Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Asingemwambia angefanya namna yeyote waachane! Ingekua Mimi hapo
Ningeextend mda wa uchumba labda kama tulikubaliana tufunge ndoa 2024 mwezi wa pili ningemwambia tufunge ndoa 2026 mwezi wa 11
Ningetengeneza matukio fake yatakayoonesha napitia kipindi kigumu Sana hali inayohitaji niwe mbali kidogo au inanitenga na Watu
Kwa sababu tulishakua kwenye uchumba ningekua najua hapendi nini na udhaifu wake upo wapi basi ningecapitalize mule mule mpaka ajiongeze
Ningeextend mda wa uchumba labda kama tulikubaliana tufunge ndoa 2024 mwezi wa pili ningemwambia tufunge ndoa 2026 mwezi wa 11
Ningetengeneza matukio fake yatakayoonesha napitia kipindi kigumu Sana hali inayohitaji niwe mbali kidogo au inanitenga na Watu
Kwa sababu tulishakua kwenye uchumba ningekua najua hapendi nini na udhaifu wake upo wapi basi ningecapitalize mule mule mpaka ajiongeze