Kigoma: Shule ya Mvinza Kagerankanda haina Madarasa na Madawati. Waandikia Majivu
Tunataka uthibitisho kwa kutaja majina ya shule na wilaya ambazo hayo madarasa 8000+ yamejengwa kutokana na fedha za covid 19, mikopo na tozo.

Ufisadi huu hauvumiliki!
 
Pesa iliyotumika kujenga daraja la Busisi ingeweza kumaliza tatizo hili kabisa
Na pesa ya royo tua ingejenga Nini?
Bora hata daraja la busisi watu watavuka.
Zimetumika bilioni 7 za uma kutengeneza muvi ambayo haki miliki anayo mzungu.
Anauza anapiga hela.
Ikulu ya nchi imeingiliwa kiholela kisa kuigiza muvi
 
Mwalimu anaumia kuona watoto wanakaa chini, anapiga picha ya darasa, amri inakuja akamatwe kwa sababu Samia anaupiga mwingi. Anaambiwa ametunga hadithi. Sasa haya nayo ni hadithi? Kisingizio Samia hana kosa ila watendaji wake tu!
View attachment 2527171
Nimeipenda roho, utu, upendo, ucha Mungu, haki na kweli ya mwenyekiti na kamati yake
 
Mwalimu anaumia kuona watoto wanakaa chini, anapiga picha ya darasa, amri inakuja akamatwe kwa sababu Samia anaupiga mwingi.

Anaambiwa ametunga hadithi. Sasa haya nayo ni hadithi? Kisingizio Samia hana kosa ila watendaji wake tu!

View attachment 2527171
Hakika Maza anaupiga mwingi hadi unamwagika. CCM oyeeeeeee
 
Na pesa ya royo tua ingejenga Nini?
Bora hata daraja la busisi watu watavuka.
Zimetumika bilioni 7 za uma kutengeneza muvi ambayo haki miliki anayo mzungu.
Anauza anapiga hela.
Ikulu ya nchi imeingiliwa kiholela kisa kuigiza muvi
Kabla hata ya royo tua hayo madarasa lile shetani lenu lilijenga
 
Tunataka uthibitisho kwa kutaja majina ya shule na wilaya ambazo hayo madarasa 8000+ yamejengwa kutokana na fedha za covid 19, mikopo na tozo.

Ufisadi huu hauvumiliki!
Hauvumiliki!!
Haya utatufanya nini sasa...
 
Mwalimu anaumia kuona watoto wanakaa chini, anapiga picha ya darasa, amri inakuja akamatwe kwa sababu Samia anaupiga mwingi.

Anaambiwa ametunga hadithi. Sasa haya nayo ni hadithi? Kisingizio Samia hana kosa ila watendaji wake tu!

View attachment 2527171
Wanatamba kuwa kuna ndege mpya 4 zinakuja, kumbe kipaumbele ni katika manunuzi makubwa ili waweze kupata percent zao
 
Inasikitisha Kwa kweli,
Halafu kuna mijitu inajisifia kwamba lazima tuendelee kutawala.
Ni aibu Kwa kweli miaka 60+ ya Uhuru watoto wanasomea kwenye mazingira ya hivyo
 
Bilionea le madame anamwaga tu mapesa Simba na Yanga huku madawati hakuna.
 
TATIZO sio Madarasa wala viti,tatizo ni Elimu inayotolewa ni sahihi KWAO keep kabiliana na changamoto za kisasa!!?za ajira na kujiajiri!!?
 
Jamani ebu acheni kumsakama Mama, hivi kwani eneo hilo hakuna viongozi wa eneo husika? Diwani, mbunge, DC, DED, RC, etc.

Mama amejitahidi kwakweli, nchi nzima kila sehemu wamepata madarasa ya Mama hadi huku ndani ndani kuchofya ludewa tumepata pesa.

Mimi nafikiri wenye tatizo hapo ni uongozi wa eneo husika na sio Mama yetu mpendwa.
 
Back
Top Bottom