bandeko andeko
JF-Expert Member
- Oct 20, 2021
- 1,080
- 2,143
Maxence Melo weka account hapa tufanye kituTujichange mzee, tupeleke hela wapate madawati
Kwa hiyo! au nawe kichwa kama Samia? Elimu ya hapa na pale!Lafudhi za kiha hizi. Hapa ni kule Kigoma kwenye funza to wengi
Bora usijue kwani utaumia bure, m40 si mchezo.Na wasanii bongo fleva wamepewa bei gani
Maana nchi nguvu kubwa imeelekezwa huko
Ova
Na lile daraja la mto wami!Pesa iliyotumika kujenga daraja la Busisi ingeweza kumaliza tatizo hili kabisa
Siyo tu kutumia milioni kununu magoli, yuko bize kujenga shopping mall Dodoma! Unajua tena wawekezaji wa ikulu!Inasikitisha sana Rais Samia kutumia 15m kuwatunza Yanga wakati watoto wetu wanakaa chini na wanafunzi hawana vyumba vya madarasa.
View attachment 2527238
Kweli! Kuna watu wanaona kujenga daraja la Busisi ni kosa, lakini wami kuelekea Moshi siyo kosa. Foool!Na lile daraja la mto wami!
Siasa Ni uhuni fulani Basi tu wa kula ama kunyonya wengine kwa mgongo kuwa tunawatetea.Mtafte Mbunge wa eneo Hilo haiwezekan anakula mil 12 then watoto wanakaa chini
Kabla ya kuchanga,kwanini tusiulize serikalini kama zile za covid19 na za tozo zimeisha au bado zipo?Tuchange hela tupeleke tusissachie serikali pekeyake
We mjinga sanaLafudhi za kiha hizi. Hapa ni kule Kigoma kwenye funza to wengi
Madawati yako nje yanqpigwa rangiMwalimu anaumia kuona watoto wanakaa chini, anapiga picha ya darasa, amri inakuja akamatwe kwa sababu Samia anaupiga mwingi.
Anaambiwa ametunga hadithi. Sasa haya nayo ni hadithi? Kisingizio Samia hana kosa ila watendaji wake tu!
View attachment 2527171
Na juzi wamekopa kwa ajili ya madarasa na chooHatari kweli nchi yetu watoto hawana Vyumba vya kusomea ? Wanasoma nje tena kwenye mchanga? Loohh Majangaa kweli nchi yetu.
View attachment 2527594
Siwezi kumzidi mamakoWe mjinga sana