Halafu kuna mafisadi yanahimiza watu kulipa kodi huku yanatia kwenye matumbo yao badala ya kuboresha mazingira ya elimu ya watoto wetu.
 
Huku hali hiyo,kule,kule dereva wa dalala wanagoma,huku mabaka wanataka dare zao wanaanzisha msako,

Sio kwa bahati mbaya ni calculated movement!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…