Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili tatizo lipo mingi kabla Samia hajaingia. Hata yule shetani wa Chato alikuwa akigawa hela barabara nzima Dar mpaka chato bila shaka zingesaidia kumaliza hilo tatizoInasikitisha sana Mama Samia kutumia 15m kuwatunza Yanga wakati watoto wetu wanakaa chini na wanafunzi hawana vyumba vya madarasa....
Ebu ngoja nitafute picha ya kusindikizia hii commentHili tatizo lipo mingi kabla Samia hajaingia. Hata yule shetani wa Chato alikuwa akigawa hela barabara nzima Dar mpaka chato bila shaka zingesaidia kumaliza hilo tatizo
Pesa iliyotumika kujenga daraja la Busisi ingeweza kumaliza tatizo hili kabisaMwalimu anaumia kuona watoto wanakaa chini, anapiga picha ya darasa, amri inakuja akamatwe kwa sababu Samia anaupiga mwingi. Anaambiwa ametunga hadithi. Sasa haya nayo ni hadithi? Kisingizio Samia hana kosa ila watendaji wake tu!
View attachment 2527171
Duh_ we jamaa adi uku upo pia. hahahahaMama anafanya kazi kubwa mapungufu machache hayaondoi ukwel kuwa kwenye sekta ya Elimu amefanya extraordinary
Sasa mambo mengine ni ya serikali za mitaa utauliza mkurugenzi wa eneo hilo anafanya nn Hadi saiv
Acha nongwa MlumbiEbu ngoja nitafute picha ya kusindikizia hii comment
Umetusaidia kukiona chanzo kingine cha mapato.Samahani nje ya mada yanga wamepewa shingapi?
Uviko tu!!??. Uliza na Yale makato tuliambiwa ongezeko la kwenye miamalaPesa za UVIKO ziliisha ?
Rais Samia anatoa TZS 15,000,000 kuwapa watu (wachezaji wa Yanga SC) ili wakastarehe lakini watoto hawa hawa wa shule wanakaa na kuandikia chini..Mwalimu anaumia kuona watoto wanakaa chini, anapiga picha ya darasa, amri inakuja akamatwe kwa sababu Samia anaupiga mwingi. Anaambiwa ametunga hadithi. Sasa haya nayo ni hadithi? Kisingizio Samia hana kosa ila watendaji wake tu!
View attachment 2527171
Hela nyie si mnawapa wakata mauno na watu wa mpira nguvu kubwa imeelekezwa hukoTujichange mzee, tupeleke hela wapate madawati
Sjui kila msanii apewe mln 40Alafu unasikia eti "nanunua Kila goli mil 5" shit hole country
Na wasanii bongo fleva wamepewa bei ganiSamahani nje ya mada yanga wamepewa shingapi?
Nadhan kuna pesa nying zinaliwa, miradi kadhaa pia wizi kibaya zaid hakuna anaewajibishwa! Ni vzr zaid tuangalie nyanja hiyo M15 ni pesa kdg ukilinganisha na upigaji wa B'sInasikitisha sana Rais Samia kutumia 15m kuwatunza Yanga wakati watoto wetu wanakaa chini na wanafunzi hawana vyumba vya madarasa.
View attachment 2527238