Kiboko ya Wachawi ashtakiwe arudishe pesa za watu, na afungwe iwe fundisho kwa wahuni wote wa aina hii

Japokuwa namuunga mkono kiboko wa wachawi kuwanyoosha wapumbavu, ila hy picha sio ya jamaa yangu muungwana kabisa bwana kiboko ya wachawi.
 
Br huyu bwana atawauaa hana dili ukisema hivyo kuna wake za watu madadazetu wamedinywaa sa a na yeye tu eshasahau
Usitukumbushie machungu
Hee siyo pesa tu na papuchi za watu kala?kweli tunaangamia kwa kukosa maarifaπŸ˜ͺ
 
Huyo Issa Tambuu ,Muuza magari unamuweka kwenye story ya kiboko ya wachawi
πš–πš‹πš˜πš—πšπš˜ πš–πš™πšŽ πš™πš’πšŒπš‘πšŠ, πšœπšπš˜πš›πš’ πšŠπš—πšŠπš’πš˜ 🀣🀣🀣🀣🀣
 
Hee siyo pesa tu na papuchi za watu kala?kweli tunaangamia kwa kukosa maarifaπŸ˜ͺ
Wengi sis wangu ni jirani alikuwa anatumiwa hela za sadala kama kondooo waa....amemla sana ingawa anasema hajaliwa hakuna mwanaume mjinga anakurushia zaidi ya laki 2 kwa wiki huyo ajazaliwa ukicheka anaondoka
 
Wengi sis wangu ni jirani alikuwa anatumiwa hela za sadala kama kondooo waa....amemla sana ingawa anasema hajaliwa hakuna mwanaume mjinga anakurushia zaidi ya laki 2 kwa wiki huyo ajazaliwa ukicheka anaondoka
Aisee sadaka inatumwa kwa muumini πŸ˜€πŸ˜€ for nothing tuu? Huyo dada muongo, ila yale mahubiri yake sikuwahi kumwelewa ,kumbe kuna hadi babes wakeπŸ˜€
 
Aisee sadaka inatumwa kwa muumini πŸ˜€πŸ˜€ for nothing tuu? Huyo dada muongo, ila yale mahubiri yake sikuwahi kumwelewa ,kumbe kuna hadi babes wakeπŸ˜€
Mkuuu huyu dasa kasali longtime na alikuwa na vyeo vyake akapanda fasta

Hioo hela haihusu huduma maana kila wanapokuja kanisan wanapewa majukumu wanalipwa kuna wa kuanzia 10000 mpaka 50000....ndio maana nasemaga yale mapopompo wacha wangeliwa tu maana alikuwa na majukumu mengi..kama sadaka asingeweza lipa wale wahudumu lazima atumie tiba asili mbadala aka 500000 kuweza kuendeleza kazi ya Bwana

Hallelujah πŸ™Œ
 
Ni afadhali huyo uliyemueleza na akaelewa. Wengi huwa hawataki kuelewa wala kutumia common sense. Wanakuona ww unayewafumbua ndiye shetani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…