Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I can confirm to you gentleman without fear of contradictions kwamba, through God you can be a very influential and powerful political leader as I am, in my constituent and in certain decision making institutionsMy son you can't void witchcraft, katika hii dunia yenye mambo mengi, visible and invisible!
Those great men, posses a great power!

Hii aisome Hamisi Kigwangwala aka mzee wa makafara itamsaidia sana.zaidi sana utapoteza muda na fedha zako, tena kwa fedheha sana, ukiwa na elimu ya madigrii kadhaa ya kitaaluma wakati mganga hata darasa la saba hajamaliza...
mganga hawezi na wala hana uwezo wa kukupatia uongozi wa wananchi, bali atakutisha tu kwa kukuhimiza kufanya bidii kutafuta kura kwa wananchi kwa masharti magumu, huku akiwa anakukoromea kwa ukali na vitisho, bidii ambayo ungeweka tu mwenyewe na ukafanikiwa...
uvivu wako katika kutafuta uongozi wa kisiasa na tamaa zako za kupata uongozi bila kuweka bidii ya ushawishi wa sera na mipango mikakati yako kwa wananchi, visikuchochee ukatumbukia kwenye dhambi hii ya ushirikina na uchawi na pengine kupelekea hadi kusababisha vifo na mauaji kwa binadamu wenzako....
kwa njia hiyo,
huwezi kudumu, huwezi kua na amani, wala kufurahia uongozi wako ikiwa kuna roho na damu za wasio na hatia ulizodhulumu zinakulilia kwa uchungu kila uendako...
uongozi na mamlaka za wanadamu vinatoka kwa Mungu..
sauti ya wengi sauti ya Mungu..
ukimtumainia na kutegemea Mungu katika nia na dhamira zako njema atatufanikisha...
uganga, uchawi na ushirikina unakupoteza mchana kweupeee na elimu yako..
pambana kwa bidii na haki utatoboa tu 🐒
Dominika Njema..
let me make it clear,Mheshimiwa kwamba hauna mganga anaekusetia dish lako kwa wapiga kura huku??? Acha basi kututania......

huo ni upotoshaji gentlemanUkiwa mwana ccm na hujawahi kwenda kwa mganga au wewe siyo mchawi basi utaishia kudeki vyoo, kuvishwa kofia na kulishwa ubwabwa kama zombie na kete kubwa ya ccm ipo kwenye nguvu ya dola na ulozi na ndo maana mwenge huzunguka nchi nzima kumwagia watz uvumba kwa kisingizio cha kukagua miradi lakini huo mwenge hauna macho, hauongei, hauandiki, hauna amri! Vyoote vinafanywa na binadamu sasa kwanini huyo binadamu asiende kuangalia huo mradi? Sasa kama umetumwa na vigogo wa ccm ili kupumbaza vijana basi umepotea.


mbona uliemtaja mrahisi sana,Huyo bado mchanga kwenye siasa!
Ngoja akutane na simbachawene ampe somo yeye kadumu kwenye game kwa nguvu ipi!
Mungu anaweza kukupa nafasi lakini kanuni za kupanda juuau ku maintain ndio tatizo!
Utakuta Hadi mwamposa anaaguliwa!

basi hiyo ya asili ni mbaya sana yaani unadanganywa na mganga kuua binadamu mwenzako asie na hatia, ili ushinde uchaguzi na upate uongozo kweli?Unaonekana hujui vitu vingi sana kuhusu hii dunia, usichanganye elimu yako ya kukaririshwa hiyo na elimu ya asili


Jenister ni mchawi wa kutupwa, amemaliza ndugu had wazazi wake.Unadhani kina Jenister wapo mjengoni toka wakiwa mabinti hadi uzee unawakuta ni kwa nguvu zao au maombi? Ushirikina na kutoa papa.
kutafuta uongozi kwa kuua binadamu wengine ni njia ya uasili ya kiimani ya kinyama sana sana Africa...Neno uganga na ushirikina vilikuja baada ya dini za oppressers kuingia,ila ndio njia za asili za kiimani za waafrika,acha tufuate asili yetu usilam na ukristo ni dini za kuletewa na watesi wetu hazina jema kwetu.

Naam, lazima haya mambo uyajue, kuna kulishwa uchawi kwenye chakula, lazima fundi akuwekee mambo kama chakula kina sumu au uchawi sahani ipasuke. Safari nyingine kabla ya kusafiri unapata early warning system za yajayo. Zile zinazomfanya Lissu acheke cheke akikutana na Malkia wa Sheba (mama kizimkazi), baadae akitoka anaenda kutukania ikungi.kioo cha kuwazoom sio![]()
Hahhaha eti anachekacheka akikutana na bimkubwa,,matusi hadi ikungi,, halafu watu wanazichukuliaga poa sana zile chai za ikulu, ila zimewatuliza wengi😀😀😀Naam, lazima haya mambo uyajue, kuna kulishwa uchawi kwenye chakula, lazima fundi akuwekee mambo kama chakula kina sumu au uchawi sahani ipasuke. Safari nyingine kabla ya kusafiri unapata early warning system za yajayo. Zile zinazomfanya Lissu acheke cheke akikutana na Malkia wa Sheba (mama kizimkazi), baadae akitoka anaenda kutukania ikungi.
Au vidono, ile ya kuzuia risasi isikuue, hata Lissu ilimsaidia pale Dodoma
Si hata watoa mtandao nao wanapandaKuwa mwanasiasa nguli na kupanda vyeo vikubwa lazina uwe na malaika wenye nguvu sana pembeni yako au uwe na nguvu kubwa sana ya kwako mwenyewe ya ndani.
AU
Uwe na mauchawi yenye nguvu sana.
VINGINEVYO utaishia kuvaa magauni ya kijani tu huku wenzio wakitafuna manyama.
Kundu haliwezi kukupa cheo wewe...Si hata watoa mtandao nao wanapanda
FidodidoHaya mambo ni magumu sana
Msigwa haujambo?Fidodido