Kijana ukitaka kuoa oa msichana anayeishi nyumbani kwao

Kijana ukitaka kuoa oa msichana anayeishi nyumbani kwao

Sawa cousin wake Jesus 😂🤣
Endeleza darasa.

Ila chukua hii,, usiombe mtoto wa gate kali apate uhuru.
Na huo ufupi wako jiandae
FB_IMG_17056114058560488.jpg
 
Mkuu Da’vinci,
Umenena vyema kwamba waislamu huenda wamewazidi dini nyingine kama ulivyotanabisha.

Kwamba mwanamke anapaswa kuwa mama wa nyumbani tu.maisha yetu hatujui kesho yetu itakuwaje, fikiria baba huyo anayemuacha Mke kwa ajili ya kulea tu na kazi za nyumbani. Ikatokea mwanaume amepata ajali itakayomlaza kitandani mwaka mzima.

Na ili familia iende inakuhitaji wewe utoke, unafanya nini? Nani ataihudumia watoto wako na mkeo?
Kama Mme kapta ajali na Mke alkuwa hom tu si ndo mwanzo wa kudanga na dhrau havna fomula lolote linatokea
 
Back
Top Bottom