MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Kama unazijua sana sheria za nchi anzisha taasisi yako ya kutetea haki za wezi/vibaka.Mastakiraka una hoja dhaifu sana.Sheria za nchi zinasemaje?
Hivi kila mtu aamue kujichukulia sheria mkononi itakuwaje?
Muhimili wa mahakama una kazi gani?
Ana hasira kama za nape baada ya kuvuliwa uwaziri 🙂🙂Mtoa mada umekomaa na vifungu vya sheria badala ya kuita vijana hapo mtaan uwape elimu ya madhara ya wizi na uporaji
Kuna kifungu cha sheria kinaruhusu wezi na vibaka?USSR nionenye kifungu Cha sheria kinachosema adhabu ya kibaka kuuawa
Ngoja siku wakupole Simu huku wakikuchoma kisu cha kalio ndio utajua hujuiUnaniambia nina rejesho la vikoba...kwa hiyo uuwe mtu kisa kibaka,sheria ya wapi?
Nadhani alikoswakoswa na tofaliSura ya kibaka kabisa hiyo. Ata meno ya mbele hana.
Hivi komando Yosso alikuwa nani hasa?Wanatusumbua sana hao,,, wanakaba wazi wazi kabisa alafu mama zao wanawatetea,,, mi nikajua labda huyo dogo anakaa mbezi, kumbe mabibo,, huyo kibaka tu,, maeneo kama mabibo,mburahati,kigogo, manzese, tandale, mwananyamala, Argentina na kagera mikoroshini haya ni maeneo korofi kwa tabia hizo za wizi vijana wadogo kabisa,,, na ndio maana raia wamechoka na kujichukulia maamuzi kwa kuwa hata wakipelekwa vituoni wazazi wao wanawawatetea,, sasa tutafanya kama tulivyofanya kipindi cha komando yosso,, msako nyumba hadi nyumba.
Wazee hii PGO mnavyotambaa nayo [emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo haijalishi mama PGO ya mtaa inasema kama ni kibaka lazima auliwe mapema kabla hajaleta madhara makubwa
Kwasababu nyie wazazi wake kile kipengele cha PGO hamkutekeleza kinachosema umlee mtoto wake ktk maadili mazuri kabla hajakomaa
PGO muhimu siku hizi mzeeWazee hii PGO mnavyotambaa nayo [emoji23][emoji23][emoji23]
Hao wote wana sema wao ndio wakaamua kuwa wezi,baada ya kukaa jela karibia miaka 7 now denda katulia ila huyo roja alipelekwa tena jela sijui kama katoka,mitaa hiyo ss hivi niki but ndio .......denda nowdays katulia..pamoja na Roja mtambo wote wapo Calm..mkuu unaweza ukawa jirani yangu ww.
Mkuu unagusa mle mle..sema Niki sahv katulia..Jela imemfunza..na Hata Shaban babu nae kidogo alichipukia ila sahv katulia.Hao wote wana sema wao ndio wakaamua kuwa wezi,baada ya kukaa jela karibia miaka 7 now denda katulia ila huyo roja alipelekwa tena jela sijui kama katoka,mitaa hiyo ss hivi niki but ndio .......
Miaka ya nyuma walikua wakipigwa wezi nilikua siwezi kusogea,na ilikua aipiti muda naona matukio ya kupigwa wezi roho ilikua inaniuma sana wanachofanyiwa,ila baada ya kuniibia kama mara 2 tena tukio moja nyumbani usiku,sijawahi kukutana na tukio na mwizi akipigwa na siku nikikuta sehemu anapigwa mwizi na nikathibitisha ni mwizi kweli,atajua kama hajui aiseeNgoja siku wakupole Simu huku wakikuchoma kisu cha kalio ndio utajua hujui
Tamaa inawaponzaMkuu unagusa mle mle..sema Niki sahv katulia..Jela imemfunza..na Hata Shaban babu nae kidogo alichipukia ila sahv katulia.
Mbona hana neno?Mheshimiwa raisi, Mama Samia Suluhu Hassan, sisi wanawake tuna Imani sana na wewe, tutakupa kura zetu zote za urais mwaka 2025 ila kuna mambo machafu sana yanayofanyika katika serikali yako.
Sisi wanawake wa Tanzania tumesikitishwa sana na mauaji ya kijana mdogo mkazi wa kata ya Mabibo kitongoji cha Soweto yaliyofanywa na watu wanaojiita Sungu sungu.
Kijana huyo anaitwa Jumanne Jongo.Ameuawa kikatili sana kwa kukatwa miguu na mikono.
Cha ajabu wauaji wa kijana huyu wanajulikana na hawajakamatwa hata mmoja.Taarifa nilizokuwa nazo bado wameahidi kuua vijana wengine wanaowahisi vibaka.
Genge hili la mauaji ya vijana linaongozwa na watu wanaojiita Sungu sungu kutoka kata ya Jitegemee ,Mabibo wilaya ya Ubungo.
Haya sio mauaji ya mara ya kwanza,huko nyuma sungu sungu hao wa Jitegemee wameshawahi kuua vijana wengi kwa kisingizio kuwa vijana hao ni vibaka.Hata kama ni vibaka kwa nini wasiwakamate na kuwapeleka Polisi?
Kwa nini sungu sungu wanajichukulia sheria mkononi?
Mh.Rais nchi yako ni nchi inayofata utawala wa sheria, iweje wapumbavu wachache watie doa uongozi wako?
Taarifa nilizokuwa nazo mauaji hayo yanapata baraka kutoka katika uongozi wa serikali ya mtaa wa Jitegemee chini ya mwenyekiti Kilema.
Hivi OCD wa Kinondoni hana taarifa ya tukio hili? Mpaka sasa hivi amechukua hatua gani? Anapata kigugumizi kipi cha kuwakamata wauaji hao wakiongozwa na mpumbavu mmoja anayeitwa Samwel?
Kwa taarifa yako mh.rais sisi wanawake wa Mburahati na Jitegemee tumeguswa sana na kifo cha huyu kijana, tunatafakari mara mbili mbili kuwa wanachama wa CCM.
Embu ukiwa kama rais tumia mamlaka yako kushughulikia suala hili.Maana sisi wanawake wenzako tuna wasiwasi sana kuhusu maisha ya watoto wetu wanaouawa kila kukicha na hawa watu walio juu ya sheria wanaojiita Sungu sungu.
Kuna hoja kwamba huyu kijana alikuwa kibaka,lakini sheria inasemaje? Kwani hukumu ya kibaka mauaji?
Chonde chonde mh.Rais fanyia kazi suala hili ikibidi mwajibishe kamanda wa Polisi wa Kinondoni kwa kushindwa kuwakamata hao wauaji wa huyu kijana.
Mimi waliweka ndole wakaiba simu yangu nilinunua haikukaa hata siku 3 nililia mpaka presha ilipanda toka siku ile nawachukia mno.Miaka ya nyuma walikua wakipigwa wezi nilikua siwezi kusogea,na ilikua aipiti muda naona matukio ya kupigwa wezi roho ilikua inaniuma sana wanachofanyiwa,ila baada ya kuniibia kama mara 2 tena tukio moja nyumbani usiku,sijawahi kukutana na tukio na mwizi akipigwa na siku nikikuta sehemu anapigwa mwizi na nikathibitisha ni mwizi kweli,atajua kama hajui aisee