Kero ya kukuta mtu kakaa kwenye siti yako ya dirishani kwenye Bus.

Kero ya kukuta mtu kakaa kwenye siti yako ya dirishani kwenye Bus.

Kwani tatizo liko wapi, si umwambie akupishe tu. Akikataa muite Konda au wahusika waoneshe tiketi yako waambie na kinachoendelea.
 
Jinga ni wee ambae unashindwa kumuambia akupishe ukae kwenye seat yako.
Poleeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimekumbana na changamoto ya hivyo kwenye Azam marine boat wakati nasafiri kwenda Zanzibar lakini pia wakati nasafiri na ATCL kwenda Mwanza.

Seems Watanzania tunapenda sana kukaa seat za dirishani, yaani mnaweza hata kugombana katikati ya safari Kwa mtu kukaa seat yako ya dirishani 🙌

Binafsi nikikuta umekaa seat yangu ya dirishani hata siangahiki kukutoa, najua bila kukuta nimekata hiyo seat obvious ungekata wewe
 
Mna deal vipi na hawa watu maana kusafiri ni starehe pia.

Yaani una chagua siti yako ya dirishani una lipia ili kesho usafiri kwa raha uki enjoy mazingira afu una kuta mtu kakaa kwenye iyo siti na wala hajiongezi kabsa ana jikausha kimya as if hamna kilicho tokea .

Binafsi hili jambo lina nikera sanaa na ubaya huwa siwezi kumwambia mtu atoke kwenye siti yangu kuepusha maneno.

Ila watanzania mjaribu kuwa wastaarabu kama una jijua umechelewa kukata ticket na uja kata ya dirishani ni kheri uombe au ukae siti yako sio una jiwahisha mapema afu una jiona mjanjaa kumbe jinga tu.
Mwingine anafanya makusudi anajua utamuonea aibu...
 
Mama enyewe kule UK alipambabia siti ya dirishani.,, mimi ni nani nikuachie siti yangu
Ile siti ya dirishani ilikua ya Ruto, sema Ruto akaamua kumuachia Dada yake maana anajua kua wanawake by nature ndiyo wanapenda sana siti za dirishani haijalishi hata kama kawa Rais!!
 
Ila ukikuta pisi kali unatulia 😂😂

Kuna siku nilipanda bus nikakaa siti ya dirishani sio yangu ila jamaa akawa humble na vocha nilinunuliwa acha chakula cha njiani nilifaidi 🤣🤣🤣
Aliomba namba nikamwambia anipe zake tulivyoshuka nikafuta 😹
Pisi zenyewe ndo kina wewe zenye akili kuchukua namba kwanza 😄
Huwa sihangaiki nikikaa na pisi...natoa earphone.

Ila kuna trip ya Mwanza 2013 siwezi sahau mtoto wa Kairuki pale dah Konda ashukuriwee heheee Konda nilimpa Kazi akaitimiza haswa
 
Ila ukikuta pisi kali unatulia 😂😂

Kuna siku nilipanda bus nikakaa siti ya dirishani sio yangu ila jamaa akawa humble na vocha nilinunuliwa acha chakula cha njiani nilifaidi 🤣🤣🤣
Aliomba namba nikamwambia anipe zake tulivyoshuka nikafuta 😹

Niliikuta pisi kali sana imekaa kwenye siti yangu, nikaiuliza kistaarabu na yenyewe ikanijibu kistaarabu kabisa siyo siti yake.

Kwa ule ustaarabu wangu akafikiri hili nalo ndo wale wale, akanielekeza siti yake huko nyuma nikamwambia haiwezekani!! Sipendi siti za nyuma huko thus why nimechagua hapa.

Akapandisha sauti kwa kutoa maneno ya kejeli kunilainisha nikubaliane nae, nikamsikiliza alipomaliza nikamwambia kistaarabu kabisa kuwa "dada, ulikata siti kwa pesa yako, uhitaji wako, matumizi yako na chaguo lako, nami pia hivyo hivyo. Tuheshimu tuliyoyafanya." Akanyanyuka kimya kimya!!

Siangaliagi sura lakini pia afadhali tungekuwa siti za pamoja! Imagine aje akae siti namba tano eti nikakae siti yake namba 33 huko!!

She was not serious kwa kweli!
 
Back
Top Bottom