Kiasi kikubwa cha bangi ya hapa nchini ni kushabu, watu wanavuta makapi sio bangi

Kiasi kikubwa cha bangi ya hapa nchini ni kushabu, watu wanavuta makapi sio bangi

Daah, zaidi ya miaka 20 yote kumbe natumia kushabu? na kupata OG sidhani.
 
Uvutaji wa bangi ni kosa linalokupeleka jela lakini nawaonea huruma watu wanaojiongezea matatizo kwa kuvuta uchafu

Binafsi nimeshashuhudia baadhi ya watu ninaowajua walioanza kuvuta bangi, kwa sasa baadhi yao madishi hayajakaa sawa, kisakolojia hawapo vizuri, wengine maisha yao yamekuwa magumu sana, wengine walikuwa wanafanya vizzuri darasani ila baada ya kuvuta mambo yakawa mabaya, n.k.

Uhalisia ni kwamba kuvuta bangi hapa nchini ni heri utafute starehe nyingine tu, watu wanapata mihemko ya kuanza ama kujaribu kuvuta bangi wakidhani wanavuta bangi lakini kitu wanauziwa mbuzi kwenye gunia tena mbaya zaidi hata hawajui wameuziwa mbuzi, wao watatumia bidhaa wakizani ni orijino.

Ni nadra sana, narudia tena,,,ni nadra sana kukuta sehemu hapa nchini wanauza bangi, sehemu nyingi sana utaikuta bangi ya jero ambayo ni kiwango cha chini sana hakina utofauti na makapi.

Madhara ya kuvuta hizi bangi kwa mara ya kwanza ni kwamba akili yako itabinuliwa, kwa hapa nchini ni kawaida sana kusikia fulani siku ya kwanza aliyovuta bangi alikuwa anakimbia mawingu, kuona nyau kama simba, kucheka kama kichaa, n.k ushahidi wa hizi simulizi ni nyingi sana na ushahidi tosha hapa kwetu watu huvuta uchafu. na sio kilevi.

Mtu anawza kuvuta hata mara 3 akakwambia hahisi kitu hapo ujue kauziwa uchafu unaoenda kupindua akili.

SIFA ZA BANGI KAMILI NI HIZI, NJE YA HAPO TAFUTA STAREHE NYINGINE AMA JICHANGE NAULI UENDE KUVUTA NJE.

Rangi - rangi yake huwa ina ukijani flani ulioiva ukiona bangi ni tofati na hapo hasa ikiwa imefifia sana au kugeuka kuwa brown achana nayo.

Iwe imevunwa na kutumika ndani ya mwezi - Baada ya kuivuna inabidi itumike ndani ya mwezi, Wengi huwa wanauziwa ambazo zilivunwa miezi hata mitatu iliyopita

Harufu - Kuna harufu ya kuijua bangi inayofaa kwa matumizi na ile ambayo haifai aidha ni mbichi, imekomaa kupita kiasi, imevunwa miezi mingi iliyopita n.k. kama huwezi kujua hizi harufu tafuta starehe nyinine.

Mnato - Bangi inayofaa kwa matumizi huwa ina nata nata, isiyofaa hainati

Ukavu - Bangi ikiwa kavu sana hio sio nzuri kwa matumizi tupa kule.

Kusagika - Bangi ambayo haifai huwa mekauka sana, ukiiminya kidogo tu inavunjika vunjika haraka kama nyasi kavu na inasagika kwa urahisi,

Mbegu + vijiti - Ukiona bangi ina vimbegu na vijiti vingi piga chini
 
Uvutaji wa bangi ni kosa linalokupeleka jela lakini nawaonea huruma watu wanaojiongezea matatizo kwa kuvuta uchafu

Binafsi nimeshashuhudia baadhi ya watu ninaowajua walioanza kuvuta bangi, kwa sasa baadhi yao madishi hayajakaa sawa, kisakolojia hawapo vizuri, wengine maisha yao yamekuwa magumu sana, wengine walikuwa wanafanya vizzuri darasani ila baada ya kuvuta mambo yakawa mabaya, n.k.

Uhalisia ni kwamba kuvuta bangi hapa nchini ni heri utafute starehe nyingine tu, watu wanapata mihemko ya kuanza ama kujaribu kuvuta bangi wakidhani wanavuta bangi lakini kitu wanauziwa mbuzi kwenye gunia tena mbaya zaidi hata hawajui wameuziwa mbuzi, wao watatumia bidhaa wakizani ni orijino.

Ni nadra sana, narudia tena,,,ni nadra sana kukuta sehemu hapa nchini wanauza bangi, sehemu nyingi sana utaikuta bangi ya jero ambayo ni kiwango cha chini sana hakina utofauti na makapi.

Madhara ya kuvuta hizi bangi kwa mara ya kwanza ni kwamba akili yako itabinuliwa, kwa hapa nchini ni kawaida sana kusikia fulani siku ya kwanza aliyovuta bangi alikuwa anakimbia mawingu, kuona nyau kama simba, kucheka kama kichaa, n.k ushahidi wa hizi simulizi ni nyingi sana na ushahidi tosha hapa kwetu watu huvuta uchafu. na sio kilevi.

Mtu anawza kuvuta hata mara 3 akakwambia hahisi kitu hapo ujue kauziwa uchafu unaoenda kupindua akili.

SIFA ZA BANGI KAMILI NI HIZI, NJE YA HAPO TAFUTA STAREHE NYINGINE AMA JICHANGE NAULI UENDE KUVUTA NJE.

Rangi - rangi yake huwa ina ukijani flani ulioiva ukiona bangi ni tofati na hapo hasa ikiwa imefifia sana au kugeuka kuwa brown achana nayo.

Iwe imevunwa na kutumika ndani ya mwezi - Baada ya kuivuna inabidi itumike ndani ya mwezi, Weng huwa wanauziwa ambazo zilibunwa miezi hata mitatu iliyopita

Harufu - Kuna harufu ya kuijua bangi inayofaa kwa matumizi na ile ambayo haifai aidha ni mbichi, imekomaa kupita kiasi, imeunwa miezi mingi iliyopita n.k. kama huwezi kujua hizi harufu tafuta starehe nyinine.

Mnato - Bangi inayofaa kwa matumizi huwa ina nata nata, isiyofaa hainati

Ukavu - Bangi ikiwa kavu sana hio sio nzuri kwa matumizi tupa kule.

Kusagika - Bangi ambayo haifai huwa mekauka sana, ukiiminya inavunjika bunjikaharaka kama nyasi kavu na inasagika kwa urahisi, achana nayo

Mbegu + vijiti - Ukiona bangi ina vimbegu na vijiti vingi piga chini
Blaza si tayar una uzi mpya tu,kuhusu hii mada.Ungeendelea na ule.
 
Mwaka 87 jamaa yangu akiwa Luwa JKT , Sumbawanga Aliwaona washkaji wakivuta bhangi, naye akawaomba ajue inakuwaje mtu akivuta bhangi. Kwa kweli hakuona chochote hata kale kaulevi au ujasiri alikotegemea hakukaona.
 
View attachment 2068813

Kushabu/Koshabu ni bangi ambayo haijakidhi viwango, unaweza kusema ni makapi pia. Inakuaga

Ndio aina ya bangi ambayo huuzwa kwa kiasi kikubwa hapa nchini, katia wauzaji 10 wauzaji tisa huuza kushabu. Ni nadra sana kukuta sehemu wanauza high grade

Wengi wakivuta siku ya kwanza watalia ni vipofu kumbe wamesahau kuwasha taa, hukimbia mawingu, hubeba toroli badala ya kusukuma, hutukana ovyo ovyo, n.k. hii ndio gharama ya kuigiza uchafu kichwani

Ukizoea sana kushabu tayari wewe kichwa panzi, unaweza kuwa kichaa kabisa

Wanaokula kushabu ni masikini wanaoshindwa kupata grade one aidha hawana pesa au hawana maarifa ya kujua viwango wao wanavuta ilimradi iwe bangi tu.

Usije kujidanganya kwamba bangi unayovuta hapa kwetu ni sawa ya wanayovuta huko Marekani, Jamaica, n.k. huko watu wanavuta bangi na sio uchafu ndio maana huji kusikia mtu kawehuka, sijui akili zimemtoka, ana ropoka ropoka, n.k. Kazi ipo huku ambako hata wakulima wa bangi kwenye uvunaji hawajui mbinu za kuvuna vizuri wao wanakurupuka tu, nae muuzaji anaenunua kwa wakulima hata hana elimu ya huu mmea yeye anauza tu ilimradi apate pesa, nao wanunuzi ndio wahanga wakubwa hawajui hata kama wanauziwa kushabu matokeo yake ndio haya mnayoyaona mtu akivuta bangi siku ya kwanza ha tofauti na mwehu, nadhani hata kina afande sele wanavuta kushabu wakijinadi kwamba wanavuta yenyewe matokeo yake ndio kuvua nguo kwenye steji na vituko vingine kibao ambavyo huwezi kuja kuvisikia huko nchi ambazo hawavuti kushabu.
Niliwahi kuvuta bangi kwa Mara ya kwanza maeneo ya Pagwi ( kilindi) sikuona mabadiliko yoyote katika mwili wangu kama inavyoelezewa, Leo ndo nimeelewa kupitia wewe, cause yenyewe ilikuwa na rangi kama ya hio high grade
 
Bangi bangi tu. Me majamaa zangu wangu wa mbezi wakivuta Sana skanka Ila sijaona jipya Zaid inaleta usingizi tu Tena ile ya purple ..Haina maajabu ya kushangaza ujanja TU wa watu
Sure mzee mm nakula skunk ya swazi tena iyo wanayoit high grade kwanz iyo sio high grade high grade mnaijua nyinyi africa hmn strain y high grade nenden calfornia hkun high grade nzur kutok bush weed bush weed n bang zinazoteshwa kwny ardhi nje dawa safi zile hybrid strains hp bongo kun jmaa mmoj tu confidental anauz 60,000 gram 1 km ile mnaoit high grade mnaoziwa 2000 sasa kile kimoj 60,000 kun makchero weng hum jumpl njema kifup izo high grade alizosem n indica utalala san🤣 bora kushabi y moro m sativa itakup energy
 
Sawa lakini ikiwa genuine hata ukitumia karatasi uta enjoy tuu Kama unazungumzia Kiko ni kwa ajili ya kuweka kiasi kingi kuepuka usumbufu wa kunyonga Mara kwa mara na kumbuka kunyonga kunataka utalaam binafsi licha ya kuwa mvutaji kunyonga sijui.
Jifunze kunyonga mwenyewe ukizoea kutolewa kitu siku utavutishwa unga bila kujuaa na usizoee kugongea kitu kwa usiowajuaa
 
Back
Top Bottom