Kifomula; Roho ya Mungu humshukia Mwanaume wakati Roho za kishetani humshukia Mwanamke. (Siri kuu)

Status
Not open for further replies.
Unaamua kuchutama? Acha kuabudu shetani. Njoo kwa Yesu umwabudu Mungu Muumba wa Mbingu na nchi, alieymfufua Yesu Kristo Katika wafu. Yesu ndiye Njia kwlei na uzima. Mtu haendi kwa Mungu isipokuwa kwa njia ya Yesu.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kabisa. Lkn vp mpango wa Mungu kumuumbia mwanamume msaidizi toka ubavuni ilikuwa ni njama ya sheitwan? Ima mana Mungu hakuliona hilo gap?
Baada ya kumuumba msaidizi sindio alirubuniwa na shetaniπŸ˜… akawa wakala wa shetani!
 
Shetani ni kweli anapitia kwa mwanamke mm alibadilishwa mke akaniambia maneno na yalifanya kazi maneno hayo kama yalivokusudiwa nilichogundua kumbe ilikua sio maneno yake ilikua ni nguvu ya shetani baada ya kunifika mpaka mke tuliachana
Eeh shetani humuingilia mwanamke akilini ili kuharibu nyumba yako. Usiposimama imara kupambana nae umeisha
 
Meneja Robert 2021/2022 utatufikisha kanani tumechoka ila SALAMA
 

Maandiko yanasema, Wakati ulipofika kwa Mungu kuukomboa ulimwengu, alimtuma Malaika aende kwa Mariam na kumwambia atazaa mtoto kwa uwezo wa Roho Mtakatifu na mtoto atamuita Yesu na ndio ataokoa ulimwengu. Swali, kwanini kwa jambo kubwa kama hilo ambalo Mungu amelitenda hapa duniani akwenda kwa Joseph mume wa Mariam kwanza na kuamua kuanzia kwa Mwanamke (Mariam) kiasi ambacho madhehebu mengine yamempa hadi β€˜uungu’ huyu mama? Tuanzie hapo.
 


Kwani Yusuph ndiye anabeba Mimba?

Alafu Mariam Hakuwa ameolewa hivyo Yusuph Hakuwa mume wake isipokuwa Mchumba tuu.

Mchumba kimsingi hatambuliki kwenye Ndoa, hata hivyo Malaika huyo huyo alimfuata Yusuph kumuomba kuwa asighairi mpango wake wa kumuoa Mariam kwani hakufanya umalaya isipokuwa mimba Ile ni nguvu ya kimungu.

Hoja yako ungesema mtoto aliyezaliwa angepaswa awe mwanamke huenda ingekuwa na nguvu. Maana mtoto ndio alishukiwa na roho wa MUNGU
 
Eeh shetani humuingilia mwanamke akilini ili kuharibu nyumba yako. Usiposimama imara kupambana nae umeisha
Unapambana nae vipi shetani mkuu na pengine amejianda tangu ukiwa mdogo hujui au ndoa kaimiliki tangu awali hujui na roho zetu naamini ipo sehemu ya shetani au katika nafsi zetu.

Mimi binafsi nikiwa mdogo nilikwenda sehemu mabondeni nikaanguka mti nilirudi nyumbani wazee wakapandisha shetani kama nilipata tatizo lakin palepale dakika 10 kila kitu kikaa sawa na kila mtu akaendelea na shuhuli yake na maisha yakaendelea yakaendelea sikuwahi kujua chochote kuhusu shetani mpaka tumeishi na mke miaka 16 nimeshangaa mke hafla anasikia sauti anaongozwa na shetani jinsi ya maisha yetu yanavokwenda nikamuhisi mke anaanza kugeuka kabisa kama sasa yeye ndio anitawale mimi na kujiongoza nifanye nini au vip mkuu haikuchukua muda ndoa ikaachika kwa ugomvi mkubwa na mimi nilimkatalia kabisa kusikiliza sauti za ndani za kishetani.
 
Dah noma kweli sema shetani humuingilia mke kupitia jini mahaba! Ndoa nyingi zimevunjika kwa style hio
 
Ndugu, jitahidi kuwa na hekima na busara walau kwa muda mfupi!! Nakuona umejaa kejeli, husuda, ubinafsi, majivuno,ujuaji ,chuki, sifa ,dharau n.k kuhusu wanawake, kwa kifupi umeathiriwa na mfumo dume!!! Huu ni ujinga na unaweza kuondolewa kwa kuelimishwa.
Huwezi kuwadhalilisha mama zetu,dada zetu ,bibi zetu na shangazi zetu halafu tukuache tu eti kisa ni 'mwanafasihi nguli' (kwa unavyojiita na kujipachika )??? Au wewe mwenzetu umezaliwa na mwanaume?? Hivyo vitabu vyote ukivichunguza kwa kutumia fikra tunduizi na kwa umakini wa hali ya juu ,utakuja kugundua vyote vimejaa mfumo dume.
Angalia jamii za Mashariki ya Kati (Wayahudi ,Waarabu,Waajemi n.k) zilikuwa zinamchukuliaje kiumbe anayeitwa mwanamke katika mila na tamaduni zao kwa nyakati hizo, ukitoka hapo nenda Ulaya,Asia,Afrika n.k.
Swali: Unaweza kuzitenganisha vipi mila ,tamaduni pamoja na dini??? Usijibu kwa kutumia mhemko,tumia fikra tunduizi!!!
Ujumbe: Mpe heshima yake mwanamke (mama yako) ambaye Amekubeba kwenye tumbo lake au wewe mwenzetu hukubebwa kwenye tumbo??
 
Hebu kwanza tuishie hapo pa familia haipaswi kuongozwa na mwanamke...
Sasa kuna lundo la wanaume sikuhizi wamekua Marioo yani katika familia 5 basi 2 mwanaume Marioo , inamana wanaume hawajui hii principle??
 
Mtoa mada ametimiza tu wajibu wake akiwa kama Mwanafasihi nguli! Hivyo siyo sahihi sana kukimbilia kwenye kichaka cha kutaka kulazimishwa kuheshimiwa kwa sababu tu ya uanawake wenu!

Wakati fulani ukweli lazima usemwe! Hata kama unauma. Mkipewa nafasi za kiuongozi, tumieni uwezo wenu, busara, weredi, maarifa, na pia mjiamini kama ilivyo kwa sisi wanaume!


Na siyo kuongoza kwa kutegemea mipasho na vijembe! Huku mkidhani mnapuuzwa wakati fulani, kwa sababu tu ya jinsia yenu! Kumbe ni kwa sababu mna uwezo mdogo wa kuongoza, na pia hamjiamini.
 
Tujitahidi basi kila mwanaume awe na uwezo kiuchumi kuliko mwanamke. Kama huna pesa ukubali tu kushikwa masikio kama sungura. Mimi ninaona anaemzidi mwingine kwa " hekima" awe kiongozi.
 
Bila ya kulinukuu neno la Mungu, bandiko lako limekosa uhalisia.

YESU NI MWOKOZI
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…