Cathelin
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,071
- 3,995
InawezekanaKuna msomi mmoja atakujapata uprofesa kwa kuandika andiko linalohusiana na utafiti wa kesi kama hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
InawezekanaKuna msomi mmoja atakujapata uprofesa kwa kuandika andiko linalohusiana na utafiti wa kesi kama hii
Soma updates za kesi, utaelewa! Sio kwamba mtu kakurupuka kuulizaSasa kama haipo kwenye orodha ya miamala, utetezi wametoa wapi?, Itajua kazi bure maana Airtel bado watakana
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Hili Taga tunalijua vilivyo.Hatukutaki miongon mwetu wewe TAGA
Nyau baba yakoH
Hamnaaaa banaaa hatukutaki miongon mwetu.
Nyau wewee!
Jaji wa michongoInaonekana huyu Jaji ni mwoga-mwoga. Anasahau ukuu wa kiti chake na mamlaka yake kama mtoa haki.
Vv
We kenge tuliaHili Taga tunalijua vilivyo.
Ni aibu kwa watawala, atawavua nguo sana. Maana wananchi tunapata ukweli live kupitia hapo kizimbani.Kesi hisifutwe
TAGA linajifanya kutuchota akili.We kenge tulia
Kinafiki tu. UNAKERA nani hakufaham humu wewe ni TAGA. Unajifanyafanya humu hutulii kwani huko Lumumba hamna sehemu ya kutaga mayai yako imebaki kuangaikaangaika.Nyau baba yako
Nakusaidia tu, soma hapa.Sasa kama haipo kwenye orodha ya miamala, utetezi wametoa wapi?, Itajua kazi bure maana Airtel bado watakana
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
... kwa hili Airtel haliwahusu sana; wanaweza kujitetea. Orodha ya miamala wao waliitoa kama walivyokua instructed na barua ya polisi ambao walikuwa wanataka miamala among specific numbers so, (Airtel) wasingeweza kutoa miamala ambayo hawakuulizwa!
Ni kweli maana inatoa milio yoteInakaribia kufika Kileleni
Hahahaahhaa dah nimecheka kama mjinga WallahNi kweli maana inatoa milio yote
Kwani jpm anahusikaje na kesi ya mbowe mbona hamuishi kumtaja mtu aliyekwisha lalaHii kesi inavyokwenda Mawakili wa utetezi wanataka kueleza Kila Jambo lililofanyika sirini na kuwataja wahusika. Lakini pia ulimwengu ulivyo Sasa hakuna binadamu wakumwamini. Taarifa nyingine zinatoka Kwa watu waliopewa Madaraka lakini wana hofu ya MUNGU.
Nikiangalia namna Kigogo 2014 anavyopost Leo najiuliza access ya taarifa imekatikaje Baada ya JPM tu kuondoka? Je, palipokuwa panavuja palizibwa vipi mapema hivyo?
Kwa mfano huu ndipo ninapoamini ukitenda Haki utaheshimika na kulindwa, ukiwakosea watu ambao wanakwenda nyumba za ibada kutubu unazalisha watu ambao toba sahihi nikufichua Yale maovu yanayoendelea yasiendelee au jamii ipige kelele usiendelee kuyafanya
Naomba Serikali iangalie kinachoendelea mahakamani kama kina tija Kwa ustawi wa Serikali na nchi kwa ujumla.
Marais wawili kutajwa kwenye cross examination siyo Jambo dog hata kidogo,
Jibu lako hili hapa..Kwa haiba ya Rais Mwinyi kipindi akiwa waziri wa ulinzi sishangai kama kumsaidia mtu anaeyemfahamu kumtumia pesa ikawa ni jambo la ajabu.
Uungwana wake si sababu ya kuona kama alitenda jambo baya na jambo lipo kwa mahakama ngoja niishie hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeumbuliwa mchana kweupeee ! Mamluki we !Taga baba yako shenzi
Itabid..aje aseme alikuwa anamtumia za nini. Na kwasababu amemtumia Mara nyingi ninaamini ni hela nyingi kuliko hizo 80,0000 za MboweDah.. Hii ngumu kumeza.. Yaani mheshimiwa na convoy lake lote aingie mahakamani
Nani mamluki?Umeumbuliwa mchana kweupeee ! Mamluki we !