Hana akili tu, unakopa ili ukalipe mahari unasahau kuwa huyo mke ni mjamzito sasa sijui akijifungua napo ukakope tenaJamaa ni boya sana. Hapo alitakiwa awaambie ana laki nne (inne in kiha voice) tu wakizingua anasepa na wangemtafuta tu ikizingatiwa kuwa tayari kampiga mimba binti yao.
Hayo madeni yanaenda kumtesa milele ikizingatia mke mwenyewe ni used tena kweli kweli (in Magufuli voice) nhiiiiiii
We ulizidisha adhabu yaani ukatoa mahari alaf ukagoma kumuoa? Hapo lazma wao umemtia mtoto wao gunduHahahahahaha! Mimi walifanya hivyo nikawalipa mahari yote then nikawaambia sina mpango wa kumuoa,ila nitamuhudumia mtoto wangu,now imepita miezi 9 tangu ajifungue natoa huduma kwa mtoto kama kawaida,ilibidi mama mkwe aombe radhi kwa waliyoyatenda,nimewajibu nimeshawasamehe ila siwezi kumuoa binti yao.
Iyo au hiyo?
Staili hii ndio hufanyika kwa wapenzi wengi.Uyu binti akil empty aiseee alitakiwa apange na mumewe mtarajiwa kias ambacho mume kajiandaa pili angeenda kuongea na wazaz wake kuhus mahal hiyo kabla mchumba kwenda akisema asikilize wazaz atadodea nyumban watoto wote atazalia nyumban afu hawo hawo wazaz waliyotak kumuoza kwa gharama kubwa wataanza kumsema mbona haolewi wasichana kuwen na akil na maarifa vijana wanatafuta kwa nguvu kubwa mno kwahiyo usiposimama wew kama msichana utaishiwa kuposwa na kuachwa
Mimi mume wangu aliyenitolewa mahal mwez wa4 nilipanga nae kabisa budget aje atoe mill1 nalaki5 aifadhi kama posa nauli mana alitoka mbal mahar pa kufikia na kusafirisha baadh ya ndugu nashukuru mungu nilikaa na mama yangu na kaka yangu nikawaambia hal halis kuwa kijana huyu n kijsna ninaempenda pia uchum bado so akja na chochote mumpokee nikawashawish wakanielewa kwahiyo walivyokuja mambo hayakuwa meng yalienda mteremko tu
Safi kabisa...wacha wakae na mtoto wao.Hahahahahaha! Mimi walifanya hivyo nikawalipa mahari yote then nikawaambia sina mpango wa kumuoa,ila nitamuhudumia mtoto wangu,now imepita miezi 9 tangu ajifungue natoa huduma kwa mtoto kama kawaida,ilibidi mama mkwe aombe radhi kwa waliyoyatenda,nimewajibu nimeshawasamehe ila siwezi kumuoa binti yao.
Swala sio kulipa mahari. Swala ni kulipa milioni tatu cash, in full amount kama dau la mahari.Usisahau kuwa nawe ulimfanya mtoto wao chombo cha starehe ukijimwambafy na unapokuwa kwenye halaiki ya watu.
Haya hivyo nina uhakika ungepewa bure naponungeanza kulalamika mwanamke gani huyu nimepewa bure...
Lipa mahali kamata mke....
Ndio maana huwa naipenda sana dini ya kiislam hawanaga haya mambo ya tamaa tamaa, Yaani ukweli mimi sio muislam ila ninapofika katika swala hili la kutoa posa naona dini hili walifuata sheria ya Mungu.
Wakristo tumejawa na tamaa nyingi sana kama vile tunauziana bidhaa
I meant mahari ilikuwa milioni 6Posa mil 6!!? Na mahari itakuwa sh ngapi?
Sio sawa kabisa mana wanadaigi mpunga mrefu sana Sasa kwa Vijana na maisha ya Leo yalivyo tight Vijana wanaweza gaili kuoa kisa mahali.
Kumbe ni wahaya wote wana hizo mambo MI nilijua ni wanyambo tuu wenye hizo mamboSio karagwe tu, hio ipo kwa jamii za wahaya wote. Niwachache sana ambao hawana hizo mambo.
Kijana alitakiwa kuwaambia halipi mahari mana mtoto wao ameshazaa kitambo,kwahiyo yeye apewe mke tuMuoaji na wakwe zake wote hawana akili.
Binti mwenyewe ni mchafu alizaa akiwa na miaka 18 tena nje ya ndoa.
Wazazi wengine bhana sijui ata wanaujinga gan vichwan mwao, mtu kaamua kuficha aibu ya mtoto wao ila bado wanamuona mjinga
Singomaza kwa 3m heri hiyo pesa angeifanyia starehe....singo maza hana mahari unachukua mzigo free.