Pre GE2025 Kijana, Ushirikina na Uchawi hautakusaidia kupata nafasi ya Uongozi wa Kisiasa

Pre GE2025 Kijana, Ushirikina na Uchawi hautakusaidia kupata nafasi ya Uongozi wa Kisiasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Zaidi sana utapoteza muda na fedha zako, tena kwa fedheha sana, ukiwa na elimu ya madigrii kadhaa ya kitaaluma wakati mganga hata darasa la saba hajamaliza.

Mganga hawezi na wala hana uwezo wa kukupatia uongozi wa wananchi, bali atakutisha tu kwa kukuhimiza kufanya bidii kutafuta kura kwa wananchi kwa masharti magumu, huku akiwa anakukoromea kwa ukali na vitisho, bidii ambayo ungeweka tu mwenyewe na ukafanikiwa.

Uvivu wako katika kutafuta uongozi wa kisiasa na tamaa zako za kupata uongozi bila kuweka bidii ya ushawishi wa sera na mipango mikakati yako kwa wananchi, visikuchochee ukatumbukia kwenye dhambi hii ya ushirikina na uchawi na pengine kupelekea hadi kusababisha vifo na mauaji kwa binadamu wenzako.

Kwa njia hiyo, huwezi kudumu, huwezi kuwa na amani, wala kufurahia uongozi wako ikiwa kuna roho na damu za wasio na hatia ulizodhulumu zinakulilia kwa uchungu kila uendako.

Uongozi na mamlaka za wanadamu vinatoka kwa Mungu, sauti ya wengi sauti ya Mungu, ukimtumainia na kutegemea Mungu katika nia na dhamira zako njema atatufanikisha.

Uganga, uchawi na ushirikina unakupoteza mchana kweupeee na elimu yako.

Pambana kwa bidii na haki utatoboa tu.

Dominika Njema.
 
Uchaguzi uliopita nilitia Nia na kuchukua fomu ya Ubunge.. Siku mbili kabla ya kikao cha uteuzi aliyeibuka mshindi alikusanya zaidi ya nusu ya wajumbe... Akawaambia kila mjumbe atapewa laki tatu.. Hizo laki tatu zilitolewa na mganga wa kienyeji kwa sharti kuwa kama hutampigia kura Bora laki tatu yake uiache.. Na kweli jamaa walimpigia kura na akashinda.. Ushirikina Bado una nguvu sana katika siasa zetu..
 
Kama kuna njia MTU anaiamini muache aitumie .

Maana kuwa kiongozi ni inborn Ila kuwa mwanasiasa inahitaji drama


MTU anayeweza kujiongoza hadi kufikia malengo ya Maisha yake huyo MTU ahitaji nguvu ya mwanasiasa.


Ukienda kwa mganga unaweza kuwa mwanasiasa na sio kingozi maana uongozi ni karama itokayo kwa Mungu.
 
zaidi sana utapoteza muda na fedha zako, tena kwa fedheha sana, ukiwa na elimu ya madigrii kadhaa ya kitaaluma wakati mganga hata darasa la saba hajamaliza...

mganga hawezi na wala hana uwezo wa kukupatia uongozi wa wananchi, bali atakutisha tu kwa kukuhimiza kufanya bidii kutafuta kura kwa wananchi kwa masharti magumu, huku akiwa anakukoromea kwa ukali na vitisho, bidii ambayo ungeweka tu mwenyewe na ukafanikiwa...

uvivu wako katika kutafuta uongozi wa kisiasa na tamaa zako za kupata uongozi bila kuweka bidii ya ushawishi wa sera na mipango mikakati yako kwa wananchi, visikuchochee ukatumbukia kwenye dhambi hii ya ushirikina na uchawi na pengine kupelekea hadi kusababisha vifo na mauaji kwa binadamu wenzako....

kwa njia hiyo,
huwezi kudumu, huwezi kua na amani, wala kufurahia uongozi wako ikiwa kuna roho na damu za wasio na hatia ulizodhulumu zinakulilia kwa uchungu kila uendako...

uongozi na mamlaka za wanadamu vinatoka kwa Mungu..
sauti ya wengi sauti ya Mungu..
ukimtumainia na kutegemea Mungu katika nia na dhamira zako njema atatufanikisha...

uganga, uchawi na ushirikina unakupoteza mchana kweupeee na elimu yako..

pambana kwa bidii na haki utatoboa tu 🐒

Dominika Njema..
Huo ni ukweli lakini wengi wamelelewa mazingira ya kichawi mpaka imekuwa ndiyo imani yao, hawatokuelewa. Tusichoke kuwaelimisha, kuwa uchawi pekee ni kuishi kwa malengo, mipango na bidii.
 
Ukiwa mwana ccm na hujawahi kwenda kwa mganga au wewe siyo mchawi basi utaishia kudeki vyoo, kuvishwa kofia na kulishwa ubwabwa kama zombie na kete kubwa ya ccm ipo kwenye nguvu ya dola na ulozi na ndo maana mwenge huzunguka nchi nzima kumwagia watz uvumba kwa kisingizio cha kukagua miradi lakini huo mwenge hauna macho, hauongei, hauandiki, hauna amri! Vyoote vinafanywa na binadamu sasa kwanini huyo binadamu asiende kuangalia huo mradi? Sasa kama umetumwa na vigogo wa ccm ili kupumbaza vijana basi umepotea.
 
Uchaguzi uliopita nilitia Nia na kuchukua fomu ya Ubunge.. Siku mbili kabla ya kikao cha uteuzi aliyeibuka mshindi alikusanya zaidi ya nusu ya wajumbe... Akawaambia kila mjumbe atapewa laki tatu.. Hizo laki tatu zilitolewa na mganga wa kienyeji kwa sharti kuwa kama hutampigia kura Bora laki tatu yake uiache.. Na kweli jamaa walimpigia kura na akashinda.. Ushirikina Bado una nguvu sana katika siasa zetu..
Huyo bado mchanga kwenye siasa!

Ngoja akutane na simbachawene ampe somo yeye kadumu kwenye game kwa nguvu ipi!

Mungu anaweza kukupa nafasi lakini kanuni za kupanda juuau ku maintain ndio tatizo!

Utakuta Hadi mwamposa anaaguliwa!
 

Attachments

  • 20240704_224702.jpg
    20240704_224702.jpg
    113.2 KB · Views: 3
zaidi sana utapoteza muda na fedha zako, tena kwa fedheha sana, ukiwa na elimu ya madigrii kadhaa ya kitaaluma wakati mganga hata darasa la saba hajamaliza...

mganga hawezi na wala hana uwezo wa kukupatia uongozi wa wananchi, bali atakutisha tu kwa kukuhimiza kufanya bidii kutafuta kura kwa wananchi kwa masharti magumu, huku akiwa anakukoromea kwa ukali na vitisho, bidii ambayo ungeweka tu mwenyewe na ukafanikiwa...

uvivu wako katika kutafuta uongozi wa kisiasa na tamaa zako za kupata uongozi bila kuweka bidii ya ushawishi wa sera na mipango mikakati yako kwa wananchi, visikuchochee ukatumbukia kwenye dhambi hii ya ushirikina na uchawi na pengine kupelekea hadi kusababisha vifo na mauaji kwa binadamu wenzako....

kwa njia hiyo,
huwezi kudumu, huwezi kua na amani, wala kufurahia uongozi wako ikiwa kuna roho na damu za wasio na hatia ulizodhulumu zinakulilia kwa uchungu kila uendako...

uongozi na mamlaka za wanadamu vinatoka kwa Mungu..
sauti ya wengi sauti ya Mungu..
ukimtumainia na kutegemea Mungu katika nia na dhamira zako njema atatufanikisha...

uganga, uchawi na ushirikina unakupoteza mchana kweupeee na elimu yako..

pambana kwa bidii na haki utatoboa tu 🐒

Dominika Njema..
Unaonekana hujui vitu vingi sana kuhusu hii dunia, usichanganye elimu yako ya kukaririshwa hiyo na elimu ya asili
 
zaidi sana utapoteza muda na fedha zako, tena kwa fedheha sana, ukiwa na elimu ya madigrii kadhaa ya kitaaluma wakati mganga hata darasa la saba hajamaliza...

mganga hawezi na wala hana uwezo wa kukupatia uongozi wa wananchi, bali atakutisha tu kwa kukuhimiza kufanya bidii kutafuta kura kwa wananchi kwa masharti magumu, huku akiwa anakukoromea kwa ukali na vitisho, bidii ambayo ungeweka tu mwenyewe na ukafanikiwa...

uvivu wako katika kutafuta uongozi wa kisiasa na tamaa zako za kupata uongozi bila kuweka bidii ya ushawishi wa sera na mipango mikakati yako kwa wananchi, visikuchochee ukatumbukia kwenye dhambi hii ya ushirikina na uchawi na pengine kupelekea hadi kusababisha vifo na mauaji kwa binadamu wenzako....

kwa njia hiyo,
huwezi kudumu, huwezi kua na amani, wala kufurahia uongozi wako ikiwa kuna roho na damu za wasio na hatia ulizodhulumu zinakulilia kwa uchungu kila uendako...

uongozi na mamlaka za wanadamu vinatoka kwa Mungu..
sauti ya wengi sauti ya Mungu..
ukimtumainia na kutegemea Mungu katika nia na dhamira zako njema atatufanikisha...

uganga, uchawi na ushirikina unakupoteza mchana kweupeee na elimu yako..

pambana kwa bidii na haki utatoboa tu 🐒

Dominika Njema..
Neno uganga na ushirikina vilikuja baada ya dini za oppressers kuingia,ila ndio njia za asili za kiimani za waafrika,acha tufuate asili yetu usilam na ukristo ni dini za kuletewa na watesi wetu hazina jema kwetu.
 
Uchaguzi uliopita nilitia Nia na kuchukua fomu ya Ubunge.. Siku mbili kabla ya kikao cha uteuzi aliyeibuka mshindi alikusanya zaidi ya nusu ya wajumbe... Akawaambia kila mjumbe atapewa laki tatu.. Hizo laki tatu zilitolewa na mganga wa kienyeji kwa sharti kuwa kama hutampigia kura Bora laki tatu yake uiache.. Na kweli jamaa walimpigia kura na akashinda.. Ushirikina Bado una nguvu sana katika siasa zetu..
ndio kile nilicho zungumza kwenye hoja yangu ya msingi, kwamba, wanganga hutumia vitisho, kufokafoka kwa msisitizo na kukufanya uwe jasiri na mwenye bidii kulitafuta na kulipata unalo taka, lakini kiukweli hakuna nguvu ya ziada aliyo nayo hata kidogo:pedroP:

katika simulizi yangu ya kweli siku imalizia ya Kwa mara ya kwanza nathubutu kugombea Ubunge

nilikutana na mazingira hayo, na nikawaifluence hadi wagombeaji ubunge wenzingu kuondokana na imani, hofu na woga na watu dhaifu kama hao wanaofanya kazi zao kwenye kiza au kificho :pulpTRAVOLTA:
 
Back
Top Bottom