Kijana ambaye hujaoa kamwe usifikirie kuoa

Kijana ambaye hujaoa kamwe usifikirie kuoa

.Ndoa ni muhimu aisee..chagueni walio sahihi
Umeongea la maana, changamoto ni kumpata mdada alie sahihi, labda mwanaume ubahatike, au mwanaume ufunge na kuomba Mungu akupe mke mwema.

Wanawake wengi siku hizi wamekuwa na roho mbaya/ wameweka hela mbele (hii kauli ndugu yangu wa kike aliniambia) Bless mom Kelsea
 
Umeongea la maana, changamoto ni kumpata mdada alie sahihi, labda mwanaume ubahatike, au mwanaume ufunge na kuomba Mungu akupe mke mwema.

Wanawake wengi siku hizi wamekuwa na roho mbaya/ wameweka hela mbele (hii kauli ndugu yangu wa kike aliniambia) Bless mom Kelsea
Unahisi kwa nini wanawake wengi wametanguliza pesa mbele kuliko upendo??
 
Ndoa nyingi hazifanikiwi kwasababu mnakosea namna mnavyochagua wake zenu.

1. Watu wanaoa kwa kuangalia uzuri wa mwanamke badala ya Tabia.

2. Watu wengi hawapati muda mzuri wa kuifahamu familia na ukoo anaotoka mwanamke.

3. Kulazimisha kuoana na mtu ambaye hamuendani katika maeneo muhimu. Watu wanangalia ukwasi tu.
 
Unahisi kwa nini wanawake wengi wametanguliza pesa mbele kuliko upendo??
1) Wanaume wengi hatuna muonekano mzuri wa kushtua wanawake, wengi mionekano yetu mibovu au ya kawaida almost 80% of men fall in this category, wataalamu wa mapenzi wanasema on average, wanawake hawawapendi asilimia 80 ya wanaume wanaowaona.
2) Tamaa ya pesa
3)Ugumu wa maisha
4) Wanaume wengi tuna njaa ya ngono, wanaume tunaweza fanya almost chochote kwa ajili ya sex na wanawake wamechukulia iyo ni advantage
5) Previous relationship heartbreaks, mdada anaona bora adange Kelsea
 
We ukiona watu kama akina Dangote,Elon Musk,Jeff bezos,Trump,Billy get,Samia,Nyerere,Kikwete,Mkapa,Magufuli na wengine wengi pamoja umaarufu na utajiri walionao lakini ndoa ziliwasumbua jua fika Wanawake ni zaidi ya matatizo.

95% ya wanawake wanaingia kwenye ndoa kukidhi mahitaji yao ya kifedha,hawana upendo wowote juu yako,Issue ni ubahatike umpate aliye kwenye 5% ambapo ni kazi ngumu.

Binafsi simshauri mtu kuoa, hasara ni nyingi zaidi ya faida.tunza tu watoto wako na tafuta hela zitakuokoa ukiwa mzee.
 
Sasa mkuu ikiw
Ndugu salam

Sishauri kijana ambaye hajaoa kuingia kwenye ndoa, wanawake wa sasa wamekua ni chanzo kikuu cha wanaume kufa mapema kwa magonjwa hatari yatokanayo na msongo wa mawazo

Nayasema haya kwasababu

1: Wanawake wa sasa kwenye uchumba wanakuonyesha ni wema kumbe ndani yao ni chui waliovalia ngozi ya kondoo

2: Wanawake wa sasa hawana heshima wanaushindani mkubwa sana na wanaume, hawasikilizi wala hawaelewi kitu hata iwaje atashindana na wewe tuu na hawezi kukuelewa hata ukiwafungia kengele

3: Wanawake , Wamejiweka katika nafasi ya mbaya sana ya usawa na kua wa kwanza kwenye kila kitu wanataka kila kitu uanze kumfanyia wewe hata wakati mwingine mkiamka asubuhi anataka wewe ndiye uwe unaanza kumjulia hali na siyo yeye, wamejificha na kusema wote ni sawa, ukiwelekeza sana atakuambia basi muwe mnajuliana hali ila atataka wewe uanze

4: Ni wabishi sana kupita kiasi hata kama unacho mwelekeza ni cha kumsaidia wao wenyewe bado watabishana na wewe tuu taka usitake

5: Hawana adabu wala hofu yeyote na mwanaume na hofu ya Mungu imepotea ndani yao, kwao kuachana na mwanaume ni fasion

6: Hawaogopi kuvunja ndoa ,watoto kutawanyika na hawajali chochote kuhusu maisha baada ya ndoa

7: Hawana stara wala namna ya kumpokea mwanaume , hata kimaongezi hawana stara

8: Utii midomoni kwao wanakubali ila kimatendo wanasema ni unyanyasaji kamwe hawawezi kukutii kwa namna yeyote

9: Wanasema wanataka amani ila sivyo wao watakua ni chanzo cha kuvuruga amani na kuhakikisha mnaishi kwa mikiki mikiki.

10: Siyo wasikivu kabisa hata iwaje, watajifanya wana kusikiliza kumbe unakua kama unapigia ng'ombe gitaa..

11: Hawatulii na mwanaume mmoja

12: Daima atataka akuendeshe yeye na akutawale , kila kukicha atahakikisha ana kudhohofisha kiakili na kihisia ili akutawale kirahisi

13: Utakapo mwacha nyumbani na wewe unaenda kutafuta hela yeye atatumia huo muda kupanga mashambulizi na ugomvi zaidi yako pindi utakapotoka kwenye mihangaiko na kurudi nyumbani

14: Watajifanya wanaumwa ili uingie kwenye 18 zao na usipo ingia atakuambia hauna Utu ili akulainishe na usipo lainika watajifanya tena wanaumwa na hatofanya chochote wala kuandaa chakula ili akupime mwisho wako ni upi

15: Wanawake wa sasa ni wabinafsi mno kupita kiasi hata kama anacho na wewe umekosa hawezi kutoa cha kwake kitumike na akitoa atakudai na usipo mlipa atatafuta namna ya kukulipizia kwa lawama au kwa vitendo

16: Ni wezi sana wa hela za familia /mwanaume atakudanganya kwenye matumizi ukiingia hovyo yeye atajikusanyia mahela na kujijenga yeye mwenyewe.

17: Wanawake wa sasa wana visasi na kisirani kikali mno visivyo na mpangilio wakishindwa kukulipizia ukiwa na nguvu watasuburia ufike uzeeni au uugue . Pindi unahitaji msaada wake atatumia fursa hiyo ili akulipizie kisawasawa mpaka ufe ,akuzike na umwache atambe na mali zako

KIJANA AMBAYE HUJAOA NA UNAPENDA AMANI YAKO YA MOYONI KAMWE USIOE KAMA KWELI UNASHIDA YA KUA NA WATOTO TAFUTA MWANAMKE ANAYEPENDA WATOTO NA AMBAYE BADO HAJAZALISHWA KUA WA KWANZA KUMZALISHA ALAFU WEWE ENDELEA NA HARAKATI ZAKO, NDOA AU KUISHI NA MWANAMKE KWA KIPINDI HICHI HAZINA MAANA TENA HATA

Hamna uhusiano wowote uliopo kati ya kutokuoa na upedede
Sasa mkuu ikiwa kila kijana wa kiume ataacha kuoa kwa sababu ulizoziainisha itakuwaje?
 
Ndugu salam

Sishauri kijana ambaye hajaoa kuingia kwenye ndoa, wanawake wa sasa wamekua ni chanzo kikuu cha wanaume kufa mapema kwa magonjwa hatari yatokanayo na msongo wa mawazo

Nayasema haya kwasababu

1: Wanawake wa sasa kwenye uchumba wanakuonyesha ni wema kumbe ndani yao ni chui waliovalia ngozi ya kondoo

2: Wanawake wa sasa hawana heshima wanaushindani mkubwa sana na wanaume, hawasikilizi wala hawaelewi kitu hata iwaje atashindana na wewe tuu na hawezi kukuelewa hata ukiwafungia kengele

3: Wanawake , Wamejiweka katika nafasi ya mbaya sana ya usawa na kua wa kwanza kwenye kila kitu wanataka kila kitu uanze kumfanyia wewe hata wakati mwingine mkiamka asubuhi anataka wewe ndiye uwe unaanza kumjulia hali na siyo yeye, wamejificha na kusema wote ni sawa, ukiwelekeza sana atakuambia basi muwe mnajuliana hali ila atataka wewe uanze

4: Ni wabishi sana kupita kiasi hata kama unacho mwelekeza ni cha kumsaidia wao wenyewe bado watabishana na wewe tuu taka usitake

5: Hawana adabu wala hofu yeyote na mwanaume na hofu ya Mungu imepotea ndani yao, kwao kuachana na mwanaume ni fasion

6: Hawaogopi kuvunja ndoa ,watoto kutawanyika na hawajali chochote kuhusu maisha baada ya ndoa

7: Hawana stara wala namna ya kumpokea mwanaume , hata kimaongezi hawana stara

8: Utii midomoni kwao wanakubali ila kimatendo wanasema ni unyanyasaji kamwe hawawezi kukutii kwa namna yeyote

9: Wanasema wanataka amani ila sivyo wao watakua ni chanzo cha kuvuruga amani na kuhakikisha mnaishi kwa mikiki mikiki.

10: Siyo wasikivu kabisa hata iwaje, watajifanya wana kusikiliza kumbe unakua kama unapigia ng'ombe gitaa..

11: Hawatulii na mwanaume mmoja

12: Daima atataka akuendeshe yeye na akutawale , kila kukicha atahakikisha ana kudhohofisha kiakili na kihisia ili akutawale kirahisi

13: Utakapo mwacha nyumbani na wewe unaenda kutafuta hela yeye atatumia huo muda kupanga mashambulizi na ugomvi zaidi yako pindi utakapotoka kwenye mihangaiko na kurudi nyumbani

14: Watajifanya wanaumwa ili uingie kwenye 18 zao na usipo ingia atakuambia hauna Utu ili akulainishe na usipo lainika watajifanya tena wanaumwa na hatofanya chochote wala kuandaa chakula ili akupime mwisho wako ni upi

15: Wanawake wa sasa ni wabinafsi mno kupita kiasi hata kama anacho na wewe umekosa hawezi kutoa cha kwake kitumike na akitoa atakudai na usipo mlipa atatafuta namna ya kukulipizia kwa lawama au kwa vitendo

16: Ni wezi sana wa hela za familia /mwanaume atakudanganya kwenye matumizi ukiingia hovyo yeye atajikusanyia mahela na kujijenga yeye mwenyewe.

17: Wanawake wa sasa wana visasi na kisirani kikali mno visivyo na mpangilio wakishindwa kukulipizia ukiwa na nguvu watasuburia ufike uzeeni au uugue . Pindi unahitaji msaada wake atatumia fursa hiyo ili akulipizie kisawasawa mpaka ufe ,akuzike na umwache atambe na mali zako

KIJANA AMBAYE HUJAOA NA UNAPENDA AMANI YAKO YA MOYONI KAMWE USIOE KAMA KWELI UNASHIDA YA KUA NA WATOTO TAFUTA MWANAMKE ANAYEPENDA WATOTO NA AMBAYE BADO HAJAZALISHWA KUA WA KWANZA KUMZALISHA ALAFU WEWE ENDELEA NA HARAKATI ZAKO, NDOA AU KUISHI NA MWANAMKE KWA KIPINDI HICHI HAZINA MAANA TENA HATA KIDOGO
Ukweli mchungu,ila waoe tu,wakiingia kwenye ndoa wawe wanajua kitakachofuata ili waishi na wenza wao kwa akili...
 
Umeongea ukweli mtupu kaka
Yan ni ukwel mtupu kabisa kabisa
Wanawake ndio adui mkuu namba moja wa mwanaume
Hakisawa zimewadanganya
Sio wasikivu
Hawajui mahali pao
Wapishi
Wapo kimaslahi
Malaya
Hawaridhiki
Wanaakili ya kugawana mali tu

Dunia nzima ipo kumkandamiza mwanaume kila mahalu
Na mwanamke akiinuliwa kupitiliza hata io 50%

Tuliuzwa na wanaume wenzetu kwenye sheria

Na ibilisi ndie aliye nyuma ya wanawake
Ni ajenda ya kuzimu kumpa nguvu mwanamke kisha wakasema usawa, ile 50/50 kwa jinsia zote.

Huku ni kwenda kinyume na makusudi ya Mungu.
 
Ndugu salam

Sishauri kijana ambaye hajaoa kuingia kwenye ndoa, wanawake wa sasa wamekua ni chanzo kikuu cha wanaume kufa mapema kwa magonjwa hatari yatokanayo na msongo wa mawazo

Nayasema haya kwasababu

1: Wanawake wa sasa kwenye uchumba wanakuonyesha ni wema kumbe ndani yao ni chui waliovalia ngozi ya kondoo

2: Wanawake wa sasa hawana heshima wanaushindani mkubwa sana na wanaume, hawasikilizi wala hawaelewi kitu hata iwaje atashindana na wewe tuu na hawezi kukuelewa hata ukiwafungia kengele

3: Wanawake , Wamejiweka katika nafasi ya mbaya sana ya usawa na kua wa kwanza kwenye kila kitu wanataka kila kitu uanze kumfanyia wewe hata wakati mwingine mkiamka asubuhi anataka wewe ndiye uwe unaanza kumjulia hali na siyo yeye, wamejificha na kusema wote ni sawa, ukiwelekeza sana atakuambia basi muwe mnajuliana hali ila atataka wewe uanze

4: Ni wabishi sana kupita kiasi hata kama unacho mwelekeza ni cha kumsaidia wao wenyewe bado watabishana na wewe tuu taka usitake

5: Hawana adabu wala hofu yeyote na mwanaume na hofu ya Mungu imepotea ndani yao, kwao kuachana na mwanaume ni fasion

6: Hawaogopi kuvunja ndoa ,watoto kutawanyika na hawajali chochote kuhusu maisha baada ya ndoa

7: Hawana stara wala namna ya kumpokea mwanaume , hata kimaongezi hawana stara

8: Utii midomoni kwao wanakubali ila kimatendo wanasema ni unyanyasaji kamwe hawawezi kukutii kwa namna yeyote

9: Wanasema wanataka amani ila sivyo wao watakua ni chanzo cha kuvuruga amani na kuhakikisha mnaishi kwa mikiki mikiki.

10: Siyo wasikivu kabisa hata iwaje, watajifanya wana kusikiliza kumbe unakua kama unapigia ng'ombe gitaa..

11: Hawatulii na mwanaume mmoja

12: Daima atataka akuendeshe yeye na akutawale , kila kukicha atahakikisha ana kudhohofisha kiakili na kihisia ili akutawale kirahisi

13: Utakapo mwacha nyumbani na wewe unaenda kutafuta hela yeye atatumia huo muda kupanga mashambulizi na ugomvi zaidi yako pindi utakapotoka kwenye mihangaiko na kurudi nyumbani

14: Watajifanya wanaumwa ili uingie kwenye 18 zao na usipo ingia atakuambia hauna Utu ili akulainishe na usipo lainika watajifanya tena wanaumwa na hatofanya chochote wala kuandaa chakula ili akupime mwisho wako ni upi

15: Wanawake wa sasa ni wabinafsi mno kupita kiasi hata kama anacho na wewe umekosa hawezi kutoa cha kwake kitumike na akitoa atakudai na usipo mlipa atatafuta namna ya kukulipizia kwa lawama au kwa vitendo

16: Ni wezi sana wa hela za familia /mwanaume atakudanganya kwenye matumizi ukiingia hovyo yeye atajikusanyia mahela na kujijenga yeye mwenyewe.

17: Wanawake wa sasa wana visasi na kisirani kikali mno visivyo na mpangilio wakishindwa kukulipizia ukiwa na nguvu watasuburia ufike uzeeni au uugue . Pindi unahitaji msaada wake atatumia fursa hiyo ili akulipizie kisawasawa mpaka ufe ,akuzike na umwache atambe na mali zako

KIJANA AMBAYE HUJAOA NA UNAPENDA AMANI YAKO YA MOYONI KAMWE USIOE KAMA KWELI UNASHIDA YA KUA NA WATOTO TAFUTA MWANAMKE ANAYEPENDA WATOTO NA AMBAYE BADO HAJAZALISHWA KUA WA KWANZA KUMZALISHA ALAFU WEWE ENDELEA NA HARAKATI ZAKO, NDOA AU KUISHI NA MWANAMKE KWA KIPINDI HICHI HAZINA MAANA TENA HATA KIDOGO
Ngoja niweke kambi hapa, nikisubiri madini ya Natafuta Ajira na dronedrake 🙂
 
Umeongea la maana, changamoto ni kumpata mdada alie sahihi, labda mwanaume ubahatike, au mwanaume ufunge na kuomba Mungu akupe mke mwema.

Wanawake wengi siku hizi wamekuwa na roho mbaya/ wameweka hela mbele (hii kauli ndugu yangu wa kike aliniambia) Bless mom Kelsea
Huyu ndugu yako mpaka anasema hivyo ujue kashuhudia mashem wanapigwa na vitu vizito.
 
Back
Top Bottom