Sasa nyie mlio zaliwa 70s na 80s mimi wa 20s nitawashauri nini? Nyie ni wapigania uhuru Ni sawa nawamfundisha mbwa mzee jinsi ya kubwekaKwa hiyo haya mawaidha ni kwa ajili ya vijana wa 90s, kwamba wale wa 80s jua linawaka sana na wale wa 70s limeshazama?π€£π€£
Bwana Da vincci acha ukorofi!!!
Salute
NB. Ujumbe huu ni maalumu kwa ajili ya vijana wanaotafuta mwanamke wa kufanya nae maisha yaani Kutunza na kulea familia wakati mume akiwa katika harakati zake za kutafuta kipato cha kutunza familia na sio kwa wale wanaotafuta wanawake ambao watasaidizana kiuchumi.
Ningependa kuongea na vijana wenzangu hasa vijana wa 90s najua kipindi hichi wengi wenu mmefikia umri wa kuanziaha familia baada ya kujitafuta au ukiwa bado waendelea kujitafuta financially.
So kipindi hiki unatafuta life partner hasa kwa sie wagalatia ambao tukiweka tumeweka kama mabati ya chapa kiboko hamna kuachana basi jitahidi sana mwanamke unayetaka kuoa awe anakaa nyumbani kwao na kalelewa na wazazi wote wawili. Yaani wote wawe pamoja unless baba au mama alifariki recently (five years give or take)
Rafiki wa binti ni mama yake, binti lazima awe anaandamana na mama yake zaidi ili aweze kujifunza upishi, Malezi, heshima na maadili. Huku baba yake akiwa pembeni kumuongoza as kichwa cha familia.
Kama binti anaishi kwao kwenye familia iliyo na baba na mama lazima awe na misingi yote madhubuti ya Malezi.
Sasa imagine binti umekutana nae kwenye mwendokasi umempenda ukachukua namba wewe ukajaa ukatamani umfanye mkeo. Wakati huo anaishi zake mwenyewe geto... Kapanga anaishi mwenyewe hana ajira ya kueleweka labda yupo ofisi fulani. Anafanya tu mishen town.... My dear friend utajua hujui. Okopa sana mwanamke aliyepanga na anaishi mwenyewe kwenye majiji dume kama Dar, Arusha, Mwanza, Dodoma, Zanzibar, nk.
Atakua na shughuli zake ila lazima ziwepo za kando zinazohusisha wanaume(kudanga) angalua akiwa labda kapanga ajili ya kazi kwamba kahamishiwa eneo asilokua na ndugu au mbali na ofisi so anataka apange. Ila tu kama kapanga mwanangu usithubutu kuangukia ukijua umepata wife material unakua umepata stress material.
Binti inatakiwa akae nyumbani saa kumi nambili saa moja kasharudi nyumbani anafanya shughuli za nyumbani sio binti anazurura mpaka saa mbili for nothing hafu hakuna anayemuuliza nawewe unachukua unao... Litakukuta jambo bro!
Mwanamke inatakiwa unamchumua kutoka mikononi mwa wazazi/walezi wake wanakukabidhi unaenda kuishi nae as mke ndio inakua first experience ya kuishi mwenyewe nje ya nyumbani... Sasa unachukua mwanamke kashapanga mtaani miaka miwili mtaani afu unaoa. Hujipendi wewe tena mbaya zaidi awe age go... Utaipenda.
Mengine tutajuzana kwenye comment ila jambo la msingi, vijana mwanamke umtoe kwao sio geto na hakikisha nyote mmeanza mechi 0-0 hakuna mwenye mtoto unless nyote muwe na watoto.
Yangu ni hayo... Mwenye masikio na asikie! Mapenzi yasikuchanganye... Ndoa ni zaidi ya hizo hisia zako za mapenzi ulizonazo kwa huyo my wakoView attachment 2876477
Akiwa real ana hofu ya Mungu ni safi kabisa ila wengi wanaigiza sana...Ila Haya Mambo Hayana Formula Unaweza Zifata Hizo Zote Bado Ndoa Ikakupindua Vizuri Tu.
Hints Naongezea Hapo Juu: Tafuta Mwanamke Mwenye Hofu Ya Mungu Kidogo Itasaidia.
Kwa hiyo sisi tuolewe na nani?Salute
NB. Ujumbe huu ni maalumu kwa ajili ya vijana wanaotafuta mwanamke wa kufanya nae maisha yaani Kutunza na kulea familia wakati mume akiwa katika harakati zake za kutafuta kipato cha kutunza familia na sio kwa wale wanaotafuta wanawake ambao watasaidizana kiuchumi.
Ningependa kuongea na vijana wenzangu hasa vijana wa 90s najua kipindi hichi wengi wenu mmefikia umri wa kuanziaha familia baada ya kujitafuta au ukiwa bado waendelea kujitafuta financially.
So kipindi hiki unatafuta life partner hasa kwa sie wagalatia ambao tukiweka tumeweka kama mabati ya chapa kiboko hamna kuachana basi jitahidi sana mwanamke unayetaka kuoa awe anakaa nyumbani kwao na kalelewa na wazazi wote wawili. Yaani wote wawe pamoja unless baba au mama alifariki recently (five years give or take)
Rafiki wa binti ni mama yake, binti lazima awe anaandamana na mama yake zaidi ili aweze kujifunza upishi, Malezi, heshima na maadili. Huku baba yake akiwa pembeni kumuongoza as kichwa cha familia.
Kama binti anaishi kwao kwenye familia iliyo na baba na mama lazima awe na misingi yote madhubuti ya Malezi.
Sasa imagine binti umekutana nae kwenye mwendokasi umempenda ukachukua namba wewe ukajaa ukatamani umfanye mkeo. Wakati huo anaishi zake mwenyewe geto... Kapanga anaishi mwenyewe hana ajira ya kueleweka labda yupo ofisi fulani. Anafanya tu mishen town.... My dear friend utajua hujui. Okopa sana mwanamke aliyepanga na anaishi mwenyewe kwenye majiji dume kama Dar, Arusha, Mwanza, Dodoma, Zanzibar, nk.
Atakua na shughuli zake ila lazima ziwepo za kando zinazohusisha wanaume(kudanga) angalua akiwa labda kapanga ajili ya kazi kwamba kahamishiwa eneo asilokua na ndugu au mbali na ofisi so anataka apange. Ila tu kama kapanga mwanangu usithubutu kuangukia ukijua umepata wife material unakua umepata stress material.
Binti inatakiwa akae nyumbani saa kumi nambili saa moja kasharudi nyumbani anafanya shughuli za nyumbani sio binti anazurura mpaka saa mbili for nothing hafu hakuna anayemuuliza nawewe unachukua unao... Litakukuta jambo bro!
Mwanamke inatakiwa unamchumua kutoka mikononi mwa wazazi/walezi wake wanakukabidhi unaenda kuishi nae as mke ndio inakua first experience ya kuishi mwenyewe nje ya nyumbani... Sasa unachukua mwanamke kashapanga mtaani miaka miwili mtaani afu unaoa. Hujipendi wewe tena mbaya zaidi awe age go... Utaipenda.
Mengine tutajuzana kwenye comment ila jambo la msingi, vijana mwanamke umtoe kwao sio geto na hakikisha nyote mmeanza mechi 0-0 hakuna mwenye mtoto unless nyote muwe na watoto.
Yangu ni hayo... Mwenye masikio na asikie! Mapenzi yasikuchanganye... Ndoa ni zaidi ya hizo hisia zako za mapenzi ulizonazo kwa huyo my wakoView attachment 2876477
Ndio naishi geroooo.Kwani ww unaishi geto?
Ndio naishi geroooooo πππEti gerooπ€£π€£
Tena zimejaa na still Wana ruhusa ya kuoa mara 4Hata huko talaka zipo!!
Unafuu Kwa waislam ni ile kutambua kwamba Mambo yakishindikana talaka ipo!
Kwa wakristo hawatambui eti hadi mahakama kana kwamba ndoa ilifungwa mahakamani!!
Wasio na wazazi?Ndoa inajengwa katika misingi ya uvumilivu. But my point is pinned to the fact that all wife materials must be staying with their parents
Saint Anno II anatafuta mchumba anayeishi geroooNdio naishi geroooooo πππ
Kwa hiyo sisi tuolewe na nani?
Bado kumbe hamjatujua wanawake vzrHahahahaha,kimbia fasta toka nduki ...
Km ni mwanachama wa ccm he?Uko sahihi kabisa. Pia usioe demu mwenye safari za kwenda Dodoma mara kwa mara. Tena kama anasafiri nyakati za vikao vikubwa vya chama au mikutano ya wakuu wa shule ndo inakuwa hatari zaidi.
Kwa hiyo sisi ambao tunaishi nje na nyumbani tupendwe na nani?Saint Anno II anatafuta mchumba anayeishi gerooo
Mkuu sisi sio viumbe wa hovyo!Mwanamke ni kiumbe kimoja cha hovyo sana kisichoujua umuhimu wake.
π€£π€£πKwa mabinti wepi?Amini alichoandika mleta mada hapo juu ana point.
Binti ambaye hajazoea kujibizana na wanaume hovyo (anayeishi bado na wazazi wake) kujibizana na mumewe ndani ya ndoa ni tofauti na mwenye uzoefu wa kujibizana na wanaume(waliopanga) kwenye ma-bar,siku hizi wapo mpaka wanaobishana masuala ya mipira na kwenye mabanda ya mpira wanaingia.
Hao ni vitu viwili tofauti
Nimesema kuna factor zinazoweza kumfanya Mwanamke akaishi mwenyewe na nimezisema. Hata hivyo inatakiwa iwe last resort/option.Wasio na wazazi?
Haya uliyoyaongea haya apply Kwa maisha ya Sasa!
We go wako mbali na wazazi wao sio Kwa kupenda ni Kwa sbb tofauti tofauti!