passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,828
- 3,922
Mtag hapa alete huo uzi.sina mke, na hoja bwana Heriel alishawahi ziweka hapa na akapiga kwenye mshono na hakuna KE aliyechangia positively zaidi ya kumtukana
uzi siukumbuki, ana nyuzi nyingi
Mhhhnajua vizuri. wazinzi ndio waoaji, sisi tusiofanya zinaa hatuhitaji kuoa
nilijarib ku-search sikuuonaMtag hapa alete huo uzi.
Ulinikimbia uzi wangu na ndugu yako min-me alinikimbia
sasa inabidi waseme kwamba katazo letu la ndoa litakuwa na limitation ya muda mpaka pale kiuchumi tutakPokuwa sawa.Kweli mkuu. Tatizo ni kipato sizani kama kuna mtu yuko well financially ataona tabu kuishi na mtu mwingine.
Mkuu drone,nilijarib ku-search sikuuona
Mkuu ndio kwanza ndoa yako ni changa usipende kusikiliza utapel wa ndoa , ukirudi nyumbani unaweza mwona mama watoto kama jambazi .Ndoa za kitapeli kivipi?
Embu tuanzie hapo weka vifungu ambavyo vinaonyesha ndoa ni za kitapeli?
Robert alitoa sababu nyingi sana mle, ndiyo maana nautafutaMkuu drone,
Wewe umekataa ndoa sababu ya kuona uzo wa robert?
Au weww unakataa ndoa kwa sababu gani?
Mwamba leo mbona unajitetea sananilijarib ku-search sikuuona
Mkuu drone,Robert alitoa sababu nyingi sana mle, ndiyo maana nautafuta
kwakuwa aliwapiga team pinzani kwenye mshono, alichombulia ni matusi
Naomba nitajie jina la mke wa marehemu 2pacUnakuta mtu anajifanya mgumu wa hip hop anamsikiliza 2pac afu hataki ndoa. Wakati 2pac bellow 25yrs alikua anatuwakisha vyema hadi Madonna anatamani aolewe nae. Mnafeli wapi nyie mabro wa 80sView attachment 2879636
subiri niutafute uzi nikuwekee usomesasa tuambie kwanini unakataa ndoa?
Nakazia sanaaaa dronedrakesasa tuambie kwanini unakataa ndoa
Nitag huko mwambasubiri niutafute uzi nikuwekee usome
maana ntarudia aliyoyaandika
Mwanaume amilikiwe? Upo seriously kweliAmilikiwe na familia yake, inatosha
Huyo chalii ni mpiga puli mahiri zaidi kuwahi kutokea hapa duniani. Siku ya msiba wake itatamkwa "Marehemu ameacha vikopo viwili vya babycare na kimoja cha lotion"... kampuni inayotengeneza babycare itatoa ubani.Mkuu hakuna dhambi mbaya kama ya unafki na upotoshaji. Unawajaza ujinga vijana humu ila ww una mke.
Mungu atakuchoma kama mahindi yachomwavyo. Taratibu kwenye wavu uwe unadondosha mafuta chwii chwii kwenye mkaa
Ndoa yenye furaha muda wote haipo.Mkuu ndio kwanza ndoa yako ni changa usipende kusikiliza utapel wa ndoa , ukirudi nyumbani unaweza mwona mama watoto kama jambazi .
Kama ndoa yako kwa sasa ni njema furahia kwa huu wakati .
Nakusubiri.subiri niutafute uzi nikuwekee usome
maana ntarudia aliyoyaandika
Kwenye huu uzi nimeeleza mengi kuhusu 2pac. Hebu upitie mwanzo mwishoNaomba nitajie jina la mke wa marehemu 2pac