Kibarua kimeota Nyasi: Waliozoea siasa za vita Mbowe, Lissu, Rais Samia waungana kujenga nchi. Funzo kwa...!

Yeye ndiye anabeba dhamana ya Taifa. Lakini pia wadau wakubwa wenye heshima zao kama TL na FAM wakishirikiana matokeo ni makubwa
 
Magu hakuwa mwanasiasa bali mlevi wa madaraka. Hakuna mwanasiasa mstaarabu asiyetaka matusi anaweza kuwaambia wananchi wake wabaki na mavi yao nyumbani. Zungumzia mtu mwingine sio yule mshenzi.
Duuh
 
Sema wewe mpumbavu usiite watu wa JF wapumbavu kama wewe.
 
Hawa woote kazi hawana. Teuzi wataziona kwa macho tu kwenye Itv.
 
Unakumbuka maadamano yenu ya wakati kwa bahati mbaya aliuawa Akwilina?
 
Tumetoka mbali sana eti Kaijage naye ni jaji🤣🤣
 
Yaani Mbowe kusota kote ndani na unyanyasaji wote aliofanyiwa,aje kywauza watu wake sasahivi???
Mbona ushindi upo karibu!
Sidhani kama hata anafikiria hilo.
 
Huu urafiki wa Mbowe na serikali baada ya kufutiwa kesi inabidi tuutazame kwa umakini mkubwa. Kwa sasa nasubiri muda nione muelekeo, lakini sio siri nina mashaka makubwa.
Mbowe hajawa rafiki wa serikali na wala hawezi kuwa rafiki wa serikali.
 
Unakumbuka maadamano yenu ya wakati wa Akwilina?
Baada ya watu wa vita kuzuia mawakala wa chama chetu kuapa na kupeww barua za utambulisho. DED kajukumuguru nadhani walishamtumbua awamu hii.
 
Yaani Mbowe kusota kote ndani na unyanyasaji wote aliofanyiwa,aje kywauza watu wake sasahivi???
Mbona ushindi upo karibu!
Sidhani kama hata anafikiria hilo.
Wale mnaoungulia rohoni poleni. Sisi wanachadema halisi tunasonga mbele. Mbowe tunamuunga mkono 100%
 
Baada ya watu wa vita kuzuia mawakala wa chama chetu kuapa na kupeww barua za utambulisho. DED kajukumuguru nadhani walishamtumbua awamu hii.
safari hii, jiepushe maana mtiti huo hutachomoka
 
Mwanzo ni mzuri. Tuhukumu kwa mengine
 
Vision inakuwa divided kwenye misions
 
Jidanganye, unaambiwa "once a whore always a whore", unadhani anaongoza nchi peke yake?
Urais ni Taasisi na Taasis imeshaamua.

Mkuu tafuta kazi nyingine ile ya kutukana wapinzani hakuna tena
 
All precautions considered.

Tindo unadhani wewe u a maumivu kuliko Freeman?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…