga mwingi huu,watuhumiwa wa mauaji 9 wanahojiwa kwenye sebule.
Ina makochi na wanakalishwa kwenye makochi hawana hata pingu,
Maigizo haya
Kwaiyo anakua na kibali cha kuwahoji na kuwapiga piga hivoSio maigizo ni true,lakini chanzo cha kujulikana ni huyo mwenye hiyo Youtube Channel Senior Dave ndie aliyevumbua baada ya kuwakuta jamaa na demu wake na kuwafanyia challenge Loyalty Test,kisha akawashirikisha Polisi ndio ukamataji wa watuhumiwa wengine ukaendelea
🤣 wenzako bangi wanavuta wewe unatafuna shauli yako!Kenya intelijensia yao iko chini sana hata wewe ukiamua unaweza kuingia ikulu ukamnasa Rais makofi na ukaondoka walinzi wasikuone
😂😂😂🤣 wenzako bangi wanavuta wewe unatafuna shauli yako!
Kenya haina Tiss mkuulengo lake kuua lilikuwa nini? mbona naona kama ni tiss wao amewekwa tu hapo kupoteza ramani?
Hata maigizo hawajui mpangilio.Hapa namm nimepata wasiwasi haiwezi kua hivi.
Uongo upi mkuu? Umesahau alshabaab walikuwa wanaungia na kutoka Kenya wanajua Hadi maaskaru wao katikati ya mji?😂😂😂😂mkuuu sasa hapa ni uongo zaid ya movie za kiihindi
Mjinga kabisa weweKenya intelijensia yao iko chini sana hata wewe ukiamua unaweza kuingia ikulu ukamnasa Rais makofi na ukaondoka walinzi wasikuone
Serial killers are everywhere. And are very smart up stairs, eg is British Dr Harold Frederick Shipman. He killed 250 mostly wealthy old women.Kwaiyo hao wanawake wote nani kaua?? au taarifa imetiwa chumvi
Alikua anawaua kisa nnSerial killers are everywhere. And are very smart up stairs, eg is British Dr Harold Frederick Shipman. He killed 250 mostly wealthy old women.
Heeeh ameongea maoni yake naweza kumuunga mkono 40%Mjinga kabisa wewe
Kati hayo maswaliKuna jambo limejificha hapo, miili kukutwa karibu na kituo cha polisi, kwanini iwe sasa, je omondi nae aliuwawa na huyu? Miili ya wanawake mna uhakika ni wanawake au walivalishwa nguo za kike kupoteza maboya, kwanini iwe ni baada ya maandamano? Yani mtu mmoja aue watu wote hao awatupe karibu na kituo cha polisi bila kushtukiwa!!! Haiwezekani km inawezekana basi ni uzembe wa serikali, na pengine bila kelele za wananchi na hali tete ya maandamano kutishia serikali huenda mauaji hayo yangeendelea,, Ruto atoke tu kashachemka
Yaan ufike ikulu kirahisi ivoUongo upi mkuu? Umesahau alshabaab walikuwa wanaungia na kutoka Kenya wanajua Hadi maaskaru wao katikati ya mji?
InafikirishaKwahiyo kuna mtu kabisa anakaa akiamini bwana huyu kaua watu 42 alafu akawa anawatupia karibu na kituo cha polisi kwa muda wote huo? Mwili mmoja, wa pili, wa tatu mpaka kumi zilizo nne, kisha mbili kama nyongeza, sio baharini, ah-ah, karibu na kituo cha polisi.
Tuwe serious.