Kijana kuwa makini, mahusiano ni kama pepo au jehanamu yako

Jamaa anapiga mradi mzuri sana yaan anawapangua na huyo tunampa siku kadhaa tu atavurugana nae kashakunja viwanja kadhaa na maokoto km yote kweli mjini mishe mishe TU daah sijui nakwama wapi huu wa Manara ni mradi kabisa Ila IPO siku watu watachoka
Jamaa anajipambanua kwenye mitandao kuwa ameandika historia kizazi hiki kuwa anakojoa mahali pazuri. Hivi hizi ni akili kweli au ujinga?๐Ÿ˜„
 
Kwa huo unene Kwa wote wawili, style muafaka ni mtihani
 
Nipo nasikiliza wimbo hapa

IPO SIKU_ VIJANA BARUBARU

Ngoja nitafute na Smirnoff Black Ace mojaa Niki sign out LINDO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ