Kijana ukitaka kuoa oa msichana anayeishi nyumbani kwao

Kijana ukitaka kuoa oa msichana anayeishi nyumbani kwao

Mkuu mzee,
Mwanaume anaweza kufahamu kuwa mwanamke huyu yupo kwenye mahusiano ila akaendelea kutumia ushawishi na kulazimisha mpaka akampata.
Kama unavyosema wanaume in nature hatuwezi kuwa na mwanamke mmoja na sisi ni wadhaifu katika viungo vyao, basi hapana tofauti na mwanamke kuwa dhaifu katika material things.

si ajabu mwanaume kutoka mwanza akamfata mwanamke dar es salaam kwa sababu tu ya kufanya mapenzi.

Untaka kusemq hujui matatzo mengi kwa 98% tunasababisha sisi wanaume?
Basi umeoa malaya
 
Kwa hili na hichi ulicho andika umenyoosha maelezo vizuri sana.
Kama ulikuwa karibu na mimi ungepata soda mkuu.
Mkuu nitumie soda kwenye simu inawezekana. Ni 700 tu. Sema nikupe namba
 
Na wanaopata kazi mikoa mingine inawabidi wahame manyumbani na kuanza maisha huko waendako?
 
Binti akiishi mwenyewe bila muongozo kupotea ni rahisi sana,na changamoto za mahusiano zimekuwa nyingi kwa sababu uoaji wa hovyo umekithiri vijana wanaoa wavuta shisha,wapigwa three some wadangaji etc bila kujua.

Binti akiwa chini ya familia hawezi kukaa nje ya nyumba mpaka saa nne usiku but akiwa na ghetto lake atakesha mpaka asubuhi sasa huko kukesha ndiko atavutishwa bangi,unga kunywa pombe kali na takataka nyengine akifika umri wa ku-settle akikutana na kijana innocent anamuektia utulivu akiingia ndoani ndipo mume anagundua kumbe alioa teja,levi na mal.aya.

Mimi hata nilikuwa sijui wala sijawahi kuwaza kama nao kuna watu huwa wanawaoa
[emoji2][emoji2]
 
Ndio wanakua mabro wale bdoto zao kuoa wazungu wqzee
Hawa sijui niwaweke group la maloser mkuu kijana mwenye 35 ni muhimu akawa tayari ana mama ndani....una miaka 30 hutaki kuoa unataka uzae mtoto alelewe malezi yapi???
 
Afu doctor mm siko hivo kabisa. Achana na utundu wangu wa hapa jukwaani. Fungua pm tuyajenge.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Sasa issue ya kunichukua kutoka nyumbani itakuwaje? Maana nimeanza kukaa mwenyewe tangu high school.

Au nirudi kwa muda....???🙄
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Sasa issue ya kunichukua kutoka nyumbani itakuwaje? Maana nimeanza kukaa mwenyewe tangu high school.

Au nirudi kwa muda....???🙄
Si tunadate tu doctor. Acha kunitafutia vikwazo
 
Tuna-date bila malengo??😳😳
Mi sitaki kuja kulalamika kua ulinitumia ukaniacha!😁😁

Alafu vikwazo vidogo vidogo hivyo vinasawazika 💯.
Eleweka sasa Doc L, I assure you won't be disappointed
 
Back
Top Bottom