Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nauza Humu jf😆😄😄🤣, Uzi lazima uende😄😆🤒😂 hiyo albam ikiuza niite mbwa nimekaa pale
JideKomando kipensi labda.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣UMEYATIMBA bwege wewe nakusubiri kwa hamu keshoWewe Mwanamke Hance Mtanashati Kesho nimehairisha rasmi kwenda Kanisani kwa ajili yako Kibhombo wewe!
Tuma hiyo Hela ya Mafuta nijaze wese kabisa niwe tayari na unipe maelekezo wapi pa kuonana,mimi hata ukitaka iwe kwenu wewe sema nitakuja hadi kwenu!
Usiende PM nasubiri majibu hapa!
Kwasababu umegoma leo na kesho nikasema naenda kanisani ukadhani nakukimbia,sasa kesho kanisani nimeahirisha kwenda,nasubiri majibu!
Namba nishakutumia maana ulidhani nitashindwa kukutumia namba!
ACHA BLAH BLAH NASUBIRI MAJIBU!
Kamekuja PM kananiambia kaka mara ooh mkuu tafuta sehemu watu wasinione nisaidie na nauli lakini Sina mia nyekundu hesabu ya bosi haijatimia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣We mughaka mura utavunjwa irrineghe na huyo murisya
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huna baya tajiri angu .....Linguistic
Tukiweka na viingilio si mtakuja , January inakuja hiyo mkuu tupige pesa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Dah hapa sijui inakuwaje maana nyote nyie wanangu
Hebu tafuteni suluhisho achaneni na mambo ya sparing
Ova
Tata!! Wachape [emoji1787]. Wasikimbie kama yule mwingine. Naomba mualiko nije kusimamia kipengele cha hakuna kuachanishwa hadi mhusika apige magoti na kukiri maji yamezidi unga.Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!
Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kukuongoza kijana Hance Mtanashati kwa kuomba kufanya Sparring na mimi,haya ndiyo mambo nipendayo UMUGHAKA
Nimewahi kumuomba ndugu yako Sparring lakini akaingia mitini na kuendelea kunitukana!.
Nashukuru sana kwa wewe kuwa jasiri na kutaka Sparring na mimi!.
Nimekutumia sms pm (Inbox) kama ulivyotaka na maelezo yote nimeweka hapo lakini naona kimya!
Kama itawezekana naomba iwe kesho kabla ya jua kuzama maana mwenzio ni Msabato,kama ikishindikana kesho basi tafuta muda na siku utakayoona inafaa!
Ukitaka wawepo mashahidi kadhaa kutoka hapa JF itakuwa vema lakini pia ukitaka tuwe sisi wawili nadhani itakuwa vema zaidi ili mmoja akichakaa amkimbie mwenzie,asiwepo wa kutuachanisha.
Nimekutumia sms pm nasubiri majibu!
Alidhani maisha ni rahisi hivyo. If it is too good to be true its not trueHahaaaa mimi kuna mmoja yupo rombo huko akawa ananitukana na kuzuga yupo Sudan. Nikatengeneza ID nyingine yenye jina la kike. Nikamfuata Inbox, dogo akanipa namba yake. Hahaaaa nikamwambia mimi fulani nimetengeneza hii ID ili nikushughulikie. Hahaaaa, dogo akaomba msamaha.
Rigged haipo humo. Real fight,streeet itafunza adabu.Napenda kutazama ndondi za mtaani...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mzeee una umafia flani in your head.Napendekeza gloves ili mtu avimbiane bila vidonda maana akitoka mangeu inaleta picha ya kesi ya kujaribu kuua[emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Chanzo cha ugomvi ni niniMm nakujua wewe ni mtu Mpole kwa nn mpigane vitasa mkuu. Au kuchoka kimaisha, maana kama una mambo mengi na schedules zako hauwez upange mpigane vitasa njiani. Kwahiyo mnachaguaga ndani ya vituo vya mwendokazlsi??
Mm nakumbuka niliogana vitasa na kinda wa daladala ya bunju kawe. Tulikwenda kuamuliwa kawe kituo cha polisi. Nilimsingizia kutaka kunibaka
Ila uwezo tu unao.....tukiachana na Google yaani au basi acha tuGoogle inasaidia sana😀
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]imekaa poa hii.Hahaaaa mimi kuna mmoja yupo rombo huko akawa ananitukana na kuzuga yupo Sudan. Nikatengeneza ID nyingine yenye jina la kike. Nikamfuata Inbox, dogo akanipa namba yake. Hahaaaa nikamwambia mimi fulani nimetengeneza hii ID ili nikushughulikie. Hahaaaa, dogo akaomba msamaha.
So the guy ,tata mwenyewe kumbe ana pigo za mandonga mtu kazi??Mwanamke tu huyu hasumbui.
Thanks 🙏Ila uwezo tu unao.....tukiachana na Google yaani au basi acha tu
Kampige drip! Hizi trash talk zisiwepo jukwani tena. Nimekuwa interested sana na hii fightUmeona wapi wakurya wanajua kupigana?
Hawa wanachotegemea silaha tu na tagi ,na uzuri kutoka huko bado hasumbui
Kamekuja inbox na mkuu mkuu nyingi, yani kanatingisha kibiriti .
Sasa kajaa huyu bwege ,atafurahi na show
Mm nitakuja na camera ntakua na shoot....kule insta nina account huwa naweka clip za watu wanaokufa liveMi nipo tayari kuleta glucose ili ambaye atambwela mbwela basi apate kujiboost.