Kesho Mwanza CHADEMA itaifunika CCM sherehe za uhuru. Wakuu wa chama kuhudhuria

Huo uoga wa akili yako, pole sana.
 
strategic hiyo.
Waende hapo wavae tishirt mbili ila wakifika wavue ya juu wabakie na ya ndani iliyoandikwa
Nchi yetu sote TUPENDANE
 
Mbona muda wote unaota fedha ya ruzuku?
 
Ndiyo ni lazima na inasaidia sana kuhamasiha makamanda wajitokeze kwa wingi tena vifua mbele kushehekea uhuru wetu tuliopata kwa beberu mweupe pia kuwasilisha malalamiko ya uhuru wetu uliopokwa na beberu mweusi.
Sie tuliwaambia suseni tu mtatukuta mbele ya safari. Magufuli unavyozidi kumnunia ndio unamuongezea mwendo.
 
Baada ya hapo, utasikia kunamtu katekwa /kapotea Kanda ya ziwa.
 
Ana shahada zinazotambulika ulimwenguni wewe Je?
Kasome maandishi ya Ben Sa8 ndiyo utajua huyu kichwa korosho Hanna kitu. Unadhani kwann Ben Sa8 hajulikani alipo mpk leo? Alimuumbua kichwa korosho
 
Uwezo wako wa akili ni mdogo sana! Hujaelewa nasema nini? Duh! Kazi kweli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…