Kesi ya Mbowe: Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi, Dkt. Hussein Mwinyi atajwa kumtumia pesa Mtuhumiwa

... kwa hili Airtel haliwahusu sana; wanaweza kujitetea. Orodha ya miamala wao waliitoa kama walivyokua instructed na barua ya polisi ambao walikuwa wanataka miamala among specific numbers so, (Airtel) wasingeweza kutoa miamala ambayo hawakuulizwa!
 
Kwani jpm anahusikaje na kesi ya mbowe mbona hamuishi kumtaja mtu aliyekwisha lala
 
Dah.. Hii ngumu kumeza.. Yaani mheshimiwa na convoy lake lote aingie mahakamani
Itabid..aje aseme alikuwa anamtumia za nini. Na kwasababu amemtumia Mara nyingi ninaamini ni hela nyingi kuliko hizo 80,0000 za Mbowe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…