evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Kwenye Likiumbe na Litoto unamaanisha nini?Kwa hiyo mwamba wewe unamwagia ndani kwa likiumbe, likiumbe linakuzalia litoto, na wewe unalea litoto.?
Mkuu kipindi wanalea watoto wanakuwa wapo pamoja au kila mtu anakaa kivyake?Kwenye Likiumbe na Litoto unamaanisha nini?
Kuna watu wananakuwa wapenzi wanazaa na kulea watoto vizuri tu wanakuja kuoana baada ya miaka hata 5 huko tayari na watoto.
Nilie m-quote ndie katumia hilo neno mkuu, hata mimi sijui alimaanisha nini ndio maana nikamuuliza.Kwenye Likiumbe na Litoto unamaanisha nini?
Kuna watu wananakuwa wapenzi wanazaa na kulea watoto vizuri tu wanakuja kuoana baada ya miaka hata 5 huko tayari na watoto.
Newton hajawahi oa mkuu wala hajawahi kuwa na mwanamke ila alifanya mambo makubwa na jina lake ladumu vizazi na vizazi. Ila mi naunga mkono hoja ya Da'VinciUnakosea mkuu,kila Kitu unachokiona ni utaratibu hata kulala usiku nani alikufundisha ni utaratibu!
Kuoga,kuvaa,vyote ni taratibu za kijamii....
Kama tusingekuwa na taratibu basi tungelala na ndugu,dada,mashangazi etc kwasababu tuwekeana taratibu yes.
Ndoa Msingi wake ni umoja na mapenz na ushirika sisi siyó kuku kuwa tumwage tusepe ,pia hata kuku ana taratibu za kutunza matetea anayoyaingilia.
Umezaliwa umefaidika na taratibu ulizokuta KWa baba na mama yako,
Ndoa ilikuwepo millennium nyingi,watu wenye akili sana kama kina sulemani ,eistein,newton waliufata who are you?
Hii ni kampeni ya mashoga na wasagaji,
#mwanaume unawezakutia,huwezi kataa ndoa
Unasema pesa isiwe kigezo cha kuoa? Duh hujishtukii kuandika hivyoWakati Mungu anawaambia binadam wa mwanzo kabisa, kwamba zaeni mkaongezeke, hapakuwa na fedha wala shlilingi! Leo iweje fedha kiwe kigezo cha kuoa? Wengi wanakataa ndoa kutokana na sababu za vipato, japo wengine wanasingizia hawataki kero kutoka kwa hao wenza wao
Kila mtu anakaa kwakeMkuu kipindi wanalea watoto wanakuwa wapo pamoja au kila mtu anakaa kivyake?
Hata hiyari ni sababu mojawapo ya kukataa ndoa.Mkuu drone,
Ulikataa ndoa baada ya kuona uzi wa robert?
Mbona yeye anaye mke?
Unajua kitu mpaka unakikataa lazima ujue sababu ni nini.
sasa tuambie kwanini unakataa ndoa?
Hilo linabaki kuwa claimed.Sir Isaac Newton umemsingizia ,hajawahi kuwa na mke wala mtoto
Mkuu infro,Hata hiyari ni sababu mojawapo ya kukataa ndoa.
Hakuna ulazima wa mtu kuoa au kuolewa.
Ni kwel ila ndoa sio lazima kwa kila mtu , nyie mkiwa kwenye ndoa inatosha .Ndoa yenye furaha muda wote haipo.
Hilo moja, mbili kufumania mwanamke na mwanaume mwingine ilipaswa nipinge hii kitu kwa nguvu lakini nilikutanaga na Dr Ellie nikaona mimi ni mjinga sana.
Wewe umesema ndoa ni za kitapeli embu weka hapa huo utapeli tuuone?
Mosi, hakuna mwanaume ambaye hajatofautiana na mpenzi waketena wamezaa na watotoakae nae mbali huyo hayupo tuache kudanganya.Kila mtu anakaa kwake
Are you newton?Newton hajawahi oa mkuu wala hajawahi kuwa na mwanamke ila alifanya mambo makubwa na jina lake ladumu vizazi na vizazi. Ila mi naunga mkono hoja ya Da'Vinci
Mkuu min,Ni kwel ila ndoa sio lazima kwa kila mtu , nyie mkiwa kwenye ndoa inatosha .
Na huenda kaoa au anategemea kuoa hivi karibuni🤣Aise yaani vijana sisi ni tatizo sana.
Hakuna mtu mwenye hoja mpaka sasa
Tukianza na dronedrake hajawahi kuwa na hoja zaidi ya yeye kuendelea ku enjoy na mke wake huku akipotosha umma.
Nimeuliza kutokana na uliyosema,hongera kwa kugundua mtego wa swali.Ukipata deal utaoa?
Ili swali unaweza muuliza pia dangote au Elon musk ?? Kama watakujibu wataoa ata mimi nitaoa mkuu.
Kuna mmoja kanishangaza.Na huenda kaoa au anategemea kuoa hivi karibuni🤣