Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Mwaka huu kaingia miaka sita na wa kiumePole sana chief.. how old is he/she?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka huu kaingia miaka sita na wa kiumePole sana chief.. how old is he/she?
HAina noma kamanda..Mpe hi kijana wetu. Lolote linawezekana chini ya jua maadam bado tuna pumziMwaka huu kaingia miaka sita na wa kiume
Ila nadhani elimu inatakiwa itolewe sana juu ya namna watu tunavyowachukulia walemavu ama wagonjwaHakika. Hakuna anaye plan haya mambo hutokea tu bila kutegemea. Very sad. Nimemuonea huruma sana huyo binti
Pamoja mkuu zimefika salamHAina noma kamanda..Mpe hi kijana wetu. Lolote linawezekana chini ya jua maadam bado tuna pumzi
Dah pole Sana kaka Ivan Stepanov , ama kweli kuwa mzazi sio kazi ya ulele mama.Ukiachana tu changamoto za kumlea, naamini kama mzazi kila ukimtazama unajisikia uchungu sana kwakuona kwamba anateseka bila makosa.
Mwaka jana mwanangu wa kiume wa 3 kuzaliwa, 5 years alipata changamoto ya mifupa ,serious bactrial infection kwenye mfupa mkubwa wa mguu karibu na goti. Ilikua ni ishu sana.. alikua halali usiku hospital kutwa kicha kakunja mguu analia sanaa .
Daktar alinambia kitaalam hapo maumiv anayoyasikia ni kama upigwe panga kwenye mguu.. aisee acha tu, mbaya zaid wakasema kuna uwezekana ikatokea eneo la maungio ya mifupa gotini ikaathirika na mguu ukashindwa kukua hivyo kubaki na mguu mfupi mmoja na kuwa mlemavu...
Aisee...usiku akilala mwanangu nilikua nikimtazama machozi yananitoka nalia peke yangu. 🥲🥲.
NIkawa namwambia Mungu naomba kama inawezekana hii hali ihamishie kwangu, mwanangu bado mdogo sana kwa haya maumivu.
It took us 4 months with alot of money mpaka dogo kuja kukaa sawaa.
Alikua anapigwa doz nzito za antibiotics kias kwamba leo hii hiv vi antibiotics vya kawaida akinywa anapoumwa kawaida tu, huwa ni kama havifanyi kazi.
Daktar alinambia it will take time mwil kurud sawa toka usugu wa madawa..
Kuwa mzazi ni kaz sana Mungu atusaidie wazaz na walez wotee.
Intelligent businessman we endelea tu kupiga selfie dogo 😂 haya mambo sidhan kama utayaweza
Sana kwakweli inatakiwa uache kazi ufanye kaziPole sana mkuu, nakuelewa sana, mtoto mlemavu ana changamoto mno kumlea
Tuambieni Toka hii wiki imeanza ni mijadala mingapi ya kukuza nchi umeanzisha humu?JF Imekuwaje siku hizi ? Jarida la mipasho utoto ujinfa tuu mambo personal ....sio ile mijadala ta kukuza nchi na vision 2030 to 50 yaanii nadhani JF ya $$ subscription ni muhimu na lazimaa....
Jaribu kutembelea hospital kubwa, ila nambie kwanza shida zaidi ni nini??Unaweza ukapata mtoto mlemavu vyovyote vile iwavyo lkn ingawaje inauma sana asee
Nna mtoto mlemavu wa kulala tu asee changamoto ni nyingi sanaaaaaaaa
Tushatembelea na bado tunaendelea kutembelea boss maana kuna clinic ya kila mwezi pale MUHIMBILI na CCBRT (dawa)Jaribu kutembelea hospital kubwa, ila nambie kwanza shida zaidi ni nini??
Mimi jobless mkuu, naonaga hio ya mtindio wa ubongo kwenye movie.Tushatembelea na bado tunaendelea kutembelea boss maana kuna clinic ya kila mwezi pale MUHIMBILI na CCBRT (dawa)
Dogo shida alizaliwa akapata homa ya manjano ikapelekea akalazwa miezi kadhaa pale temeke
Baada ya kutoka akawa yupo sawa ila sasa shida ikaanza wakati wa miezi ya kukaa kitako ndio ikajulikana kama dogo anashida
Na hospital wamesema kwamba ana utindio wa ubongo na kwamba tatizo haliponi kwa uwezo wao kama madokta hawana dawa labda tu apone kwa uwezo wa Mungu
Usijali mzee shukran pia ila utindio wa ubongo kwa maelezo ya dokta ni kwamba kuna kua na sehemu ama ubongo wote umepata athari fulani fulaniMimi jobless mkuu, naonaga hio ya mtindio wa ubongo kwenye movie.
👉 I can feel your pain Kaka, nita jaribu kuulizia ulizia sehemu🙏🙏
Alivyo gundua ikawaje malizia mkuu.🤣🤣Jamaa yangu aliwahi ku-date na demu mmoja ana mguu mmoja mfupi na hakujua kwa kipindi kirefu tu. Alikuwa anajua kuuficha kweli kweli, ila baadae akamgundua.
Mbona watu Wanapona wew tumeshindwa kuokoka kweliUnaweza ukapata mtoto mlemavu vyovyote vile iwavyo lkn ingawaje inauma sana asee
Nna mtoto mlemavu wa kulala tu asee changamoto ni nyingi sanaaaaaaaa
Kupona kwa njia ipi?Mbona watu Wanapona wew tumeshindwa kuokoka kweli
Waliiachana. Ila ni kwa sababu demu alikuwa mapepe ndiyo sababu. Alikuwa anavaa nguo ndefu mpaka vifundo vya miguu kuficha mguu wake.Alivyo gundua ikawaje malizia mkuu.
Sijasema mwamposa yule mhuniWaliiachana. Ila ni kwa sababu demu alikuwa mapepe ndiyo sababu. Alikuwa anavaa nguo ndefu mpaka vifundo vya miguu kuficha mguu wake.
Mpelekee majumbasita hamna cha maji wala mafuta sharti uwe tayari kuokoka utatuletea mrejesho hapaKupona kwa njia ipi?
Kama kwa mwamposa pole kijana [emoji3][emoji1787][emoji3]
Huyo aliyataka mwnyw kuachwaWaliiachana. Ila ni kwa sababu demu alikuwa mapepe ndiyo sababu. Alikuwa anavaa nguo ndefu mpaka vifundo vya miguu kuficha mguu wake.
Hem niache mzee usinletee ushirikina hapa 🤣🤣🤣Mpelekee majumbasita hamna cha maji wala mafuta sharti uwe tayari kuokoka utatuletea mrejesho hapa