amshapopo
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 1,834
- 4,161
Habari,
Ni ukweli usiopingika kwa ajira hizi tunazofanya bila kujua haki na wajibu wako ni kazi sana kutoboa. Wafanyakazi walio wengi hawajui haki na wajibu wao katika kazi wanazo zifanya. Mfano Sheria ya Kazi inasema mfanyakazi anatakiwa kufanya kazi masaa nane, yanayozidi baada ya hapo inatakiwa kulipwa overtime. Lakini ukiangalia kwenye kampuni nyingi na mashirika ya umma Sheria hizi hazizingatiwi. Boss anaweza kupanga mda wake anavyojisikia na wafanyakazi wakafuata bila shurti bila kujali haki zao zinapotea. Unakuta siku kama ya leo ni Maulid ila boss akaamua muende kazini bila kuwa na allowance yoyote na usipoenda kazi huna😂😂😂. Kweli kwa mfanyakazi kutoboa kibongobongo ni kazi sanaaa
Muwe na siku njema!
Ni ukweli usiopingika kwa ajira hizi tunazofanya bila kujua haki na wajibu wako ni kazi sana kutoboa. Wafanyakazi walio wengi hawajui haki na wajibu wao katika kazi wanazo zifanya. Mfano Sheria ya Kazi inasema mfanyakazi anatakiwa kufanya kazi masaa nane, yanayozidi baada ya hapo inatakiwa kulipwa overtime. Lakini ukiangalia kwenye kampuni nyingi na mashirika ya umma Sheria hizi hazizingatiwi. Boss anaweza kupanga mda wake anavyojisikia na wafanyakazi wakafuata bila shurti bila kujali haki zao zinapotea. Unakuta siku kama ya leo ni Maulid ila boss akaamua muende kazini bila kuwa na allowance yoyote na usipoenda kazi huna😂😂😂. Kweli kwa mfanyakazi kutoboa kibongobongo ni kazi sanaaa
Muwe na siku njema!