Kigoma: Shule ya Mvinza Kagerankanda haina Madarasa na Madawati. Waandikia Majivu
haya hata si kumlaumu ssh, hizi taarifa za kuwa kila mtoto hakai chini au kutokuwepo kwa upungufu wa madarasa huwa zinawasilishwa na wakurugenzi, madas pamoja na maras ndiyo maana kama tunakumbuka mama kilango na ras wake walipigwa chini kwa kupika taarifa.
 
Huko kagerankanda watu walipiga pesa sana miaka ya nyuma mbao pori za kupeleka kenya, lakini pia magogo ya miti pori ya kupeleka china, nilikua sijui kama hawana hata madawati,
 
Hatari kweli nchi yetu watoto hawana Vyumba vya kusomea ? Wanasoma nje tena kwenye mchanga? Loohh Majangaa kweli nchi yetu.


 


 
JPM alikaa miaka mitano akaishia kuiba Hela anapeleka china
 
CCM.jpg
 
Back
Top Bottom