Kesi ya Mbowe: Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi, Dkt. Hussein Mwinyi atajwa kumtumia pesa Mtuhumiwa

Uoga ni kwasababu tayari ana maamuzi ya kesi mfukoni.

Lakini pia najiuliza Mwinyi alimtumia Bwire pesa kwa madhumuni gani?
Watoto wa vigogo na watu wenye kutafuna mema ya nchi ndio waliojitolea kumsingizia Mbowe ugaidi , hii ni baada ya askari wengi waliopanga kutumika kusitasita .

Kuna uzi wangu humu nimeandika "MJUE MAHITA OMARY MTOTO WA IGP MSTAAFU , ndani ya uzi ule nimeandika mambo haya
 
Mmm
 
Kesi hisifutwe
 
Sasa kama haipo kwenye orodha ya miamala, utetezi wametoa wapi?, Itajua kazi bure maana Airtel bado watakana

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…