Kijana kamkimbia mchumba wake alietaka kumuoa baada ya kujua kwao kuna walemavu ni sawa?

Kijana kamkimbia mchumba wake alietaka kumuoa baada ya kujua kwao kuna walemavu ni sawa?

Kosa alilolifanya Ni kumwambia( kuropoka) kwa Nini anaachana naye, angetafuta tu njia ya kuachana naye tu kiaina kwa ustaarabu bila binti kujua, Hata wazee wa zamani walikuwa wanafuatilia familia ya mtu mnaetaka Kuoana nae, Kama familia Ina changamoto walibadili maamuzi na ilisaidia Sana kuepusha changamoto mbalimbali.
💯 kakosea kuropoka sababu ya kumuacha kazingua sanaa sanaa
 
Yah..kibinadamu haya mambo yanaumiza sana
.sasa lakin hajamfanyia fair huyo manzi kumwambia hayo, bora angempiga chin kidizain nyingine kwa kutafuta sababu tofauti kidogo. Hapo atamfanya huyo mtoto wa watu aqe na mawazo sana
Kweli kabisa, Sababu ya kumuacha ni sahihi ila style ya kumuacha ndio kakosea ni bora hata angetengeneza mazingira binti amfumanie na mwanamke mwingine.
 
Pole sana mkuu, nakuelewa sana, mtoto mlemavu ana changamoto mno kumlea
Ukiachana tu changamoto za kumlea, naamini kama mzazi kila ukimtazama unajisikia uchungu sana kwakuona kwamba anateseka bila makosa.

Mwaka jana mwanangu wa kiume wa 3 kuzaliwa, 5 years alipata changamoto ya mifupa ,serious bactrial infection kwenye mfupa mkubwa wa mguu karibu na goti. Ilikua ni ishu sana.. alikua halali usiku hospital kutwa kicha kakunja mguu analia sanaa .

Daktar alinambia kitaalam hapo maumiv anayoyasikia ni kama upigwe panga kwenye mguu.. aisee acha tu, mbaya zaid wakasema kuna uwezekana ikatokea eneo la maungio ya mifupa gotini ikaathirika na mguu ukashindwa kukua hivyo kubaki na mguu mfupi mmoja na kuwa mlemavu...

Aisee...usiku akilala mwanangu nilikua nikimtazama machozi yananitoka nalia peke yangu. 🥲🥲.
NIkawa namwambia Mungu naomba kama inawezekana hii hali ihamishie kwangu, mwanangu bado mdogo sana kwa haya maumivu.

It took us 4 months with alot of money mpaka dogo kuja kukaa sawaa.
Alikua anapigwa doz nzito za antibiotics kias kwamba leo hii hiv vi antibiotics vya kawaida akinywa anapoumwa kawaida tu, huwa ni kama havifanyi kazi.

Daktar alinambia it will take time mwil kurud sawa toka usugu wa madawa..


Kuwa mzazi ni kaz sana Mungu atusaidie wazaz na walez wotee.
Intelligent businessman we endelea tu kupiga selfie dogo 😂 haya mambo sidhan kama utayaweza
 
Ukiachana tu changamoto za kumlea, naamini kama mzazi kila ukimtazama unajisikia uchungu sana kwakuona kwamba anateseka bila makosa.

Mwaka jana mwanangu wa kiume wa 3 kuzaliwa, 5 years alipata changamoto ya mifupa ,serious bactrial infection kwenye mfupa mkubwa wa mguu karibu na goti. Ilikua ni ishu sana.. alikua halali usiku hospital kutwa kicha kakunja mguu analia sanaa .

Daktar alinambia kitaalam hapo maumiv anayoyasikia ni kama upigwe panga kwenye mguu.. aisee acha tu, mbaya zaid wakasema kuna uwezekana ikatokea eneo la maungio ya mifupa gotini ikaathirika na mguu ukashindwa kukua hivyo kubaki na mguu mfupi mmoja na kuwa mlemavu...

Aisee...usiku akilala mwanangu nilikua nikimtazama machozi yananitoka nalia peke yangu. 🥲🥲.
NIkawa namwambia Mungu naomba kama inawezekana hii hali ihamishie kwangu, mwanangu bado mdogo sana kwa haya maumivu.

It took us 4 months with alot of money mpaka dogo kuja kukaa sawaa.
Alikua anapigwa doz nzito za antibiotics kias kwamba leo hii hiv vi antibiotics vya kawaida akinywa anapoumwa kawaida tu, huwa ni kama havifanyi kazi.

Daktar alinambia it will take time mwil kurud sawa toka usugu wa madawa..


Kuwa mzazi ni kaz sana Mungu atusaidie wazaz na walez wotee.
Intelligent businessman we endelea tu kupiga selfie dogo 😂 haya mambo sidhan kama utayaweza
Dah aisee mm sina la kusema zaidi ya kukupa pole.
Mambo kama haya ndo maana nasema mshikaji yupo sahihi.
Mana hua nikimuona mlemavu roho yangu hua inauma sana sasa cjui hii hali ikinitokea kwenye familia yangu cjui ntakuwa na hali gani, namuomba Mungu mno moja kati ya hali ambayo naomba asinipe kwenye familia yangu ni ulemavu.
 
Ukiachana tu changamoto za kumlea, naamini kama mzazi kila ukimtazama unajisikia uchungu sana kwakuona kwamba anateseka bila makosa.

Mwaka jana mwanangu wa kiume wa 3 kuzaliwa, 5 years alipata changamoto ya mifupa ,serious bactrial infection kwenye mfupa mkubwa wa mguu karibu na goti. Ilikua ni ishu sana.. alikua halali usiku hospital kutwa kicha kakunja mguu analia sanaa .

Daktar alinambia kitaalam hapo maumiv anayoyasikia ni kama upigwe panga kwenye mguu.. aisee acha tu, mbaya zaid wakasema kuna uwezekana ikatokea eneo la maungio ya mifupa gotini ikaathirika na mguu ukashindwa kukua hivyo kubaki na mguu mfupi mmoja na kuwa mlemavu...

Aisee...usiku akilala mwanangu nilikua nikimtazama machozi yananitoka nalia peke yangu. 🥲🥲.
NIkawa namwambia Mungu naomba kama inawezekana hii hali ihamishie kwangu, mwanangu bado mdogo sana kwa haya maumivu.

It took us 4 months with alot of money mpaka dogo kuja kukaa sawaa.
Alikua anapigwa doz nzito za antibiotics kias kwamba leo hii hiv vi antibiotics vya kawaida akinywa anapoumwa kawaida tu, huwa ni kama havifanyi kazi.

Daktar alinambia it will take time mwil kurud sawa toka usugu wa madawa..


Kuwa mzazi ni kaz sana Mungu atusaidie wazaz na walez wotee.
Intelligent businessman we endelea tu kupiga selfie dogo 😂 haya mambo sidhan kama utayaweza
Pole sana mkuu,

Hapa changamoto kubwa huwa ni pesa, Yaani pesa isipokuwepo mzazi anaweza fanya maamuzi magumu sana pesa ipatikane
 
Nadhani ilibidi umuulize kama upande wake na mke wake kuna hilo tatizo kwa familia walizotokea, mtu anaweza kuwa mzima kwenye familia nzima ila kumbe kabeba mbegu zenye ugonjwa anaweza kupata watoto wenye huo ugonjwa,
Nimemuuliza hivyo kwa sababu wanasema kama mama ni bubu anazaa mtoto bubu pia au kiziwi maana mtoto anaanza kujifunza kusikia na maneno tangu akiwa tumboni.
Mimi sio mtaalam ila nimewahi kusikia hiki kitu.
 
Nimemuuliza hivyo kwa sababu wanasema kama mama ni bubu anazaa mtoto bubu pia au kiziwi maana mtoto anaanza kujifunza kusikia na maneno tangu akiwa tumboni.
Mimi sio mtaalam ila nimewahi kusikia hiki kitu.
Kuna watoto wa viziwi na bubu wanaongea na kusikia fresh kabisa sababu masikio yanasikia na midomo inaweza kuongea,

Ila nao wanaweza wakawa wazima ila wakarithishwa mbegu zenye hilo tatizo wakaja kupata watoto wenye matatizo
 
Kuna watoto wa viziwi na bubu wanaongea na kusikia fresh kabisa sababu masikio yanasikia na midomo inaweza kuongea,

Ila nao wanaweza wakawa wazima ila wakarithishwa mbegu zenye hilo tatizo wakaja kupata watoto wenye matatizo
Sawa mkuu nimeelewa
 
Back
Top Bottom