HAHM nikitu ganiSamia hawezi siasa za ikulu na siasa za majukwaa ya nyomi na zomea zomea, na hata hivo ni Rais wa kipindi cha mpito 2021-2025 , hawezi na hataweza kuwa mgombea wa ccm hio 2025.
Mgombea mwenye hadhi hio na anaemudu viatu vya ikulu anafahamika na anaendelea vizuri na tuition ya Urais.
Pigeni mayowe vuvuzela ila Samia anaishia 2025, Marais wa Zali la mentali mwisho 2025.
HAHM ije mvua ije jua ije ukame ije mafuriko habari ndio hiyo.
Sikatai hilo, ila wa kwenye chama tawala wamezidi mno!!ili kupata teuzi, na kufaidi keki ya taifa.CHAWA wapo kila chama kilichopewa usajili pale ofisi ya msajili. Waliokuwa wanaimba nyimbo za hamasa kila siku Mbowe alipokuwa akipelekwa mahakamani, akija kupata cheo kikubwa hawatakuwa CHAWA kweli!?.
Kwani yule shetani alikuwa anatupeleka siko kabisa!!siasa za kinazi/interahamwe, ndio ziliingizwa hapa!!na chawa wale wale ndio sasa wanamuimbia Mama!!jingine juzi linasema eti mama anaupiga mwigi kwani awamu ya 5, mabenki yalikuwa hoi!! Ila wakati ule alikuwa anasifu jinsi uchumi unavyokuwa kwa kasi kiasi ambacho hakijawai tokea toka dunia iumbwe!!Ni mwanzo mzuri sasa tunakoelekea siasa za utu.
Kwanini usianzishe chama chako then ukafanya siasa za aina uitakayo kuliko kulialia hapa jukwaani?Hakina mbowe ndio matapeli wa siasa za nchi hii,nakumbuka kipindi cha dkt Slaa wananchi tulikuwa tunajitokeza kufanya chochote tulichokuwa tukielezwa na viongozi wa Chadema,kila siku tulikuwa tukitoka kwenda kwenye maandamano na mikutano yao, iwe mvua au jua tulikuwa tuko nao, mpaka akina Mbowe wakaota kiburi,Moto wa Chadema ulikuja kuzimwa na Mbowe na Lissu kwa tamaa zao za kipumbavu,eti wanakwenda ikuru kugawana vyeo,wakamleta mtu ambaye walipatia mtaji wa kisiasa kwa kumwita fisadi,gafra huyo aliyeitwa fisadi eti hakapewa nafasi ya kugombea urais,wakamwacha aliyekuwa njenzi wa chama,tangu hapo wenye akili zao tuliliona anguko la Chadema tukatukanwa, Sasahivi Chadema inakwenda kuwa kama tlp ya mrema,eti mnakwenda kufanya siasa za usitarabu [emoji1787][emoji1787]Sema Mbowe ameshindwa siasa, Sasahivi inabidi hawapigie magoti CCM waweze kumfikilia kumpatia angarau viti kama viwili vya ubunge ili maisha yaendelee,kama alivyokuwa akifanya mrema, CCM hauwezi kufanya siasa za usitarabu ukawaweza.Niko tayari kwa matusi
Kumbe na mbinguni kuna siasa?!!nilikuwa silifahamu hilo!!Nani kakuambia Marekani na ulaya kuna siasa za kistaarabu?? Hivi umesahau au umeamua kujitoa ufahamu kuhusu songombingo zilizotokea marekani wakati wa uchaguzi uliopita uliomhusisha Trump na Biden na vurugu zake zote? Siasa za kistaarabu ziko mbinguni peke yake yake, ambapo imekubalika kuwa kuna Mungu Mwenyezi mmoja tu aliyeumba mbingu na nchi na vyote vinavyoonekana na visivyoonekana na visivyoweza kuonekana, utukufu una yeye milele na milele AMINA.
Wamuulize katabi akiwa bamvicha alikimbia pale Sinza kipindi cha changia Damu Tindu lisu alijikuta yupo mwenyeweThe simple truth is; "siasa za kistaarabu" ndizo tunazoweza watanzania, kwani wangapi kati yetu wanaweza siasa za maandamano? wangapi wakiambiwa wajitokeze kuandamana wanaenda? wengi hubaki nyumbani wakidai waliogopa vitisho vya kina Mambosasa.
Kumbe hapa utaona hata kama wengi wanamtilia shaka Mbowe, lakini ikitokea Mbowe huyo huyo akawaambia waandamane hakuna kati yao atakayejitokeza, wote watajificha nyumbani kwao. Kabla ya kuanza kuwanyooshea kidole viongozi wa Chadema, kwanza tujitazame sisi.
Siasa zetu zimejaa midomoni zaidi ya vitendo, huu ndio ukweli, tuna maneno mengi sana lakini vitendo ni sifuri, na tumejaa unafiki sana. Nashangaa Lissu leo anaesema anataka siasa za amani anaonekana tapeli na wale aliowaambia waandamane 2020 wakagoma!. Halafu hao hao wanagoma tena wasiende ikulu kwa mazungumzo wanataka wasuse!
Tatizo la watanzania ni vuvuzela sana, tatizo haliko kwa viongozi wa Chadema huu ndio ukweli. Kuna kundi kubwa la wajuaji wasiojielewa walioko "mstari wa mbele wa mapambano" wanaopotezea wengine muda tu, mitandaoni wanakwambia tuko wote, ukiwahitaji field huwaoni hata mmoja.
Siku zote kama hujui unapoenda, basi popote unapopelekwa we nenda tu, sio unagoma kupelekwa halafu ukiachwa peke yako unabaki umesimama hapo hapo miezi sita.
Thread mzuri sana kwa ajili ya ustawi na afya ya taifa letu.Sasa nu rasmi tunaelekea siasa za Ulaya na Marekani.
Siasa za maendeleo. Siasa za kistaarabu. Zile siasa za kitafutana kuuana, kutekana, kufungana na kufilisiana mali Mh Rais Samia ameona hazina tija kwa taifa.
Akiongea na Wasikilizaaji ktk Mtandao wa maongezi wa Club House Mh Makamu Mwenyekiti Chadema Tundu Antiphas Lissu ameungi mkono jambo zuri alilofanya Mh Freeman Mbowe Mwenyekiti wa Chama hicho kuwa ni jambo jema.
Ni jambo jema kwa kuwa Rais ameachana na siasa za mitulinga. Tumefikia hatua hii kwa jasho na damu, tumelipa gharama hapa tulipofika " alisema kiongozi huyo.
Aliongeza kuwa Mbinu na mikakati iliyotumika kuishi wakati za awamu ya tano haiwezi kuzaa matunda wakati wa awamu ya sita kwani wakati huo tuliamua kubadilika kwa ajili ya Individual survival.
Jambo hili limeungwa mkono na wadau mbali mbali wa siasa na watanzania woote wakidai kuwa sasa tunaelekea Tanzania Mpya.
Wito kwa vyombo vingine vya serikali viige mfano mwema wa Rais Samia.
Wikendi njema
Chawa sio ccm tuu , Ni tasisi zote tuu zinachawa hapa tzKamwe huwezi kuwa na siasa za kistarabu kama za marekani na ulaya, kwenye nchi iliyojaa CHAWA!!ambao kwenye chama wanategemea upepo wa mwenyekiti wao(CCM) anasema nini na wao ndio huko huko, wenzetu huko unafiki ni mwiko, kila mwanachama, mtendaji serikal anasimamia sheria za nchi.Hata kama mh.Rais ana weza kuwa na nia nzuri lakini yeye pekee hawezi kuifanya nchi ikawa hivyo!!mfano sakata la makonda linaloendelea sasa hivi na GSM, ni kama hakuna kitu viti, kila mtu hadi jeshi la polisi, linaogopa kusema chochote, kwani hawajui nini msimamo wa mheshimiwa, unaweza ukachangia chochote yakakukuta!!lakini subiria , mheshimiwa alizungumzie kidogo tu, labda achomekee, tu kuwa mbona vyombo vya dola, vimeshindwa kulitolea ufafanuzi, ndipo utawaona CHAWA, sasa, kuanzia ndani ya chama, na vyombo vyote vya ulinzi na usalama utavisikia vimeibuka, na kuanza kutoa matamko !!
Mfano ni kipindi kile cha jiwe, kuhusu makontena ya makonda.
Tatizo la Afrika siasa zake bila unafiki HUTOBOIIII
Hilo kundi lipo na litaendelea kuwepo na ndiyo maana watu wanasema kuwa akili ni nyweleKamwe huwezi kuwa na siasa za kistarabu kama za marekani na ulaya, kwenye nchi iliyojaa CHAWA!!ambao kwenye chama wanategemea upepo wa mwenyekiti wao(CCM) anasema nini na wao ndio huko huko, wenzetu huko unafiki ni mwiko, kila mwanachama, mtendaji serikal anasimamia sheria za nchi.Hata kama mh.Rais ana weza kuwa na nia nzuri lakini yeye pekee hawezi kuifanya nchi ikawa hivyo!!mfano sakata la makonda linaloendelea sasa hivi na GSM, ni kama hakuna kitu viti, kila mtu hadi jeshi la polisi, linaogopa kusema chochote, kwani hawajui nini msimamo wa mheshimiwa, unaweza ukachangia chochote yakakukuta!!lakini subiria , mheshimiwa alizungumzie kidogo tu, labda achomekee, tu kuwa mbona vyombo vya dola, vimeshindwa kulitolea ufafanuzi, ndipo utawaona CHAWA, sasa, kuanzia ndani ya chama, na vyombo vyote vya ulinzi na usalama utavisikia vimeibuka, na kuanza kutoa matamko !!
Mfano ni kipindi kile cha jiwe, kuhusu makontena ya makonda.
Tatizo la Afrika siasa zake bila unafiki HUTOBOIIII
Mkuu ifike muda watu tubadili misimamo maana kwenye vita lazima uwe na plan A na B.Huu urafiki wa Mbowe na serikali baada ya kufutiwa kesi inabidi tuutazame kwa umakini mkubwa. Kwa sasa nasubiri muda nione muelekeo, lakini sio siri nina mashaka makubwa.
Unawaza kwa kutumia masaburiLisu na Mbowe waingia vitani baada ya join the chain kufutwa
Huyu wa sasa hana uwezo wa kufuata nyayo za mwenda zake maana ameonyesha kutegemea sana wenye maamuzi wa dunia.Lissu anaonesha nia nzuri waliyonayo viongozi wa Chadema juu ya mustakabali wa amani, upendo na umoja wa taifa letu. Lengo ndio lilikuwa hili fungua ukurasa mpya wote waufuate na Chadema wameshaonesha njia.
Lakini pale aliposema siasa za awamu ya tano haziwezi kutumika awamu hii ya sita ningeshauri awe na subira. Huyu alishasema anaendeleza alipoishia mtangulizi wake, siasa hizo hazitatumika endapo mahitaji yatasikilizwa na kufanyiwa kazi.
Mfano mikutano ya vyama vya siasa, hii ni haki ya kikatiba, inapominywa makusudi na watawala hauwezi kuendelea kuwabembeleza kwa kwenda ikulu, lazima ipiganiwe, hapa ndipo naona siasa za awamu ya tano zinapoweza kujirudia.
Kama kweli serikali ya Samia inataka siasa za kistaarabu muda ni huu, ifanye kazi kwa vitendo, haki iwepo kwa wote bila kujali itikadi zao, kinyume na hapo, ni wao ndio watakaokuwa wanaleta siasa za vurugu wala sio upinzani.
Tindo, this is just a change of tactics...Huu urafiki wa Mbowe na serikali baada ya kufutiwa kesi inabidi tuutazame kwa umakini mkubwa. Kwa sasa nasubiri muda nione muelekeo, lakini sio siri nina mashaka makubwa.
AcronymHAHM nikitu gani
Mkuu ifike muda watu tubadili misimamo maana kwenye vita lazima uwe na plan A na B.
Kama wapinzani tumeanza na plan A ya kutumia siasa za ki uana harakati lkn hazikuzaa matunda na matokeo yake tunazidi kurudi nyuma.
Sasa ni wakati wa kufanya siasa shirikishi bila ya kutumia misuri. Siasa shirikishi zinaweza kutuvusha hapa tulipo.
Haina haja ya kuendelea kutunishiana misuli wakati kuna option bora ya siasa.
Kwisha Lissu, Ameuza chama ili apate kurudi kuishi tanzania, ili mbowe atoke jela miezi 8 ilitosha ku-sarender, sioni tofauti ya Chadema na TLP, Tanzania tunahitaji chama kipya cha upinzani kitakachokuwa na mtazamo wa upinzani lakini matumaini kwa wananchiSasa nu rasmi tunaelekea siasa za Ulaya na Marekani.
Siasa za maendeleo. Siasa za kistaarabu. Zile siasa za kitafutana kuuana, kutekana, kufungana na kufilisiana mali Mh Rais Samia ameona hazina tija kwa taifa.
Akiongea na Wasikilizaaji ktk Mtandao wa maongezi wa Club House Mh Makamu Mwenyekiti Chadema Tundu Antiphas Lissu ameungi mkono jambo zuri alilofanya Mh Freeman Mbowe Mwenyekiti wa Chama hicho kuwa ni jambo jema.
Ni jambo jema kwa kuwa Rais ameachana na siasa za mitulinga. Tumefikia hatua hii kwa jasho na damu, tumelipa gharama hapa tulipofika " alisema kiongozi huyo.
Aliongeza kuwa Mbinu na mikakati iliyotumika kuishi wakati za awamu ya tano haiwezi kuzaa matunda wakati wa awamu ya sita kwani wakati huo tuliamua kubadilika kwa ajili ya Individual survival.
Jambo hili limeungwa mkono na wadau mbali mbali wa siasa na watanzania woote wakidai kuwa sasa tunaelekea Tanzania Mpya.
Wito kwa vyombo vingine vya serikali viige mfano mwema wa Rais Samia.
Wikendi njema
Tindo, this is just a change of tactics...
Katika vita yoyote kinachobadilika huwa ni mbinu za kivita na siyo malengo...
Wakati wa Magufuli there was no round table for talkings kati ya CCM - chama kinachoongoza serikali na vyama vilivyo nje ya serikali (vya upinzani). Yeye alitaka kuwamaliza wapinzani wake in a brutal way...
Kama huyu mama ame - realize kuwa hiyo njia siyo sahihi na yeye ku - prefer njia ya mazungumzo, what's wrong with that....?
Tatizo ninaloliona mimi ni kwa sababu tuliathiriwa na kiwango duni cha kuaminiana kama taifa kilichokuwepo wakati wa Mwendazake....
Lakini here is the truth...
CHADEMA na upinzani kwa ujumla hawata achieve malengo yao ya kisiasa through madai yao ya miaka yote ya NEC huru, Katiba mpya ya wananchi, mabadiliko ya sheria mbalimbali nk kama hawatakaa pamoja i.e CCM (wanaongoza serikali) vs Wapinzani katika meza ya mazungumzo....
The opportunity has showed itself, why don't we take and use it....?
Na ktk meza ya mazungumzo kuna GIVE and TAKE. Hili hatupaswi kuliogopa ili mradi tuingie ktk mazungumzo hayo tikiwa focused na wenye akili timamu....
Tuwaamini viongozi wetu. Lakini pia wao kwa sbb wanatuwakilisha, basi lazima wachukue tahadhari zote. Na Tundu Lissu amelieleza vizuri sana hili ktk ufafanuzi wake...
Alisema, "...sisi (wao viongozi) siyo wajinga...."
Mimi namwelewa M/kiti Freeman Mbowe na zaidi sana namwelewa Tundu Lissu (m/m/kiti) na ofcoz nawaamini....
Wakati wa Slaa mikutano ya siasa iliruhusiwa, leo umewahi kuona wapi mikutano ya siasa inafanyika ili u prove kama hilo nyomi lako lipo au halipo?Wakati wa Slaa Chadema walifanya oppression nyingi na zikafaniwa na kuwa na mwitikio wa nyomi la watu, mpaka Chadema ikawa tishio kwa watawala ccm,akina Slaa walikuwa wakito tamko linajadiwa nchi mzima.
Kwisha Lissu, Ameuza chama ili apate kurudi kuishi tanzania, ili mbowe atoke jela miezi 8 ilitosha ku-sarender, sioni tofauti ya Chadema na TLP, Tanzania tunahitaji chama kipya cha upinzani kitakachokuwa na mtazamo wa upinzani lakini matumaini kwa wananchi