Kijana ukitaka kuoa oa msichana anayeishi nyumbani kwao

Kijana ukitaka kuoa oa msichana anayeishi nyumbani kwao

Nimesema kuna factor zinazoweza kumfanya Mwanamke akaishi mwenyewe na nimezisema. Hata hivyo inatakiwa iwe last resort/option.

Mwanamke inatakiwa awe na experience ya kuishi mbali na wazazi/walezi pindi akiolewa tu sio eti aamue akapange kisa ana uwezo wa kulipa kodi
Bado hutujui wanawake
Nasisitiza!
Bora anaishi mwenyewe na anaejielewa kuliko aliye chini ya wazazi lkn anaruka ukuta anarudi alfajiri!
Siku akiwa huru ndo utajua hujui!

Oa ambae mwanamke mwenye hofu ya Mungu,akili ya maisha,malezi kiujumla,ambae kwake kuwa huru sio issue!
Nk
 
Utakuja kulia vibaya wewe. Watu wanaishi geti kali na wanaruka ukuta wanaenda disco wanarudi saa 11 na wazazi hawajui kitu.

Mbona wanazalia nyumbani sasa[emoji23][emoji23][emoji23] na wapo kwenye mikono ya wazazi? Na wanarudi nyumbani mapema?

Oa mwanamke ambaye uhuru haumchanganyi. Sasa wewe oa mwanamke aliyefugwa kwenye cage siku usafiri apate uhuru uone atakavyoutumia.
Nyie wanawake ni wabishi sana kamwe hamkubali ukweli. Mtoa mada yupo sahihi, mwanamke hatakiwi kuachiwa uhuru.
 
Bado hutujui wanawake
Nasisitiza!
Bora anaishi mwenyewe na anaejielewa kuliko aliye chini ya wazazi lkn anaruka ukuta anarudi alfajiri!
Siku akiwa huru ndo utajua hujui!

Oa ambae mwanamke mwenye hofu ya Mungu,akili ya maisha,malezi kiujumla,ambae kwake kuwa huru sio issue!
Nk
Mwenye akili hata kama akiwa kwao utaiona tu akili yake. Au unamaanisha akili ya maisha ni mwanamke mpaka saa mbili ya usiku anazurura mtaani for nothing???

Nikupe mfano
Siku moja nipo na jamaa angu bodaboda
Sasa tukiwa tunatembea akasema hawa wanawake unaowaona wanatembea hapa barabara hata kama kabeba mtoto wote wanajiuza. Nikabisha.

Akawa kila akikutana na mwanamke anamsimamisha anamzingua ili tujue kweli wanauza? Kwanza kabisa tukakutana na mmama mmoja age 40s yule boda akamwambia samahani dada naweza pata msichana wa kua nae usiku huu?? Yule dada naona alikua kalewa basi aliwaka akawa anasema. Wewe unataka msichana au unataka K***m?? Eti hakuna msichana huku wasichana wote wapo na mama zao jikoni muda huu. Ilikua saa tatu..

Unaona hata mdada anayejiuza anajua kabisa mwanamke ni wa kukaa na mama yake mapema yupo ndani anasaidia kuandaa chakula cha usiku
 
Bado hutujui wanawake
Nasisitiza!
Bora anaishi mwenyewe na anaejielewa kuliko aliye chini ya wazazi lkn anaruka ukuta anarudi alfajiri!
Siku akiwa huru ndo utajua hujui!

Oa ambae mwanamke mwenye hofu ya Mungu,akili ya maisha,malezi kiujumla,ambae kwake kuwa huru sio issue!
Nk
Kwaiyo wote wanaoishi kwa wazazi wao wanatoloka kwa kuruka ukuta na kurudi asubuhi? Hao wanaotoroka na kurudi asubuhi ni percent ndogo sana ukilinganisha na percent kubwa sana ya pasua kichwa wanaoishi magetoni. Bila shaka wewe ni mwanamke wa geto na hapa unajitetea kimkakati.
 
Waislam tuna wabeza ila linapokuja swala la ndoa kuna mambo mengi wanatuzidi na wako sahihi sana. Swala la mwanamke kua anatakiwa awe mama wa nyumbani mlea familia maana yeye ndio chanzo cha uhai ni sahihi sana.

Migogoro mingi kwenye ndoa inaanzia hapo mwanamke kuanza kuchukua nafasi ya kua mtafutaji wa familia badala ya mlea familia. Acha kabisa mawazo ya kutaka mke utakayesaidiana nae kiuchumi.. Stroke itakuhusu
Mkuu Da’vinci,
Umenena vyema kwamba waislamu huenda wamewazidi dini nyingine kama ulivyotanabisha.

Kwamba mwanamke anapaswa kuwa mama wa nyumbani tu.maisha yetu hatujui kesho yetu itakuwaje, fikiria baba huyo anayemuacha Mke kwa ajili ya kulea tu na kazi za nyumbani. Ikatokea mwanaume amepata ajali itakayomlaza kitandani mwaka mzima.

Na ili familia iende inakuhitaji wewe utoke, unafanya nini? Nani ataihudumia watoto wako na mkeo?
 
Rafiki wa binti ni mama yake, binti lazima awe anaandamana na mama yake zaidi ili aweze kujifunza upishi, Malezi, heshima na maadili. Huku baba yake akiwa pembeni kumuongoza as kichwa cha familia.
Mkuu Da’vinci.

Hongera kwa kutambua umuhimu wa ndoa, lakini pia hata kama utaoa alitokea nyumbani wanaume wenzako lazima tu waje kuharibu.

Changamoto nyingi za 98% za mahusiano zinasababishwa na wanaume sisi wenyewe.
Unafahamu kabisa ni Mke wa mtu au ana mahusiano na mtu fulani lakini bado mtu huyo atajaribu kudanganya kwa kila namna ili airidhishe hali yake bila kumfikiria mwanaume mwenzake.

Wote wanaojiuza wapo sababu wanunuzi wapo ambao ni wanaume.
Japo wanawake nao ni changamoto.
 
Back
Top Bottom