Kijana ukitaka kuoa oa msichana anayeishi nyumbani kwao

Basi umeoa malaya
 
Kwa hili na hichi ulicho andika umenyoosha maelezo vizuri sana.
Kama ulikuwa karibu na mimi ungepata soda mkuu.
Mkuu nitumie soda kwenye simu inawezekana. Ni 700 tu. Sema nikupe namba
 
Na wanaopata kazi mikoa mingine inawabidi wahame manyumbani na kuanza maisha huko waendako?
 
[emoji2][emoji2]
 
Ndio wanakua mabro wale bdoto zao kuoa wazungu wqzee
Hawa sijui niwaweke group la maloser mkuu kijana mwenye 35 ni muhimu akawa tayari ana mama ndani....una miaka 30 hutaki kuoa unataka uzae mtoto alelewe malezi yapi???
 
Tayana naona dogo anakuzeesha kabla ya wakati, eti 95 ni mpigania uhuru, wakati bibie mbichi kabisa🀣
Unamuona eeh .sijui ananinyima nn πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸƒπŸƒ
 
Afu doctor mm siko hivo kabisa. Achana na utundu wangu wa hapa jukwaani. Fungua pm tuyajenge.
🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Sasa issue ya kunichukua kutoka nyumbani itakuwaje? Maana nimeanza kukaa mwenyewe tangu high school.

Au nirudi kwa muda....???πŸ™„
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Sasa issue ya kunichukua kutoka nyumbani itakuwaje? Maana nimeanza kukaa mwenyewe tangu high school.

Au nirudi kwa muda....???πŸ™„
Si tunadate tu doctor. Acha kunitafutia vikwazo
 
Si tunadate tu doctor. Acha kunitafutia vikwazo
Tuna-date bila malengo??😳😳
Mi sitaki kuja kulalamika kua ulinitumia ukaniacha!😁😁

Alafu vikwazo vidogo vidogo hivyo vinasawazika πŸ’―.
 
Tuna-date bila malengo??😳😳
Mi sitaki kuja kulalamika kua ulinitumia ukaniacha!😁😁

Alafu vikwazo vidogo vidogo hivyo vinasawazika πŸ’―.
Eleweka sasa Doc L, I assure you won't be disappointed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…