Kijana aliyeuawa na watu wanaojiita Sungu sungu Mburahati, Rais Samia ingilia kati

Mastakiraka una hoja dhaifu sana.Sheria za nchi zinasemaje?

Hivi kila mtu aamue kujichukulia sheria mkononi itakuwaje?

Muhimili wa mahakama una kazi gani?
Kama unazijua sana sheria za nchi anzisha taasisi yako ya kutetea haki za wezi/vibaka.
Sheria za mtaa zinasaidia kupunguza mrundikano wa kesi mahakamani.
Tunaiacha mahakama ijishughulishe na Kesi kubwa kubwa kama za Ugaidi, Ufisadi etc.
 
Hivi komando Yosso alikuwa nani hasa?
 
Hiyo haijalishi mama PGO ya mtaa inasema kama ni kibaka lazima auliwe mapema kabla hajaleta madhara makubwa

Kwasababu nyie wazazi wake kile kipengele cha PGO hamkutekeleza kinachosema umlee mtoto wake ktk maadili mazuri kabla hajakomaa
Wazee hii PGO mnavyotambaa nayo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
denda nowdays katulia..pamoja na Roja mtambo wote wapo Calm..mkuu unaweza ukawa jirani yangu ww.
Hao wote wana sema wao ndio wakaamua kuwa wezi,baada ya kukaa jela karibia miaka 7 now denda katulia ila huyo roja alipelekwa tena jela sijui kama katoka,mitaa hiyo ss hivi niki but ndio .......
 
Hao wote wana sema wao ndio wakaamua kuwa wezi,baada ya kukaa jela karibia miaka 7 now denda katulia ila huyo roja alipelekwa tena jela sijui kama katoka,mitaa hiyo ss hivi niki but ndio .......
Mkuu unagusa mle mle..sema Niki sahv katulia..Jela imemfunza..na Hata Shaban babu nae kidogo alichipukia ila sahv katulia.
 
Ngoja siku wakupole Simu huku wakikuchoma kisu cha kalio ndio utajua hujui
Miaka ya nyuma walikua wakipigwa wezi nilikua siwezi kusogea,na ilikua aipiti muda naona matukio ya kupigwa wezi roho ilikua inaniuma sana wanachofanyiwa,ila baada ya kuniibia kama mara 2 tena tukio moja nyumbani usiku,sijawahi kukutana na tukio na mwizi akipigwa na siku nikikuta sehemu anapigwa mwizi na nikathibitisha ni mwizi kweli,atajua kama hajui aisee
 
Raisi ata ingilia mamb ma ngapi ndo maana kukawepo na viongozi wengine eg Dc.RC waziri wa ulinzi .....




Ila dgo kwenye picha kakaa kiwizi
 
Umenena vizuri, umesema Kuna mtu anaitwa samwel ameshiriki kwenye mauaji hayo, sasa kwann usimpeleke mahakamani maana ni bora zaidi kuliko ulivyomtaja humu jamii forum.
 
Mbona hana neno?
 
Mimi waliweka ndole wakaiba simu yangu nilinunua haikukaa hata siku 3 nililia mpaka presha ilipanda toka siku ile nawachukia mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…