Kijana ukitaka kuoa oa msichana anayeishi nyumbani kwao

Kijana ukitaka kuoa oa msichana anayeishi nyumbani kwao

Salute
NB. Ujumbe huu ni maalumu kwa ajili ya vijana wanaotafuta mwanamke wa kufanya nae maisha yaani Kutunza na kulea familia wakati mume akiwa katika harakati zake za kutafuta kipato cha kutunza familia na sio kwa wale wanaotafuta wanawake ambao watasaidizana kiuchumi.

Ningependa kuongea na vijana wenzangu hasa vijana wa 90s najua kipindi hichi wengi wenu mmefikia umri wa kuanziaha familia baada ya kujitafuta au ukiwa bado waendelea kujitafuta financially.

So kipindi hiki unatafuta life partner hasa kwa sie wagalatia ambao tukiweka tumeweka kama mabati ya chapa kiboko hamna kuachana basi jitahidi sana mwanamke unayetaka kuoa awe anakaa nyumbani kwao na kalelewa na wazazi wote wawili. Yaani wote wawe pamoja unless baba au mama alifariki recently (five years give or take)

Rafiki wa binti ni mama yake, binti lazima awe anaandamana na mama yake zaidi ili aweze kujifunza upishi, Malezi, heshima na maadili. Huku baba yake akiwa pembeni kumuongoza as kichwa cha familia.
Kama binti anaishi kwao kwenye familia iliyo na baba na mama lazima awe na misingi yote madhubuti ya Malezi.

Sasa imagine binti umekutana nae kwenye mwendokasi umempenda ukachukua namba wewe ukajaa ukatamani umfanye mkeo. Wakati huo anaishi zake mwenyewe geto... Kapanga anaishi mwenyewe hana ajira ya kueleweka labda yupo ofisi fulani. Anafanya tu mishen town.... My dear friend utajua hujui. Okopa sana mwanamke aliyepanga na anaishi mwenyewe kwenye majiji dume kama Dar, Arusha, Mwanza, Dodoma, Zanzibar, nk.

Atakua na shughuli zake ila lazima ziwepo za kando zinazohusisha wanaume(kudanga) angalua akiwa labda kapanga ajili ya kazi kwamba kahamishiwa eneo asilokua na ndugu au mbali na ofisi so anataka apange. Ila tu kama kapanga mwanangu usithubutu kuangukia ukijua umepata wife material unakua umepata stress material.

Binti inatakiwa akae nyumbani saa kumi nambili saa moja kasharudi nyumbani anafanya shughuli za nyumbani sio binti anazurura mpaka saa mbili for nothing hafu hakuna anayemuuliza nawewe unachukua unao... Litakukuta jambo bro!

Mwanamke inatakiwa unamchumua kutoka mikononi mwa wazazi/walezi wake wanakukabidhi unaenda kuishi nae as mke ndio inakua first experience ya kuishi mwenyewe nje ya nyumbani... Sasa unachukua mwanamke kashapanga mtaani miaka miwili mtaani afu unaoa. Hujipendi wewe tena mbaya zaidi awe age go... Utaipenda.

Mengine tutajuzana kwenye comment ila jambo la msingi, vijana mwanamke umtoe kwao sio geto na hakikisha nyote mmeanza mechi 0-0 hakuna mwenye mtoto unless nyote muwe na watoto.

Yangu ni hayo... Mwenye masikio na asikie! Mapenzi yasikuchanganye... Ndoa ni zaidi ya hizo hisia zako za mapenzi ulizonazo kwa huyo my wakoView attachment 2876477
Umeeleweka sana, Kwamba umtoe kwao kwa wazazi wote wawili akiwa hana mtoto wala historia ya kuwahi kuishi peke yake📌
 
Kumekucha!
Kuna single mother ana 31 kaolewa december.
-hana shuguli ya maana mjini na kapanga almost 5years na mtoto ana miaka6
- amelelewa na mama tu wazazi wake waliachana akiwa shule ya msingi
-mwanaume akabadili dini kumfata mwanamke

hilo unalizungumziaje? mana mnatuchanganya
 
😂😂😂😂😂Mume nikimkosa duniani ntampata mbinguni sio huyo sura ng'ombe 😂😂😂😂😂
Utampata wapi na ww sio muislam? Pepo ya wagalatia is very boring. Hakuna wanaume wala wanawake full kuimba tu. Mume tafuta huku.. Huyo hapo ushampata
 
Kumekucha!
Kuna single mother ana 31 kaolewa december.
-hana shuguli ya maana mjini na kapanga almost 5years na mtoto ana miaka6
- amelelewa na mama tu wazazi wake waliachana akiwa shule ya msingi
-mwanaume akabadili dini kumfata mwanamke

hilo unalizungumziaje? mana mnatuchanganya
Ukitaja kesi moja moja ofcourse hakuna system ambayo itakosa victim. Ila ukijimuisha kuna system ambao itapunguza victims kwa kiasi kikubwa kuliko nyingine. Mwanamke anaeondoka nyumbani na kwenda kupanga ni rahisi sana kualibikiwa kitabia na kimaadili ukilinganisha na anaekaa kwa wazazi mpaka pale atakapoolewa.
 
Back
Top Bottom