H ni mzozo kwa huyu nduguAyupo tena Dunia swaiba niliye mpenda kwa kumoyo Swaiba
Ayupo tena Dunia swaiba niliye mpenda kwa kumoyo Swaiba
Na nukuu amaneno yake busara zake alikuwa mtu wa watu uyu mtu
Nuru aina mwanga mbele giza rafiki niliye mpenda amenitoka
Akufa kwa ngoma donsalale siku yake ilisha fika pema alale
Uzuni isiyo kiwisha moyoni nashika tama sioni
***********************
Nayanga bojo 👆👆👆🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
Hata Leah ya dully nayo huzuni sanaSalome
wakimbizi hamnaga Jambo 😄😄Ki kenya kenya je, ipi inakutoa machoz
Kwenye dansi shujaa wangu ni TX MoshiSisi wa dansi hamna nyimbo kama "MTU PESA" ya mwana Masanja.
Rafiki yangu marehemu aliimba sana hapo.
Nikamkuta siku Sinza Meeda Pub aisee machozi yalinitoka.
Hali Mbaya.
Tulikua hatujaonana km miaka 15 hivi.
Hapo alikua jukwaa la extra bongo ya enzi hizo
Aliponiona akatupa mike tukumbatiane.
"Kaka ulikua wapi"?
ndio lilikua swali lake
Dah nikamtunza chochote nilichokuwa nacho nikaondoka.
Kuna Nyimbo nyingi sana mwana Masanja alizifanyia haki,
Kisa cha Mpemba etc.
T.o.t nako alimaliza sana.
Dah kuskia jamaa kafariki nilisikitika sana.
Ila yote mipango ya mwenyezi tu.
Dooh!!!.. noma sana...hapo vyote byuma na hakuna mapenzi hapo. Sio hawa watoto wa kuimba " penyua nipachike rungu:1.Kamanda
2.Barua
3.Maji ya shingo
4.Rafiki-Jeby
5.Tutakukumbuka -GK
Dah zamani kulikua na ngoma bwana yaani huwezi peleka mbele ngoma yoyote ikipigwa hit tupu.
Dullykuna ile nyimbo ya lea umekwenda... sijajua aliimbia nani
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
😁😁😁Dooh!!!.. noma sana...hapo vyote byuma na hakuna mapenzi hapo. Sio hawa watoto wa kuimba " penyua nipachike rungu:
Mkiwa- k salNyongeza kazi yake mola madee ft domokaya
yaah nae yumo,bitchuka na Ngurumo pia.Kwenye dansi shujaa wangu ni TX Moshi
Nyimbo ni uwingi wa neno wimbo.Huu ni ukweli wakuu hii ni nyimbo ambayo hata ukiiskia tu hisia za kulia inakujia hii nyimbo ni nyimbo ambayo haitowahi kutokea kwenye muziki wa bongo flava 🙌🥲 hakuna na haitowahi kutokea nyimbo ya kuhuzunisha kama hii
SPark na tunda man ft madee.Hata Leah ya dully nayo huzuni sana
Wingi sio uwingi mkuuNyimbo ni uwingi wa neno wimbo.
Wimbo ni umoja,
Nyimbo ni uwingi,
Ni vyema kuzingatia matumizi ya uwingi na umoja kwenye muktadha wa mazungumzo ili kupata mantiki sahihi...
Ile ngoma ya King kaka - PapaKi kenya kenya je, ipi inakutoa machoz
Niaje bonge Moja la ngwateee napenda domo anapita baada ya nature kupita kwenye chorous yake.........umepigiwa simu twende. alihamis tunafany voko tunafanye mzikiNiaje.....Mandojo & Domokaya
Dingi.....Mandojo & Domokaya