Uoga wako!!
Wasije wakaenda na bisi bisi wakamdhuru Rais wetu
Wakae jukwaa la nyuma kwa usalama zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasije wakaenda na bisi bisi wakamdhuru Rais wetu
Wakae jukwaa la nyuma kwa usalama zaidi
Mrema ambaye mara kwa mara anahudhuria Ikulu kwenye chaguzi mumempelekea fuso tatu kiraracha.
Kwenye msiba mkubwa wa Meli iliyoua hawakwenda ila kwenye sherehe wanaenda .Aiseeee
Anyway naona Mbowe yuko.kwenye kampeni atabeba wajumbe kibao kwa pesa ya ruzuku awalaze mahoteli mazuri wale wanywe wajione na wao Ni sehemu ya kula ruzuku.Kumbe miaka yote alikula peke yake anataka kuwalambisha kakijiko kadogo ka chai sukari kidogo tarehe 18 December wampe kura
Kamati kuu ya Chadema kwa kauli moja imeazimia kushiriki ktk sherehe za Uhuru zitakazofanyika Mwanza kitaifa.
View attachment 1284723
..lingine Jiwe asijisahau na kuanza kuzungumza KIKABILA.
..hizi ni sherehe za kitaifa, pamoja na kwamba zinafanyika kwao Mwanza.
Una mawazo finyuWasije wakaenda na bisi bisi wakamdhuru Rais wetu
Wakae jukwaa la nyuma kwa usalama zaidi
Hao ni wasanio tu wasikupe tabu.Mbowe akienda Kia anapanda ATC
Mmh, wajiandae kupigwa madongo Na jpm.wameamua kufyata wenyewe
strategic hiyo.Kwenye msiba mkubwa wa Meli iliyoua hawakwenda ila kwenye sherehe wanaenda .Aiseeee
Anyway naona Mbowe yuko.kwenye kampeni atabeba wajumbe kibao kwa pesa ya ruzuku awalaze mahoteli mazuri wale wanywe wajione na wao Ni sehemu ya kula ruzuku.Kumbe miaka yote alikula peke yake anataka kuwalambisha kakijiko kadogo ka chai sukari kidogo tarehe 18 December wampe kura
Mbona muda wote unaota fedha ya ruzuku?Kwenye msiba mkubwa wa Meli iliyoua hawakwenda ila kwenye sherehe wanaenda .Aiseeee
Anyway naona Mbowe yuko.kwenye kampeni atabeba wajumbe kibao kwa pesa ya ruzuku awalaze mahoteli mazuri wale wanywe wajione na wao Ni sehemu ya kula ruzuku.Kumbe miaka yote alikula peke yake anataka kuwalambisha kakijiko kadogo ka chai sukari kidogo tarehe 18 December wampe kura
Sie tuliwaambia suseni tu mtatukuta mbele ya safari. Magufuli unavyozidi kumnunia ndio unamuongezea mwendo.Ndiyo ni lazima na inasaidia sana kuhamasiha makamanda wajitokeze kwa wingi tena vifua mbele kushehekea uhuru wetu tuliopata kwa beberu mweupe pia kuwasilisha malalamiko ya uhuru wetu uliopokwa na beberu mweusi.
Hivi kwao Mwanza!!
Hawakujali wakamuibia kila kura.Alilalamika sana, mzee wa kiraracha!!
Wakisikia Dk. Slaa naye kahudhuria hawataenda!Ndio maana hawaalikwi Ikulu, hawaaminiki wale
Kasome maandishi ya Ben Sa8 ndiyo utajua huyu kichwa korosho Hanna kitu. Unadhani kwann Ben Sa8 hajulikani alipo mpk leo? Alimuumbua kichwa koroshoAna shahada zinazotambulika ulimwenguni wewe Je?
Uwezo wako wa akili ni mdogo sana! Hujaelewa nasema nini? Duh! Kazi kweli!Hapo ndipo unapoonesha umbumbu wako, kwani hao twaweza walitoa hizo takwimu kufuata uchama? Ati wasomi wengi na sisi ambao ni wasomi tuseme nini au kwa sababu sio wana Chadema? Hii ni mpya yaani biashara zote kubwa zinamilikiwa na Chadema? Haya endelea kuwasingizia twaweza.